Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,830
- 16,664
Hi 2 u all, Experience is the best thing, wakati unaanza tongozo kwa mara ya kwanza kwa mwanamke yeyote, tarajia jibu la NO, Kama mwanaume usikate tamaa wala kuonyesha pressure saana, then mwache aende, take her contact, then ukimtongoza now kwa umakini kidogo na use ur brain man, utasikia NO-YES, yaani sitaki nataka, hii inamaana kakubali, now tuliza ball man, do a surprise, mnunulie kitu kizuri kisiwe cha gharama, eg hereni nzuuri, kitenge, shanga, just some urembo, wanawake wanapenda sana kukumbukwa kwa vijizawadi, now vaa Sox, match ya Barca na Man U, imefika, piga simu for appointment ya match, utasikia YES, na atakupa day ya match, then match zinazofuata ww mwanaume ndiye atakufuata, ndivyo ilivyo mwanzo mgumu, timing timing usikosee, so ukimtongoza mwanamke yeyote kwa mara ya kwanza hatakubali, then nataka, sitaki, then nataka, like mapenzi ya paka,Sio mwanaume kanyimwa match tena ndio first time or second time umemtongoza mwanamke unalalamika au unakuja hapa mmu kuomba msaada, common man, simba hafundishwi kuwinda, akisubiri kufundishwa njaa itamuua, Good day