Wanawake wa TANGA twapendwa na Wabara, ila wazazi wao wanatuharibia

Haya, mie wabara nitajileta mwenyewe tanga.hii ya kuogeshwa na maji ya hiriki,sitaweza kurudi tena bara? kula tende na halua, kulishwa biriani, kubebwa mpaka bafuni, yote haya wazazi wanayaogopa eti
Mwatupiga fitna tu.
Sisi si washirikina, ila mapenzi twayajua, mapishi , usafi na handling nzima ya mwanamume.
Twajua mwanaume ana hitaji nini na kwa wakati gani. Thtas all.
 
Nikiwa
mwanamke mzaliwa wa mkoa wa tanga kuna kitu nimejifunza kwangu mwenyewe
na kwa wenzangu pia.
Wanaume wa bara wanatupenda sana, lakini kinacho haribu mahusiano yetu
huwa ni wazazi wao. Hawataki kabisa tuoane na vijana wao.
Je kwanini wazazi wa vijana watokao bara wanatuogopa?

Tatizo lenu nyinyi mfano wazigua,baba zao wanawala mabinti zao wa
kuwazaa halafu fresh tu,sa unategemea nini mama,c majanga hayo?,baba mkwe akija kukutembelea kwako ujue ni mme mwenzako kwa upande mwingine,kuna kazi hapo?
 
inategemea ni Tanga hipi, wanawake wenye sifa za kitanga sio wote japo wote ni WaTAnga
Tanga kubwa bi Nazjaz, maana kuna Wadigo, Wasambaa, Wabondei, Wasegeju na wengine wengi

Hebu tujuze unazungumzia TAnga ipi?

Kaka acha pumba Tanga ni Tanga hakuna sehemu iitwayo Tanga wabondei,Tanga wasambaa,Tanga wazigua au Tanga wadigo na Tanga makabila yako manne tu Wabondei,Wazigua,Wadigo na Wasambaa na hawa wote ni Watanga so aliyesema Wabara wanapenda kuoa Watanga lakini kigezo ni wazazi wa watu kutoka Bara hawawapendi wanawake wa Kitanga.Sasa unataka uelezewe Tanga ya aina gani??Au wewe mtu wa kutoka bara?
 
01pic2.jpg

Iwapo Tanga wako hivi, acha nihamie huko.
 
Upo right kabisa Sumbalawinyo mm mwnyw n bint wa T.A lkn nakerwa xna na tabia za mabint wenzangu jnc wanavyokaa vibarazan kuchora hina,piko badala ya kujishughulisha hta na ujasi mapenz ktk ndoa n ki2 cha ziada xna mke mwema hardhk na mapnz 2 atafight na lyf mpk kieleweke
 
hawawaogopeni sema wanawake wa ki Tanga wengi ni WAVIVU ndo maana hawataki vijana wao wawaoe.
 
Nikiwa mwanamke mzaliwa wa mkoa wa tanga kuna kitu nimejifunza kwangu mwenyewe na kwa wenzangu pia.
Wanaume wa bara wanatupenda sana, lakini kinacho haribu mahusiano yetu huwa ni wazazi wao. Hawataki kabisa tuoane na vijana wao.
Je kwanini wazazi wa vijana watokao bara wanatuogopa?

Hivi mipaka ya BARA na KUSIKO BARA iko wapi....mbona unajifanya kujitenga........
 
Kitu kimoja wananibore

Kuwafanya wenza wao wasahau familia zao Ili uwa one wenyewe zaidi.

Na ukizaa nao chunga watoto wako wawezahamishiwa kwao
 
Nikiwa mwanamke mzaliwa wa mkoa wa tanga kuna kitu nimejifunza kwangu mwenyewe na kwa wenzangu pia.
Wanaume wa bara wanatupenda sana, lakini kinacho haribu mahusiano yetu huwa ni wazazi wao. Hawataki kabisa tuoane na vijana wao.
Je kwanini wazazi wa vijana watokao bara wanatuogopa?
Naunga mkono hoja kwani hata mimi ni wa kiume toka bara, moja ya sababu zinazotolewa ni kwa nini mnaogopwa ni kwamba, eti mkimkamata mtu hawezi tena kuwakumbuka kwao, tena ndo mnamhamishia Tanga kabisaaa... yaani atatumikishwa huyo.... kisha akishachakaa, anatimuliwa -arudi Bara akiwa mikono mitupu huku akimuacha mke akifurahia mali walizochuma pamoja na mme! Haambulii hata watoto.-
NB. Nasikia tu lakini, sina uhakika msije mkanitoa roho bure!
 
Ni kweli kabisa mambo ya iriki na visosi wakati wa kuoga mchezo!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Tatizo lenu moja tu mnatoa tiGo a.k.a Kabang pasipo kuombwa.
 
Nikiwa mwanamke mzaliwa wa mkoa wa tanga kuna kitu nimejifunza kwangu mwenyewe na kwa wenzangu pia.
Wanaume wa bara wanatupenda sana, lakini kinacho haribu mahusiano yetu huwa ni wazazi wao. Hawataki kabisa tuoane na vijana wao.
Je kwanini wazazi wa vijana watokao bara wanatuogopa?

Bidada sisi wanawake wa Tanga mbona tuna kazi, ukimpikia mama mkwe mchuzi wenye ndimu na chachandu pembeni adai wamlisha vichachu, wakati mwanae hayo kashazoe. Hatulogi sie, lakini twajua kuwa mume akitoka kazini huanzi kumwambia matatizo ya nyumbani tu, mpokee, mkaribishe akae, mwekee maji akaoge, akishaoga mwekee chakula, akishakula sasa ndiyo unaanza kumwambia matatizo.
Kama kazini alikuwa na shughuli nyingi na hakuwahi kula kitu chochote, ukumwambia matatizo makubwa si atashindwa kula.
Hii ni moja ya mafunzo, ambayo wabara watunanga nayo na uchawi!
 
Back
Top Bottom