Wanawake wa kitanzania!

Mkuu..umesoma historia? Kabla hatujaiga nguo za wazungu ..kule kwetu nyanda za juu ..kina dada na kina kaka walikuwa wanaficha sehemu ya nanii tu...yaani baba mama mjomba mkwe kaka wote ni fursa kuona matiti..

Usijali mtu kavaa nini au anafanya nini na mwili wake..kwani wewe sio mdau wa mwili wake na haitakusaidia ...

Kikubwa angalia Roho ya huyo mtu na sio mwili... Anaweza akavaa unavyotaka lakini akawa mnafiki kupindukia!

images
jlodress.jpg

Kitu original na kile cha kuinuliwa na sponge ndani ya bra kinajulikana, yote hii sasa ya nini?
Hii imekaa kivyake, maana kazi kubwa ya kupitia stores za kike kupata zile bra za kusimamishia matiti ili yaonekana kama ya msichana anayegeukia ukubwani toka utotoni. Bahati mbaya anayevutwa kwa mwonekano wa umbile lililotengenezwa kitendawili tega kinapoteguliwa kitendawili hicho kwa kukutana na tofauti na umbile aliloona kwa kushuhudia umbo la mstatili tepetepe. hii inakaaje lakini?

Kesho baadhi wataiga kuzunguka madukani kuafuta bra zinazobana matiti na kuvaa nguo za kiume huku wakibadili miondoka na kunyoa nywele kwa mitindo ya wanaume wafanyavyo sijui wale lesbian & gay, hali kadhalika kuvaa heleni sikio moja, tutaambiwa ndio uhuru tunaotaka, je huku ni kuchakachua utamaduni wetu?

Na hii ya kudunga sindano kujaza maziwa kwa liquid ( plastic surgery) ili tu mradi matiti yaonekane yenye mvoto, tuambieni wanawake mliopo humu ndo ndoana ya kuwavuta wanaume? Maziwa yaliyosinyaa na kuwa tepetepe na kutulia juu ya tumbo ni haram kwa wanaume?

Sina nia ya kumdhalilisha mwanamke, ila namhamasisha mwanamke kujali utu wake badala ya kutumia kionjo cha matiti kama ndo mvuto au mwonekano mzuri kwa wanaume badala ya kutunza hiyo adimu yake kwa mume wake.
 
View attachment 34959

A proudly African Woman...ana heshima zote kwa jamii yake inayomzunguka nami pia. Mavazi mengine ya kidhungu tunaiga na hatuwezi kukurupuka na tukasema tunajivunjia heshima na kulalamika.. Kuna vitu vingi vinatuvunjia `values` zetu kama waafrika.. Kwanza zamani waafrika hatukuwa wezi, mafisadi, etc..hivyo ndivyo vitu vya kupigia kelele..
 
labda wanaona biashara ni matangazo...any way kuna places ambazo nguo fupi ndio mahali pake,u cant rock in da club na truck-sut o hijab...u cant swim wit a geans...tatizo wadada ze2 jamaniiiiiiii mnachanganya mambo,nguo za ucku mnavaa mchana,za casual mnavaa ofcn na za beach mnavaa kariakoo.....fashion language kwa bongo imechkachuliwa.
 
hahahaha, wanatumia uhuru wao, mbona tuliiga kuvaa nguo, hatukulalamika, sasa tunaona kuvaa nguo ni utamaduni wetu, na ule wa awali wa kutokuvaa nguo ni wa kuiga, hivyo tunalalamika, kwa ujumla swala la kuvaa ni uhuru wa mtu, tuwache watu wavae wanavyotaka.<br />
Standard za kusema kuvaa nguo, au kutofunika sehemu fulani ni wa kuletwa na hao hao.<br />
Angalia hii picha ilipigwa miaka ya 1900, moshi <img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34948&amp;stc=1" attachmentid="34948" alt="" id="vbattach_34948" class="previewthumb" /> angalia mabinti nyuma ya huyu jamaa je waliiga wapi kutokufunika matiti?
<br />
<br />
hayo za zamani yalikuwa hayatamanishi, yalikuwa yamepauka sana, ila ya sasa mnayang'arisha mno.
2. Zamani ujinga ulikuwa ulikuwa umetala mno hapakuwa na maendeleo kama ya sasa.
 
labda wanaona biashara ni matangazo...any way kuna places ambazo nguo fupi ndio mahali pake,u cant rock in da club na truck-sut o hijab...u cant swim wit a geans...tatizo wadada ze2 jamaniiiiiiii mnachanganya mambo,nguo za ucku mnavaa mchana,za casual mnavaa ofcn na za beach mnavaa kariakoo.....fashion language kwa bongo imechkachuliwa.

Wanaume wakiwabaka watalalamika wameonewa kumbe wenyewe wanateneneza mazingira hayo
 
Nimestaajabu wafanyakazi wa kike maofisini katika nchi za tunaowaomba misaada na kuona ndio kielelezo cha maendeleo utawaona wamevaa nguo za heshima. Na wengi wao hawahangaikii kulowesha nywele kwa kemikali, utawaona wauza sura wasio na kazi ya uhakika ndo hayo wayatenda kwa nia ya kupata soko.

Kwetu hata bungeni wanakopata masurufu yaso kifani utaona ni mashindano ya nguo za kubana, viatu vya visigion, na nguo zao za kuonyesha jiografia ya umbile lake sijui nani mwenye njaa ya kuwatamani? Wakibakwa wanalalamika, sasa hayo si ndo wanayataka wenyewe?
 
Taratibu basi.....
Ukisema "Wanawake wa kitanzania" unakosea sana kwa sababu:
1. Siyo wanawake wote wanavaa hivyo
2. Unahukumu waliomo na wasiomo
3. Mivao ya aina hii siyo kwa watanzania tu ni dunia nzima kwa maana trends zinaanzishwa hukoooo na dunia nzima inaitikia!

Cha kfanya ni wewe kuanza na wewe mwenyewe. Wahamasishe walio karibu na wewe wasivae hivyo, na wao waendelee kuhamaisha wengine.Wakati ni ukuta na pia fasheni huja na kuondoka kufuatana na wakati. Ukipigana nazo sana sana utaishia kuumia mwenyewe.
Miaka ya 70 - 80 Serikali iliwahi kuanzisha operesheni mbalimbali kama zile za kupambana na nguo fupi, za kukataza nywele bandia.... iliwezekana enzi hizo kwa sababu ya sera zilizokuwepo ( serikali iliweza kdhibiti watu hadi majumbani mwao).Sasa tuna mabadiliko makubwa yanayoongozwa na utandawazi. Tutegemee viroja zaidi.
 
Wanaume wakiwabaka watalalamika wameonewa kumbe wenyewe wanateneneza mazingira hayo

hahahah usithubutu!! Utaozea jela zaidi ya mvua 30 na huo utetezi wako hautakusaidia. Ushaona wanaume wamebakwa kisa waliegesha kata K?

N.B: Mavazi kama haya siyo ya kuvaa ofisini au sehemu zisizo za starehe ( kwa wavaaji). Mtu anayevaa hivi sehemu rasmi za kazi kama ofisini, bungeni kama unavyosema japo mimi sijaona uvaaji huu bungeni, mbona kuna taratibu/dress codes zenye kukataza mavazi kama haya including hata suruali za jeans!
 
Kwanza, bado sinaona mwanamke wa Kitanzania ambaye anaachia matiti yake nje wazi; lakini wapo wengine wanaoachia kwa sababu wananyonyesha wala si tatizo. Lakini kama unamaanisha wanaonesha "clevage" yaani sehemu ya juu ya matiti bila kuonesha chuchu basi wala si tatizo ni mapambano tu ya watoto wa kike.

NI sawa na nyumba nzuri ambayo ina bustani nzuri pale nje. Sasa siyo kila nyumba nzuri ina bustani nzuri na siyo kila bustani nzuri ina nyumba nzuri. Lakini jingine, siyo unapopita kwenye nyumba nzuri unaambiwa "karibu" au uanze papara zako kufungua milango, nyingine unapita nje na kuadmire tu kwa mbali. Ukikaribishwa heri yako ukiishia kutamani hivyo. Lakini wakati mwingine, inakuhamisha na wewe kuona nyumba yako inakuwa na kajibustani kazuri... so do the needful.

Huku kijijini hata maofisini watu wanavaa hayo isipokuwa ni kiasi gani tu kinaoneshwa, wakati mwingine mtu haitaji kuachia wazi, anahitaji kujibanda vizuri au push-up bra na mambo yanakuwa hivyo. SAsa vinginevyo mtataka dada zetu hata wasivae push up bras!
 
Kwanza, bado sinaona mwanamke wa Kitanzania ambaye anaachia matiti yake nje wazi; lakini wapo wengine wanaoachia kwa sababu wananyonyesha wala si tatizo. Lakini kama unamaanisha wanaonesha &quot;clevage&quot; yaani sehemu ya juu ya matiti bila kuonesha chuchu basi wala si tatizo ni mapambano tu ya watoto wa kike.<br />
<br />
NI sawa na nyumba nzuri ambayo ina bustani nzuri pale nje. Sasa siyo kila nyumba nzuri ina bustani nzuri na siyo kila bustani nzuri ina nyumba nzuri. Lakini jingine, siyo unapopita kwenye nyumba nzuri unaambiwa &quot;karibu&quot; au uanze papara zako kufungua milango, nyingine unapita nje na kuadmire tu kwa mbali. Ukikaribishwa heri yako ukiishia kutamani hivyo. Lakini wakati mwingine, inakuhamisha na wewe kuona nyumba yako inakuwa na kajibustani kazuri... so do the needful.<br />
<br />
Huku kijijini hata maofisini watu wanavaa hayo isipokuwa ni kiasi gani tu kinaoneshwa, wakati mwingine mtu haitaji kuachia wazi, anahitaji kujibanda vizuri au push-up bra na mambo yanakuwa hivyo. SAsa vinginevyo mtataka dada zetu hata wasivae push up bras!
<br />
<br />
Nyumba ya aina hii siingii kabisa!!
 
Kwanza, bado sinaona mwanamke wa Kitanzania ambaye anaachia matiti yake nje wazi; lakini wapo wengine wanaoachia kwa sababu wananyonyesha wala si tatizo. Lakini kama unamaanisha wanaonesha "clevage" yaani sehemu ya juu ya matiti bila kuonesha chuchu basi wala si tatizo ni mapambano tu ya watoto wa kike.

NI sawa na nyumba nzuri ambayo ina bustani nzuri pale nje. Sasa siyo kila nyumba nzuri ina bustani nzuri na siyo kila bustani nzuri ina nyumba nzuri. Lakini jingine, siyo unapopita kwenye nyumba nzuri unaambiwa "karibu" au uanze papara zako kufungua milango, nyingine unapita nje na kuadmire tu kwa mbali. Ukikaribishwa heri yako ukiishia kutamani hivyo. Lakini wakati mwingine, inakuhamisha na wewe kuona nyumba yako inakuwa na kajibustani kazuri... so do the needful.

Huku kijijini hata maofisini watu wanavaa hayo isipokuwa ni kiasi gani tu kinaoneshwa, wakati mwingine mtu haitaji kuachia wazi, anahitaji kujibanda vizuri au push-up bra na mambo yanakuwa hivyo. SAsa vinginevyo mtataka dada zetu hata wasivae push up bras!

Napata picha ya sheria za kiislamu ingawa zinapokeleka kwa mtazamo tofauti lakini zina maana fulani kwa ajili ya kulinda heshima ya mwanamke. Tujuavyo mwanamke ni sawa na ua linalonukia na kuvutia sana nyuki kwenda kuvyonza utomvu wake kwa ajili ya kutengeneza asali tamu. Hali kadhalika ni pambo maridhawa kuleta mvuto katika makazi na matukio maalumu.

Hatuwezi binadamu wenye akili timamu kujifanya kama ua ambalo lipo kwa nature tofauti na binadamu mwenye kupevuka kwa akili, na kuchagua lenye kufaa kwa kulinda heshima na utamaduni wake. Hii imekukumbusha mbali niwaonapo wasomali, na jamii nyingine za kiarabu wawapo nchi za magharibi jinsi wanavyojidai na utamaduni wao bila kificho na kweli umetukuka na wameeleweka na kuheshimika hivyo.

Jambo la msingi tunaloongelea hapa ni mila na desturi zetu zinavyoenda na wakati bila kujidhalilisha. Hatuwezi kuchukulia mababu na mabibi zetu walivyoishi uchi kipindi cha stone ages, ambapo walikuwa na sheria kali za kuwalinda na ndio maana kuna makabila tangu enzi hizo hayakuruhusu wasichana na wavulana kukaa pamoja ila katika matukio fulani muhimu kama ngoma chini iya uangalizi wa wakubwa na pindi wanapofikia kuvutiana kuwa wamoja taratibu za kimila zilichukua mkondo wake.

Pamoja na mie kuiona dunia hii ya mataifa mbalimbali ilivyo, kuna mengi tu yanayolinda heshima na utamaduni wao wa asili bila kuathiriwa kiasi kikubwa cha mwingiliano na mataifa mengine pamoja na tamaduni mbalimbali duniani. Hii nakumbuka siku nillipokuwa katika taifa fulani kwa maksudi tu nilijiunga vipindi vya ziada kujifunza mila na desturi zao. Lakini nilichojifunza zaidi walikuwa na hamu zaidi ya kujifunza utamaduni wa nchi yangu yaani mila na desturi tufanyavyo nchini kwangu Tunza yenye Nia. Na walisikia furaha nilivyokuwa najivunia utamaduni wangu na msimamo na hata instructor alitusisitizia kuibukia utamaduni wa kigeni unaweza kushtukia umekuwa kiraka ndani ya mila na desturi zako za asili ukaonekana popo.

Fikiria mwanamke mwenye mume wake anapohangaikia kunadisha jiografia ya mwili wake kwa watu wengine inajenga dhamira gani wakati ameshakuwa na commitment na mumewe? Labda kwa dada zeti ambao bado wanajaribu kupata soko la kuwa na mwenzi wa maisha, ila ingekuwa vema kuangalia mazingira gani kwani wengi siku hizi wenye tamani ya kweli ya mwenzi wa maisha tabia na mwenendo wa mtu ni kigezo cha awali. Maana hii ya plastic surgery, bra zenye foam za kuinulia matiti, kuongeza ukubwa wa makalio kwa kudungwa sindano, kurefusha kucha kwa kuweka kucha bandia, kurembusha wanja usoni nk havitamsaidia mtu kubadilisha tabia yake ila ni make up ya kuvutia tu nyuki kulifikia ua ingawa si ishara ya kuwa na utomvu unaofuatwa na nyuki.

Nilishangaa mara kadhaa nilipokuwa nafanya interview na kuajiriwa wakati ni mwanafunzi nchi fulani ya ughaibuni, moja ya mashari tuliyopewa na kazi ni kama ifuatavyo:
Wanawake marufuku kuvaa nguo fupi, kuonyesha sehemu za matiti nje, kuvaa heleni kubwa, kuwa na kucha fupi nk.
Wanaume hakuna kuvaa heleni, kusuka rasta, na ni sheria kuvaa nguo zenye kulinda heshima ya utu na makampuni yaliyeenda mbali zaidi ni sare za kampuni na usipovaa unafukuzwa kazi, maana yake wanatilia mkazo
casual wear. Serikali ndo usiseme, sheria zao na masharti ya kulinda heshima ya utu ni dondoo ya kwanza. Mbali zaidi uwanja wa vyombo vya habari afadhali ninyamaze kuliko kusema maana nilishuhudia mmoja wetu alivyofukuzwa sababu ya kuvaa isivyo wakati akiwa field TV live. Sijajua hii ya kusema majuu wanavaa wapendavyo imetoka wapi. Makampuni mengi nchi zilizoendelea na serikalini hakuna mashindano ya kuvaa na kujiremba ila utendaji kazini, uwapo home fanya upendavyo. Tatizo wabongo wanaiga mivao ya night club na kuipeleka public, na siku tusipokuwa makini wataingia ofisini na bikini wakifikiria wako kuogelea ufukweni mwa bahari na bosi wake akamshangaa Ps wake anampokelea kwa shikamoo huku kajaa tele kwenye bikini.

Tuweni watetezi wa hoja kwa upembuzi yakinifu badala ya hoja ya mvuto binafsi wa yanayojilia, kwani tukumbuke daima utamaduni ni kioo cha jamii yo yote duniani.
 
Mzee Mwanakijiji;2328861]Kwanza, bado sinaona mwanamke wa Kitanzania ambaye anaachia matiti yake nje wazi; lakini wapo wengine wanaoachia kwa sababu wananyonyesha wala si tatizo. Lakini kama unamaanisha wanaonesha "clevage" yaani sehemu ya juu ya matiti bila kuonesha chuchu basi wala si tatizo ni mapambano tu ya watoto wa kike.

NI sawa na nyumba nzuri ambayo ina bustani nzuri pale nje. Sasa siyo kila nyumba nzuri ina bustani nzuri na siyo kila bustani nzuri ina nyumba nzuri. Lakini jingine, siyo unapopita kwenye nyumba nzuri unaambiwa "karibu" au uanze papara zako kufungua milango, nyingine unapita nje na kuadmire tu kwa mbali. Ukikaribishwa heri yako ukiishia kutamani hivyo. Lakini wakati mwingine, inakuhamisha na wewe kuona nyumba yako inakuwa na kajibustani kazuri... so do the needful.

Huku kijijini hata maofisini watu wanavaa hayo isipokuwa ni kiasi gani tu kinaoneshwa, wakati mwingine mtu haitaji kuachia wazi, anahitaji kujibanda vizuri au push-up bra na mambo yanakuwa hivyo. SAsa vinginevyo mtataka dada zetu hata wasivae push up bras!

Mwanakijiji kama uko ndani ya Tanzania usingesema kwamba hujaona mwanamke wa kitanzania akiachia matiti nje, na kama uko nje basi ujue Tanzania ya leo ukirudi na kuangalia wengi mijini hutaamini na pengine bora nchi za wenzetu wanajua kuchagua wapi kwa kujiachia na wapi kwa kuvaa casual.

Majuzi tu Kanisa la Anglican huko Moshi lilitoa angalisho kwa wanaharusi na wapambe wao kuvaa nguo zenye heshima, hii ni dalili wazi hali hiyo imeingia hata nyumba za kuabudia watu kuvaa nguo zenye mfumo wa kuonyesha jiografia ya maumbile badala ya kulinda heshima yao ili watu wawe na dhamira moja ya kumwabudu Mungu badala ya na kunaswa na taswira za msichana anayekaa nusu uchi kanisani kuamsha hisia za wanaume.


 
VUVUZELA unamambo nimecheka sana.
Wanawake wa dazaini hiyo wamekaa kizinaa zinaa tu, wanataka waombwe kasi hivyo wangezuia maeneo nyeti yao.
Wanatega
 
View attachment 34959

A proudly African Woman...
ana heshima zote kwa jamii yake inayomzunguka
nami pia.


Mimi nitakuwa the "devll's advocate" ili kuonyesha upungufu uliopo kwenye value systems zetu na ugumu au uhafifu wa kujenga hoja linapokuja swala la kupinga " upotofu wa maadili". Tunapinga au kukataza based on what? Mila na desturi zipi? Za kiafrika au za "kigeni"?
Hiyo picha hapo juu inaonyesha utamaduni wa kiafrika. Wamaasai wa Tanzania nao uvaaji wao wa kitamaduni kuna watakoukosoa kuwa hauna maadili ya "kiafrika"? Je mtu asiye mmaasai akiamua kuvaa vazi hilo ataonekana anaenzi utamaduni wa kiafrika? Tukubali kuwa kwa siku hizi hakuna "mila na desturi au utamaduni wa Kiafrika per se bali ni muingiliano wa imani itikadi na tamaduni za kigeni zaidi.
Nitalitazama hili kwa kuzingatia post hiyo hapo chini kama mfano kujenga hoja yangu.
Napata picha ya
sheria za kiislamu ingawa zinapokeleka kwa mtazamo tofauti lakini zima maana fulani kwa ajili ya kulinda heshima ya mwanamke.


MWENZETU unazungumzia "uafrika" au imani ya dini ya kiislam? Ukichanganya vitu viwili utapoteza maana ya unalotarajia.Tuklisema UAFRIKA per se mbona kuna kazi? UAFRIKA mbona ulimwacha mwanamke "mtupu" kama hiyo picha hapo juu! Mi nadhani kwenye hoja kama hizi tusiweke hoja ya "Uafrika" bali tujikite zaidi kwenye mila-mapokeo kufuatia watu kukumbatia mila, desturi na imani za "kigeni" - wazungu, wahindi, waarabu n.k na imani za kigeni - ukristo, usilam n.k. Mapokeo haya ya kigeni yametuletea "ustaarabu" na "staha" tulizo nazo leo - staha ambazo zimefunika UAFRIKA!




Hatuwezi binadamu wenye akili timamu kujifanya kama ua ambalo lipo kwa nature tofauti na binadamu mwenye kupevuka kwa akili, na kuchagua lenye kufaa kwa kulinda heshima na utamaduni wao. Hii imekukumbusha mbali niwaonapo wasomali, na jamii nyingine za kiarabu wawapo nchi za magharibi jinsi wanavyojidai na utamaduni wao bila kificho na kweli umetukuka na wameeleweka na kuheshimika hivyo.
Hapa kwenye bold napata shida kidogo, Heshima tunazolinda ni za kiafrika au za kigeni? Kwanini basi hatuoni fahari kulinda "utamaduni wa kiafrika? Je Wamaasai wakitukuza na kuenzi utamaduni wao bado utasema kama ulivyosema hapo juu kwa Wasomali?


Jambo la msingi tunaloongelea hapa ni mila na desturi zetu zinavyoenda na wakati bila kujidhalilisha. Hatuwezi kuchukulia mababu na mabibi zetu walivyoishi uchi kipindi cha stone ages, ambapo walikuwa na sheria kali za kuwalinda na ndio maana kuna makabila tangu enzi hizo hayakuruhusu wasichana na wavulana kukaa pamoja ila katika matukio fulani muhimu kama nguma chini iya uangalizi wa wakubwa na pindi wanapofikia kuvutiana kuwa wamoja taratibu za kimila zilichukua mkondo wake.


Unadhani tatizo ni mtu/watu au ni mifumo?

Pamoja na mie kuiona dunia hii ya mataifa mbalimbali ilivyo, kuna mengi tu yanayolinda heshima na utamaduni wao wa asili bila kuathiriwa kiasi kikubwa cha mwingiliano na mataifa mengine pamoja na tamaduni mbalimbali duniani.

N andio haswa maana ya utandawazi - Kuona na kuchagua kufuatana na kinachokuvutia.Kuacha kile unachoona hakina manufaa kwako.Bahati mbaya sana hakuna formula kwenye hili. Na ndio hata hii mada utaona watu wanaijadili katika angle tofauti. Wengine watasema "uhuru wa mtu, haki yake" kuvaa apendavyo. Wengine watasema ni kukosa heshima/adabu etc.

Na walisikia furaha nilivyokuwa najivunia utamaduni wangu na msimamo na hata instructor alitusisitizia kuibukia utamaduni wa kigeni unaweza kushtukia umekuwa kiraka ndani ya mila na desturi zako za asili ukaonekana popo.


Ulijivunia utamaduni upi sasa maana ukiangalia Watanzania au waafrika wengi wamemezwa kwenye tamaduni za wengine, wakaona tamaduni zao ni mbovu, za kizamani, uncivilised etc kwa sababu waliokuja kutupa tamaduni zao walianza kuponda na kutukana tamaduni za kiafrika kuwa ni za " kishenzi"

Fikiria mwanamke mwenye mume wake anapohangaikia kunadisha jiografia ya mwili wake kwa watu wengine inajenga dhamira gani wakati ameshakuwa na commitment na mumewe? Labda kwa dada zeti ambao bado wanajaribu kupata soko la kuwa na mwenzi wa maisha, ila ingekuwa vema kuangalia mazingira gani kwani wengi siku hizi wenye tamani ya kweli ya mwenzi wa maisha tabia na mwenendo wa mtu ni kigezo cha awali. Maa hii ya plastic surgery, bra zenye foam za kuinulia matiti, kuongeza ukubwa wa makalio kwa kudungwa sindano, kurefusha kucha kwa kuweka kucha bandia, kurembusha wanja usoni nk havitamsaidia mtu kubadilisha tabia yake ila ni make up ya kuvutia tu nyuki kulifikia ua ingawa si ishara ya kuwa na utomvu unaofuatwa na nyuki.

Hapa kuna tatizo kubwa sana. Kuna mitizamo tofauti sana baina ya wanawake na wanaume kwenye hapo bold.nIMEJARIBU KUULIZA WANAWAKE KADHAA kuwa urembo unaofanyw ana mwanamke ni kwa sababu gani.Majibu yalikuwa tofauti:
Kuna wenye kufanya hivyo kwa sababu wanapenda wao wenyewe na siyo kuwafurahisha watu wengine. Hawa nao ni wengi - wako walio single na walioolewa, watu wazima na vijana pia. Pia kuna wanaojiremba ili kuvutia mbele za watu wengine - hawa mara nyingi ni vjana zaidi au wako single. Kuna wanaojipamba kwa sababu wenza wao wanapenda pia. Hii ina maanisha kuwa siyo kila mwanamke anavaa/kujipamba ili kujinadi! Bahati mbaya wanaume wengi nao wanatafsiri zao tofauti na hizi kuhusu mampambo ya mwanamke.Wapo wengi kama wewe wenye kudhani ati mwanamke kujipamba ni kujinadi!

Nilishangaa mara kadhaa nilipokuwa nafanya interview na kuajiriwa wakati ni mwanafunzi nchi fulani ya ughaibuni, moja ya mashari tuliyopewa na kazi ni kama ifuatavyo:
Wanaume hakuna kuvaa heleni, kusuka rasta, na ni sheria kuvaa nguo zenye kulinda heshima ya utu na makampuni yaliyeenda mbali zaidi ni sare za kampuni na usipovaa unafukuzwa kazi. Serikali ndo usiseme, sheria zao na masharti ya kulinda heshima ya utu ni dondoo ya kwanza.

Nakubaliana na wewe kabisa, mivao na mapambo lazima kuangalia muktadha. Bahati mbaya sana watu wengi hawaangalii hili. Ni suala pia la utamaduni mpana zaidi ya utamaduni wa kabila au race. Ni utamaduni wa taasis. Nikiangalia hili la kusuka rasta kwa wanaume nasikia kucheka kidogo. Huko South Africa rasta/dreadlock ni "identity' ya mwafrika na kunatukuzwa.Huwezi kufukuzwa kazi kwa vile una dreadlock.Hii ni kwa wote wanawake na wanaume. Ila kwa wazungu na hata waafrika kama Tanzania mtu mwenye dreadlocks huonekana kivingine na hakubaliki! Hereni kwa mwanaume pia ni kitu kinachoonekana si maadili mema.


Sijajua hii ya kusema majuu wanavaa wapendavyo imetoka wapi. Tatizo wabongo wanaiga mivao ya night club na kuipeleka public, na siku tusipokuwa makini wataingia ofisini na bikini wakifikiria wako kuogelea ufukweni mwa bahari
.


Hili nalo neno!! Ila bahati nzuri Serikali inayo dress code.Kama haifuatwi ni tatizo la kiutendaji.
 
A proudly African Woman...
ana heshima zote kwa jamii yake inayomzunguka

nami pia.

Mimi nitakuwa the "devll's advocate" ili kuonyesha upungufu uliopo kwenye value systems zetu na ugumu au uhafifu wa kujenga hoja linapokuja swala la kupinga " upotofu wa maadili". Tunapinga au kukataza based on what? Mila na desturi zipi? Za kiafrika au za "kigeni"?
Hiyo picha hapo juu inaonyesha utamaduni wa kiafrika. Wamaasai wa Tanzania nao uvaaji wao wa kitamaduni kuna watakoukosoa kuwa hauna maadili ya "kiafrika"? Je mtu asiye mmaasai akiamua kuvaa vazi hilo ataonekana anaenzi utamaduni wa kiafrika? Tukubali kuwa kwa siku hizi hakuna "mila na desturi au utamaduni wa Kiafrika per se bali ni muingiliano wa imani itikadi na tamaduni za kigeni zaidi.
Nitalitazama hili kwa kuzingatia post hiyo hapo chini kama mfano kujenga hoja yangu.

Napata picha ya
sheria za kiislamu ingawa zinapokeleka kwa mtazamo tofauti lakini zima maana fulani kwa ajili ya kulinda heshima ya mwanamke.

Mwenzetui
unazungumzia "uafrika" au imani ya dini ya kiislam? Ukichanganya vitu viwili utapoteza maana ya unalotarajia.Tuklisema UAFRIKA per se mbona kuna kazi? UAFRIKA mbona ulimwacha mwanamke "mtupu" kama hiyo picha hapo juu! Mi nadhani kwenye hoja kama hizi tusiweke hoja ya "Uafrika" bali tujikite zaidi kwenye mila-mapokeo kufuatia watu kukumbatia mila, desturi na imani za "kigeni" - wazungu, wahindi, waarabu n.k na imani za kigeni - ukristo, usilam n.k. Mapokeo haya ya kigeni yametuletea "ustaarabu" na "staha" tulizo nazo leo - staha ambazo zimefunika UAFRIKA!

Hatuwezi binadamu wenye akili timamu kujifanya kama ua ambalo lipo kwa nature tofauti na binadamu mwenye kupevuka kwa akili, na kuchagua lenye kufaa kwa kulinda heshima na utamaduni wao. Hii imekukumbusha mbali niwaonapo wasomali, na jamii nyingine za kiarabu wawapo nchi za magharibi jinsi wanavyojidai na utamaduni wao bila kificho na kweli umetukuka na wameeleweka na kuheshimika hivyo.


Hapa kwenye bold napata shida kidogo, Heshima tunazolinda ni za kiafrika au za kigeni? Kwanini basi hatuoni fahari kulinda "utamaduni wa kiafrika? Je Wamaasai wakitukuza na kuenzi utamaduni wao bado utasema kama ulivyosema hapo juu kwa Wasomali?



Jambo la msingi tunaloongelea hapa ni mila na desturi zetu zinavyoenda na wakati bila kujidhalilisha. Hatuwezi kuchukulia mababu na mabibi zetu walivyoishi uchi kipindi cha stone ages, ambapo walikuwa na sheria kali za kuwalinda na ndio maana kuna makabila tangu enzi hizo hayakuruhusu wasichana na wavulana kukaa pamoja ila katika matukio fulani muhimu kama nguma chini iya uangalizi wa wakubwa na pindi wanapofikia kuvutiana kuwa wamoja taratibu za kimila zilichukua mkondo wake.



Unadhani tatizo ni mtu/watu au ni mifumo?


Pamoja na mie kuiona dunia hii ya mataifa mbalimbali ilivyo, kuna mengi tu yanayolinda heshima na utamaduni wao wa asili bila kuathiriwa kiasi kikubwa cha mwingiliano na mataifa mengine pamoja na tamaduni mbalimbali duniani.


N andio haswa maana ya utandawazi - Kuona na kuchagua kufuatana na kinachokuvutia.Kuacha kile unachoona hakina manufaa kwako.Bahati mbaya sana hakuna formula kwenye hili. Na ndio hata hii mada utaona watu wanaijadili katika angle tofauti. Wengine watasema "uhuru wa mtu, haki yake" kuvaa apendavyo. Wengine watasema ni kukosa heshima/adabu etc.


Na walisikia furaha nilivyokuwa najivunia utamaduni wangu na msimamo na hata instructor alitusisitizia kuibukia utamaduni wa kigeni unaweza kushtukia umekuwa kiraka ndani ya mila na desturi zako za asili ukaonekana popo.

Ulijivunia utamaduni upi sasa maana ukiangalia Watanzania au waafrika wengi wamemezwa kwenye tamaduni za wengine, wakaona tamaduni zao ni mbovu, za kizamani, uncivilised etc kwa sababu waliokuja kutupa tamaduni zao walianza kuponda na kutukana tamaduni za kiafrika kuwa ni za " kishenzi"


Fikiria mwanamke mwenye mume wake anapohangaikia kunadisha jiografia ya mwili wake kwa watu wengine inajenga dhamira gani wakati ameshakuwa na commitment na mumewe? Labda kwa dada zeti ambao bado wanajaribu kupata soko la kuwa na mwenzi wa maisha, ila ingekuwa vema kuangalia mazingira gani kwani wengi siku hizi wenye tamani ya kweli ya mwenzi wa maisha tabia na mwenendo wa mtu ni kigezo cha awali.Maa hii ya plastic surgery, bra zenye foam za kuinulia matiti, kuongeza ukubwa wa makalio kwa kudungwa sindano, kurefusha kucha kwa kuweka kucha bandia, kurembusha wanja usoni nk havitamsaidia mtu kubadilisha tabia yake ila ni make up ya kuvutia tu nyuki kulifikia ua ingawa si ishara ya kuwa na utomvu unaofuatwa na nyuki.


Hapa kuna tatizo kubwa sana. Kuna mitizamo tofauti sana baina ya wanawake na wanaume kwenye hapo bold.nIMEJARIBU KUULIZA WANAWAKE KADHAA kuwa urembo unaofanyw ana mwanamke ni kwa sababu gani.Majibu yalikuwa tofauti:
Kuna wenye kufanya hivyo kwa sababu wanapenda wao wenyewe na siyo kuwafurahisha watu wengine. Hawa nao ni wengi - wako walio single na walioolewa, watu wazima na vijana pia. Pia kuna wanaojiremba ili kuvutia mbele za watu wengine - hawa mara nyingi ni vjana zaidi au wako single. Kuna wanaojipamba kwa sababu wenza wao wanapenda pia. Hii ina maanisha kuwa siyo kila mwanamke anavaa/kujipamba ili kujinadi! Bahati mbaya wanaume wengi nao wanatafsiri zao tofauti na hizi kuhusu mampambo ya mwanamke.Wapo wengi kama wewe wenye kudhani ati mwanamke kujipamba ni kujinadi!


Nilishangaa mara kadhaa nilipokuwa nafanya interview na kuajiriwa wakati ni mwanafunzi nchi fulani ya ughaibuni, moja ya mashari tuliyopewa na kazi ni kama ifuatavyo:
Wanaume hakuna kuvaa heleni, kusuka rasta, na ni sheria kuvaa nguo zenye kulinda heshima ya utu na makampuni yaliyeenda mbali zaidi ni sare za kampuni na usipovaa unafukuzwa kazi. Serikali ndo usiseme, sheria zao na masharti ya kulinda heshima ya utu ni dondoo ya kwanza.


Nakubaliana na wewe kabisa, mivao na mapambo lazima kuangalia muktadha. Bahati mbaya sana watu wengi hawaangalii hili. Ni suala pia la utamaduni mpana zaidi ya utamaduni wa kabila au race. Ni utamaduni wa taasis. Nikiangalia hili la kusuka rasta kwa wanaume nasikia kucheka kidogo. Huko South Africa rasta/dreadlock ni "identity' ya mwafrika na kunatukuzwa.Huwezi kufukuzwa kazi kwa vile una dreadlock.Hii ni kwa wote wanawake na wanaume. Ila kwa wazungu na hata waafrika kama Tanzania mtu mwenye dreadlocks huonekana kivingine na hakubaliki! Hereni kwa mwanaume pia ni kitu kinachoonekana si maadili mema.

Sijajua hii ya kusema majuu wanavaa wapendavyo imetoka wapi. Tatizo wabongo wanaiga mivao ya night club na kuipeleka public, na siku tusipokuwa makini wataingia ofisini na bikini wakifikiria wako kuogelea ufukweni mwa bahari


Hili nalo neno!! Ila bahati nzuri Serikali inayo dress code.Kama haifuatwi ni tatizo la kiutendaji.

Kuna ile inaitwa general observation ya kiwango cha mtu kutoa maoni. Kuna ile ya moja na moja ni mbili kama ilivyo kwa chemsha bongo ya wanafunzi darasani. Halafu kuna hiyo niliyoitamka hapo ya jeneral observation ya maudhui ya habari inayojadiliwa na hivyo kutoa picha ya maoni na matarajio yako yenye kuimasishwa na msimamo wako ambayo ni ya kiwango cha juu zaidi na ndiyo tunayoitazamia hapa.

Lakini hii ya kujibu mstari kwa msitari au kifungu cha habari kwa kifungu cha habari inaweza kuleta hitimisho la back to school kujifunza fasihi au english composition ambako mtu unaweza kujifunza mbinu na kanuni za kujua general observation inajadiliwa kwa utaratibu gani. Kwa utaratibu wa kujibu kila kifungu cha maneno kimoja baada ya kingine inatoa taswira ya kutopambanua nini kinaongelewa.

Katika kufikisha ujumbe ni kawaida na taratibu ya mfumo wa uandishi kujenga hoja kwa upana zaidi katika kufafanua jambo lieleweke kwa jamii kwa kutolea dondoo mbalimbali ikiwemo jamii inayotuzunguka na jamii zinazoadhiri mila na desturi yatu na kujifunza nini kigeni chatufaa na kipi tukipige kikumbo. Ndio maana huwa tunahitimisha kwa kujua falsafa ya mtu ni ipi baada ya kupitia makandokando yote, lakini hii ya kila paragraph kuijibu hata dondoo ya kujengea hoja itakuwa vigumu kujua falsafa gani unayo kwani kuna unayopinga na kukubali sasa msimamo wako uko wapi?

 
Utakuta wengine wana Fake hair, fake nails, fake tan, fake eyelashes, ... and they wonder why they can't find a real man. You will continue being used and damped. Why not go natural?
 
hiyo yote ni Human right tuliyoipokea pasipo kujiuliza ni nini tunapoke kila siku wabunge wanaaaangalia eti nchi iwe na haki za binadamu bila kujua kuwa huo ndo mwanzo wa kupotea na kuwa watumwa ktk nchi yetu ni uhuru waaache wafanye ila watakpokuwa watu wazima na kuona yanayofanywa na watoto wao ndo hapo mtu atagundua maaaaaana ya kuwa na haki za binadamu
 
Duh! mjadala wa tamaduni bado upo tu?

Tutapiga sana kelele... lakini tukumbuke Mila, tamaduni, Values..tumeshachakachua . Hatuna cha kujivunia tena ..tumeviuza vyote kwa mazingira, utandawazi, ukoloni.. n.k

By the way... tusijali sana ..naona mamlaka zinachukua hatua madhubuti kurudi tulikotoka kwa spidi kali.....mfano zamani hawakuwa na umeme waliishi kwa viginga vya moto..nadhani Mgawo wa Tanesco ni matayarisho kurudi kwenye giza totoro kwani iko siku tutaona Tanesco wanatoa minara ya umeme kufanya kuni..... Huduma za afya ..zamani waliishi kwa mizizi....Mambo ya vikombe vya loliondo ni dalili tosha hatuitaji dawa za mdhungu.... Mafuta ya magari hakuna tena..baada ya miezi michache tutatupa mikweche yetu na kuanza kutembea kwa miguu.. Maji ya Nuwa yanatoka kwa kubahatisha...ni mafundisho ya kujifunza kuchimba visima na kujisadia porini...

Tanzania = Back to square one!
 
Back
Top Bottom