Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Jiulizeni kwanini mnapendwa zaidi na wanaume wa kutoka bara lakini wanaume wa pwani wanao kujueni vizuri hawawataki,lipo tatizo somewhere!Nikiwa mwanamke mzaliwa wa mkoa wa tanga kuna kitu nimejifunza kwangu mwenyewe na kwa wenzangu pia.
Wanaume wa bara wanatupenda sana, lakini kinacho haribu mahusiano yetu huwa ni wazazi wao. Hawataki kabisa tuoane na vijana wao.
Je kwanini wazazi wa vijana watokao bara wanatuogopa?