Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
<br />ukipendeza kila mtu akakutazama unajiskia vizuri zaidi inakupa confidence........tunaacha wazi tukijua tutavutia attention na tunaipata haswaa!
<br />
cku zote psychology ya mwanaume inajaji vile ww ulivyo.ukimuona mwanamke anayeachia maungo yake unafikiria,nikimpata huyu kwa cku moja itakuwa safi sana.ila ukikutana na aliyejiheshimu unatamani hata angekuwa nkeo.! Lakini,kwa nn mnakuwa kimauzo hata sehemu za kazi.?