Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Hawakuogopeni.
Ila wana mashaka kuwa hamtaweza kulima shamba!
Lakini pia mna tabia ya kumwekea mtu Limbwata ili akikuoa asahau kwao, na awakane ndugu zake naukoo wake!
Hii ni kweli, kuna jamaa nilihusika kwenda kwenye msafara wa kumkomboa baada ya kulowea huko miaka 17 bila kurudi nyumbani!
Yaliyotupata huko ni siri yangu!..../huh!
Limbwata !