Wanawake wakimachame si wakuoa!

masonic hawauwagi ajili ya pesa wanazo za kutosha
Binti wa Mengi nae ni Mmachame, kama unauhakika hawezi kuniuwa basi hauko sahihi kuwageneralise wanawake wa kimachame kwenye hii topic yako.
Nakubali kutokukubaliana na wewe kwenye hili.
 
tangazo hili limeletwa kwenu kwa hisani ya watu wa marekani

Tupate commercial break kidogo!!

PICHA+2.jpg
 
Wewe huna lolote, inaelekea umepitwa na wakati halafu umeshachelewa kuoa kwa hiyo unatafuta sababu! Hayo mambo ya kuoa, kuuana, kugawana Mali yapo kila mahala na kwenye kila kabila! Au unataka kusema hujawahi kusikia kesi Kama hizo zaidi ya huko machame? Mnafiki tu Wewe umekosa cha kuandika naona!
NI KWELI NIMECHELEWA KUOA JE UKO TAYARI NIKUOE? please please! Say yes
 
Sidanganyiki.....tena we nitakurushia lile jiwe kubwa!! Alafu bado nina hasira na wewe, ulitusingizia sie warangi!!!
Ha ha ha! Mbavu zangu jamani lol... Ngoja nijipange kushusha mistari ya kukuomba msamaha!
 
Haha ha haa!u cmc umekataliwa na warembo wa kmachame dats y unalalamika.they ar expensive 2handle n aford dats y mnawakimbia.JIPANGE UPYA BWN HAMNA ANAEZALIWA NA ROHO MBAYA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom