Path Finder
Member
- Jan 28, 2011
- 50
- 8
Mmmmh! Ila Tanga ni kiboko ya njia kwa malavidavi
Nikiwa mwanamke mzaliwa wa mkoa wa tanga kuna kitu nimejifunza kwangu mwenyewe na kwa wenzangu pia.
Wanaume wa bara wanatupenda sana, lakini kinacho haribu mahusiano yetu huwa ni wazazi wao. Hawataki kabisa tuoane na vijana wao.
Je kwanini wazazi wa vijana watokao bara wanatuogopa?
Na watumiaji wanapatikana wapi?Makao makuu ya tIGO yako Tanga
Kudadaddadadaddaadadeki.
Limwanamke langu la kitanga linalala kama gogo, halijui kupika, lina majungu, ugomvi na majirani kila siku, nyumba chafu, hata kujitunza lenyewe haliwezi. Kazi yake kubwa kujimimiminia mi ina mwili mzima kama jini
Makao makuu ya tIGO yako Tanga
mbona mimi mtu wa Tanga lakini bado sijayaona......naona napokelewa vizuri tu niendako.......ngoja nikamuulize kaka Shossi.....:laugh::laugh:
Uchawi hatuna,tunajua kupenda na kumlisha bwana kitu roho inapenda na kuridhia......na shule tunaenda kujifunza hayo........:coffee:
Na watumiaji wanapatikana wapi?
Wanawake wa Tanga "Wavivu"! Kuanzia asubuhi amevaa "night dress" mpaka saa ya kulala! Halafu "wambea" sana!
Wanawake wa Tanga "Wavivu"! Kuanzia asubuhi amevaa "night dress" mpaka saa ya kulala! Halafu "wambea" sana!
Hivi Michelle, unatokea majani mapana, chumbageni,
au barabara ya 12?
mashambulizi yamezidi,nikitaja ninakotokea tena itakuwa tabu.....naku-PM kukuambia mpz........