Nipo kwenye hatuwa za uchumba na Binti wa REGINALD MENGI kwahiyo unanishauri nicancel hii ndoa?ukweli unauma?
ndio wamachame wanatafuta hela kwa bidii sana ila mkishazipa wafahahahaha! Kweli bwana, ukiipenda pesa utajua namna ya kuitafuta.
masonic hawauwagi ajili ya pesa wanazo za kutoshanipo kwenye hatuwa za uchumba na binti wa reginald mengi kwahiyo unanishauri nicancel hii ndoa?
mmmmmhhhh!!!! shimboni mka mangi?
Azawais no further comment!
mmmmmhhhh!!!! shimboni mka mangi?
Azawais no further comment!
Nanto maee!!..
Binti wa Mengi nae ni Mmachame, kama unauhakika hawezi kuniuwa basi hauko sahihi kuwageneralise wanawake wa kimachame kwenye hii topic yako.masonic hawauwagi ajili ya pesa wanazo za kutosha
Tupate commercial break kidogo!!
NI KWELI NIMECHELEWA KUOA JE UKO TAYARI NIKUOE? please please! Say yesWewe huna lolote, inaelekea umepitwa na wakati halafu umeshachelewa kuoa kwa hiyo unatafuta sababu! Hayo mambo ya kuoa, kuuana, kugawana Mali yapo kila mahala na kwenye kila kabila! Au unataka kusema hujawahi kusikia kesi Kama hizo zaidi ya huko machame? Mnafiki tu Wewe umekosa cha kuandika naona!
Ni kweli hakuna jipya LAKINI, ni UKWELI MTUPU!
Wewe nnavokupenda, kuonyesha makucha itakuwa ngumu...Hujaanza kuonesha makucha....
aikambe!
Ha ha ha! Mbavu zangu jamani lol... Ngoja nijipange kushusha mistari ya kukuomba msamaha!Sidanganyiki.....tena we nitakurushia lile jiwe kubwa!! Alafu bado nina hasira na wewe, ulitusingizia sie warangi!!!
usiondokemmh, lisemwalo lipo jama!!!baadaye....
hata wa bure simtaki!haha ha haa!u cmc umekataliwa na warembo wa kmachame dats y unalalamika.they ar expensive 2handle n aford dats y mnawakimbia.jipange upya bwn hamna anaezaliwa na roho mbaya