Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
voda ipo. Unahitaji?
akaaa..
voda ipo. Unahitaji?
akaaa..
sasa unataka ipi lol.
khaaah hiyo labda kwa wa mia. Kwangu no.
ngoja niende kwa mia wangu. Ushaanza kuninyanyasa.
hapana. Donti go anewea bana, situmiagi ttcl lol sa nifanyaje?
hata sijui. Lol.
basi hupo na wa .mia, ungekua nae ungejua lol.
kama wewe unajua useme.
ntajuaje mie sina za mbayu wayu nichanganye na zipi?
Au zako zinafaa??
hazifai hata kidoncho. Ubaki salama.
Yan kweli Mpatanishi nawewe mzigo...yan hapo unatapatapa hivyo....binti akisema kitu hutakiwi sina sa ntafanyaje....Komaa tafuta hadi ukipate...shauri yako...utatoswa hadi na Jane matriple Sifuri hahahahaaaaaahapana. Donti go anewea bana, situmiagi ttcl lol sa nifanyaje?
We kijana Ousofia anakutafuta mkapeane maujanja....hebu fanya chap kumtafuta
Yan kweli Mpatanishi nawewe mzigo...yan hapo unatapatapa hivyo....binti akisema kitu hutakiwi sina sa ntafanyaje....Komaa tafuta hadi ukipate...shauri yako...utatoswa hadi na Jane matriple Sifuri hahahahaaaaaa