sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Wewe je hayajakukuta bado?:eyebrows:.......
Wewe je hayajakukuta bado?:eyebrows:.......
Khaaa! Wanchekesha. Nikuonee wivu nakujua? Uliwahi kuonea wivu kivuli??? Chungu kumeza ila jitahidi.
Mwanamke asiyependa PESA karne hii HAFAI KUOLEWA achilia mbali kuwa nyumba ndogo!
Pole kama yamekukuta. Ngoja waje hapa hapatatosha..
Hahaha! Ok endelea kunifichia siri kwa afya yangu... Si unajua siri ni ya wawili?Tunajuana sana tu. Usitake nitoe siri hapa.
Lol, kunywa kwanza hayo maji ya baridi hapo juu ya meza...Ngoja nivutie kasi.....
ALA! kwani mwanzo atakuonyesha? Hawa ni vinyonga
Niko hapa pembeni yako, ukianza kudundwa nakuamua kwa style ya kuchangia... Haya aseme upesi.Ebu tuambie ni wanawake wa kabila lipi wanafaa kuoa?
Lol, kunywa kwanza hayo maji ya baridi hapo juu ya meza...
Nakuona!...Umekumbuka kuvaa na kaptula ndani ya hilo gauni?Nimeshakunywa..........hapa naendelea tu na observation!
Tupate commercial break kidogo!!
[/QUOTE Miaka 50 ya uhuru, tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele...
Niko hapa pembeni yako, ukianza kudundwa nakuamua kwa style ya kuchangia... Haya aseme upesi.
nimecheka sana mkuu! kwahiyo hii picha inatufundisha nini?Tupate commercial break kidogo!!
Nakuona!...Umekumbuka kuvaa na kaptula ndani ya hilo gauni?
Khaaa! Yamekuwa hayo tena???Ndo maana hata mie sikutegemei kwa sababu najua wewe na eksi gelo lenu moja!! Kwanza siogopi kudundwa, na istoshe maandazi ya sa god hayauzwi, nitayatumia effectively!!!