Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Umeona ehhhhh??
Mapenzi ni mnavyoendana.Penzi changa/la kuiba siku zote tamu.Kinachowazuzua ni hivyo vitu viwili hakuna cha zaidi.Leo ni wanawake wa Tanga, kesho ukipata mmanyema utachanganyikiwa, ukimpata mzanzibari utazuzuka, ukimpata mhaya ndio usiseme.....mtazunguka mabucha yote lakini nyama ni ile ile - imechemshwa, ikaokwa, ikakaangwa, ikabanikwa, ikakaushwa juani, ikatiwa moshi, mara imewekwa kitunguu thaum........haya weeee!! Inategemea hujaila kwa mtindo huo kwa muda gani.Rule of the thumb "ZAFANANA".
Katika hili tuko pamoja Tausi,
Ni hysteria tu ndiyo inasumbua watu....
Mie nilipofika Tanga miaka ile, kitu cha kwanza kuambiwa ni kwamba nikamuage my wife aliyekuwa bara na mwanangu.....Niliwabishia na hadi sasa sijawahi ona hayo mambo yao wanayoyasema!
Ngoja niishie hapa ila nazidi kusema kuwa sikubaliani na haya maneno na nitakomaa nao hadi dakika ya mwisho!!