Wanawake wa mjini Mbeya na Mkorogo

Halafu mie nadhani ni ushamba tu ,mbeya pamoja na kuwa ni jiji lakini bado sana maendeleo.Yani mimi nina ushahidi wa ndugu zangu wa jirani nyumba moja wenye mikorogo,ngozi zao zimeharibika balaa na kukunjana vibaya.Kwa kweli ni hatari nadhani wanahitaji elimu.
 
Hata DAR ukipanda dala dala za Gongo la mBoto, Mbagala, Tandika, Mwananyamala, Msasani na kigogo utakutana na akina mama ngozi dhaifu ila wamejichubua balaa mpaka unakata tamaa ya maisha. Ila nadhani generation hii ya akina dada/mama walifika miaka 45 onwards tutashuhudia magonjwa ya ajabu ajabu sana ya ngozi
 
Aliye jichubua mie nasikiaga kinyaa utafikiri nyama live pwaa

Nimegundua wanawake wa sehemu za baridi wanapenda sana uweupe tena wale wenye kipato kikubwa tembelea MBY kisha njoo Iringa utaona mwanamke mwenye kipato kikubwa cha kwanza ni mkorogo.
 
Hahaha! Ila suprise haitahusisha chochote kinachohusiana na uharibifu wa ngozi!
Mie huwa natumia natural kama matango,asali na yai,kulainisha ngozi.Na kula chakula kizuri, serengeti nimeziweka kando,ma-stresss nimeyakataa na napata usingizi wa kutosha.Kwa hayo sihitaji mkorogo!
 
Hata DAR ukipanda dala dala za Gongo la mBoto, Mbagala, Tandika, Mwananyamala, Msasani na kigogo utakutana na akina mama ngozi dhaifu ila wamejichubua balaa mpaka unakata tamaa ya maisha. Ila nadhani generation hii ya akina dada/mama walifika miaka 45 onwards tutashuhudia magonjwa ya ajabu ajabu sana ya ngozi

Sure yani,watoto watakaozaliwa watakuwa balaa.Yani hawana akili kabisaaa.Halafu nimesikia dar kwa sasa wanawake wengi hawazai na ni kwa sababu ya mikorogo.
 
Mie huwa natumia natural kama matango,asali na yai,kulainisha ngozi.Na kula chakula kizuri, serengeti nimeziweka kando,ma-stresss nimeyakataa na napata usingizi wa kutosha.Kwa hayo sihitaji mkorogo!

Hahaha! Then subiria matango tenga moja na mayai trei mbili kama suprise yangu! Hiyo bold hiyo inahitaji ufafanuzi kidogo. Inahusikaje na mkorogo?
 
Sure yani,watoto watakaozaliwa watakuwa balaa.Yani hawana akili kabisaaa.Halafu nimesikia dar kwa sasa wanawake wengi hawazai na ni kwa sababu ya mikorogo.

Tubu mchumba! Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya BWANA. Uhai wa binadamu ni MPANGO WA MUNGU!
 
Tubu mchumba! Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya BWANA. Uhai wa binadamu ni MPANGO WA MUNGU!

Hapana mimi situbu huo ndio ukweli.Dunia sio mabaya ila wanadamu ndio wabaya.Tumepewa vitu vizuri na Mungu ili tutumie vizuri lakini sisi tunabadilisha matumizi ya asili.Mfano
tunakata miti hovyo tunategemea nini -ukame,njaa ,vifo
wanaume wanaoa wanaume na wanawake wanaoa wanawake,unategemea nini-?????????????????
tunachuna ngozi zetu na machemical hatari-unategemea nini?
Tafakari mwenyewe.
 
Kwa kweli sasa hivi ukikutana na mwanamke yupo natural ni wachahce mno huku mijini, wengi unakuta tayari keshanunua ngozi mpya tehe.
 
Hapana mimi situbu huo ndio ukweli.Dunia sio mabaya ila wanadamu ndio wabaya.Tumepewa vitu vizuri na Mungu ili tutumie vizuri lakini sisi tunabadilisha matumizi ya asili.Mfano
tunakata miti hovyo tunategemea nini -ukame,njaa ,vifo
wanaume wanaoa wanaume na wanawake wanaoa wanawake,unategemea nini-?????????????????
tunachuna ngozi zetu na machemical hatari-unategemea nini?
Tafakari mwenyewe.

Kumbuka Sara alikaa miaka mingapi bila mtoto mpaka akaja kupata mtoto kwa miujiza? Hakuwa anapaka mkorogo tena alikuwa mwadilifu. Tubu mchumba, usije ukasema sikukushauri.
 
Kwa wale waliopita pale mbeya bila shaka watakuwa wamekutana na usemi huu kutoka kwa hawa dada zetu wenye rangi mbili "mwe!!!! ukiona nimeinama nimekubali wee"
 
Hili tatizo ka kujikoboa sio Mbeya peke yake, wanawake wengi tu wanajikoboa siku hizi. Wanadhani ukiwa na light skin ndio urembo wenyewe kumbe hakuna chochote.
 
Back
Top Bottom