Wanawake wanachanganyikiwaga kweli hapa

shelumwa

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
516
188
Yaaani katika vitu ambavyo vinawachanganya wanawake wengi ni pale wapo na jamaa hana pesa wala haongi ila mtaalamu kwenye kukwichi kwichi, wanashindwaga wachague nini kumwacha au kuendelea nae.

Kama nadanganya waje wapinge hapa tuone.
 
yaaan katika vitu ambavyo vinawachanganya wanawake wengi ni pale wapo na jamaa hana pesa wala haongi ila mtaalamu kwenye kukwichi kwichi, wanashindwaga wachague nini kumwacha au kuendelea nae .

kama nadanganya waje wapingge hapa tuone,
Nakubali aisee, Ni kweli
 
Uongo mtupu, kama unataka mke wako aanze kutoka anza ubahili, atatoa mpaka line ambazo wewe huwa hutumii
 
yaaan katika vitu ambavyo vinawachanganya wanawake wengi ni pale wapo na jamaa hana pesa wala haongi ila mtaalamu kwenye kukwichi kwichi, wanashindwaga wachague nini kumwacha au kuendelea nae .

kama nadanganya waje wapingge hapa tuone,
Hahahaha
 
Yaaani katika vitu ambavyo vinawachanganya wanawake wengi ni pale wapo na jamaa hana pesa wala haongi ila mtaalamu kwenye kukwichi kwichi, wanashindwaga wachague nini kumwacha au kuendelea nae.

Kama nadanganya waje wapinge hapa tuone.
Tafuta pesa, husitake kujipa moyo na maisha yako ya ukosaji. Pesa ni kila kitu. Hata vitabu vya dini vinataka mwanaume kumtunza mwanamke
 
Back
Top Bottom