Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Kwa hiyo kama akianza kuwa mkavu wakati gemu likiendelea hiyo ni moja ya dalili kuwa hana mzuka?
More likely.
Kwa hiyo kama akianza kuwa mkavu wakati gemu likiendelea hiyo ni moja ya dalili kuwa hana mzuka?
:nono:More likely.
:nono:
:nono:
Yeye kasema more likely, mi nadhani wanawake wanapishanaHutaki Mwali?
Okay lemme be specific here, coz nawe ni mwanamke l presume! Kwangu mimi ni yes!
Yaani nyie mnafaa kuwa marais wa tz! Habari ya msiba mmeigeuza sexology class! Mnawaza naniliu tu! Mweh!
NN, hapo ndo hamtuwezi! We can fake it but u can't!
Kuna Uzi mwingine mtu kaja na uhanithi wa kike, no comment there coz sijui; labda huyo unayesema 'hafundishiki' ndio yuko kwenye kundi hilo.
Mimi naamini kama kuna mapenzi ya dhati, na kuaandaana vya kutosha na kuhusisha feelings while doing it mwanamke uwezekano wa kucome ni mkubwa! Inaweza isiwe siku zote, lkn hizo siku chache hakutakuwa na haja ya kufake! A man should not feel too bad kama mara chache chache asipomfikisha mpenziwe!
Njiani wanamsengenya marehemu, wakifika wanajigalagaza. Sikilizia ubwabwa upitishwe sasa! Hata mie nakuunga mkono, mambo ya kulia hadi kutapika damu inahuu?
wanawake wa japani nini...????
duuh hii ni kalimno!Njiani wanamsengenya marehemu, wakifika wanajigalagaza. Sikilizia ubwabwa upitishwe sasa! Hata mie nakuunga mkono, mambo ya kulia hadi kutapika damu inahuu?
In all sincerity, who are you fooling when you fake it? I think you are just fooling yourself, don't you think?
ndio ma-style yao ya kuingilia kwenye msiba..kule njiani kila mmoja alikuwa anawaza aingie vp!TUMEANDAMANA NA KINA MAMA KWENDA MSIBANI........ HAPO NJIANI TUNA CHEKA NA KUTIA STORI KAMA HAKUNA MSIBA...... ILE KUFIKA MSIBANI SASA....... HEKA HEKA KWA VILIO WANAJIGALAGAZA NA KUJITUPA CHINI......HEE! NIKAPIGWA NA BUMBUWAZI:yell:
Wengi wapo hivyo, angalia wale waliozimia wengi walijiandaa na nguo zitakazowasitiri wakijiangusha chini. What a shame!!!TUMEANDAMANA NA KINA MAMA KWENDA MSIBANI........ HAPO NJIANI TUNA CHEKA NA KUTIA STORI KAMA HAKUNA MSIBA...... ILE KUFIKA MSIBANI SASA....... HEKA HEKA KWA VILIO WANAJIGALAGAZA NA KUJITUPA CHINI......HEE! NIKAPIGWA NA BUMBUWAZI:yell: