Wanawake wa Kinyakyusa

Status
Not open for further replies.
wanajua kulia sana,
wanauwezo wa kukaa msibani hata mwaka mzima,
wanauwezo wa kupata mimba huko huko msibani na wakarudi nyumba na mtoto,
ni hodari kubeba watoto mgongoni,
ni hodari kuvalisha watoto nguo za kuwakinga na baridi,
anauwezo wa kwenda mbali na nyumbani kwa ajili ya biashara yake ya ndizi,
atakaporudi nyumbani ni lazima amnunulie mume wake shati na suruali hata kama ya mtumba.
wagumu sana kutoa msaada,

Wanyaki hawauzi ndizi alafu tambua kuwa siyo kweli wanaweza kukaa msibani kwa muda mrefu kama huo................... arafu huko kwenu mbona wanaweza kuzaa na wakwe zao mmmh!!
 
Nijuavyo mimi ni kuwa ukiacha mambo mengine yote yawe constant(ceteris peribus), mwanamke wa Kinyakyusa akikupenda anaweza akawa anakununulia vitochi kila siku kama mpo kijijini!...
Wana Ukarimu na upendo wa dhati na huruma nyingi(hata kama ni ya kuchonga!)...kama mpo mjini anaweza akakufadhili kuishi kwake bure hata mwezi mzima, kisha baada ya hapo tafuta kazi msaidiane kulipa pango!...
In general, ni wapole, ila maisha ya kisasa yanamuathiri kila mtu jamani, tuwe wakweli!

Kwa miaka hii huwezi kupata hata 60%purity ya kabila lolote lile tanzania kutokana na miingiliano ya makabila na mbadiliko ya maisha! mTUakiongelea kabila, basi afanye reference ya miaka ya 80 kushuka chini!
Nawasilisha!
 
wanajua kulia sana,
wanauwezo wa kukaa msibani hata mwaka mzima,
wanauwezo wa kupata mimba huko huko msibani na wakarudi nyumba na mtoto,
ni hodari kubeba watoto mgongoni,
ni hodari kuvalisha watoto nguo za kuwakinga na baridi,
anauwezo wa kwenda mbali na nyumbani kwa ajili ya biashara yake ya ndizi,
atakaporudi nyumbani ni lazima amnunulie mume wake shati na suruali hata kama ya mtumba.
wagumu sana kutoa msaada,


Mkuu nimecheka sana hii comment yako
 
Mkuu thibitisha madharau yangu kwa watu wa mbeya'soma vizuri pale juu'nimezaa nao'mimi ni mkwe mbeya'kusema hawajui kukataa ni uongo?au thibitisha kuhusu guest bubu za bei rahisi'nimekaa pale mbeya sana mkuu'usinisome sivyo

Hii habari ya kuzaa nao sio issue kwani hata sisi tumezaa na dada zenu,...suala la guest bubu nalo sio kitu hapo unapoishi dar,arusha etc,.guest bubu zimejaa kila kona,..uthibitisho wa madharau yako refer ile thread ya kibonde jana
 
Wanyaki hawauzi ndizi alafu tambua kuwa siyo kweli wanaweza kukaa msibani kwa muda mrefu kama huo................... arafu huko kwenu mbona wanaweza kuzaa na wakwe zao mmmh!!

usipaniki mkuu, uliza historia uijue vizuri, na leo tunaongea kyusani, tatizo umejikuta uko hivyo ila ulikotoka hukujui vizuri, waulize wakuu wengine kama akina mwakipesili, mwasampili, mwamajuja, mwambulukutu, mwakangale na wengine wengi wanajua hayo niliyoyaandika hapo juu.
 
Nijuavyo mimi ni kuwa ukiacha mambo mengine yote yawe constant(ceteris peribus), mwanamke wa Kinyakyusa akikupenda anaweza akawa anakununulia vitochi kila siku kama mpo kijijini!...
Wana Ukarimu na upendo wa dhati na huruma nyingi(hata kama ni ya kuchonga!)...kama mpo mjini anaweza akakufadhili kuishi kwake bure hata mwezi mzima, kisha baada ya hapo tafuta kazi msaidiane kulipa pango!...
In general, ni wapole, ila maisha ya kisasa yanamuathiri kila mtu jamani, tuwe wakweli!

Kwa miaka hii huwezi kupata hata 60%purity ya kabila lolote lile tanzania kutokana na miingiliano ya makabila na mbadiliko ya maisha! mTUakiongelea kabila, basi afanye reference ya miaka ya 80 kushuka chini!
Nawasilisha!

sawa sawa mkuu!
 
wanajua kulia sana,
wanauwezo wa kukaa msibani hata mwaka mzima,
wanauwezo wa kupata mimba huko huko msibani na wakarudi nyumba na mtoto,
ni hodari kubeba watoto mgongoni,
ni hodari kuvalisha watoto nguo za kuwakinga na baridi,
anauwezo wa kwenda mbali na nyumbani kwa ajili ya biashara yake ya ndizi,
atakaporudi nyumbani ni lazima amnunulie mume wake shati na suruali hata kama ya mtumba.
wagumu sana kutoa msaada,

ahahhahahahaaaaaaaaaaaaaaaa!...naona mmeamua kupaka leo_anyway yote ya uongo...hiyo biashara ya ndizi mby sio kihivyo labda kwenu moshi na bukoba
 
wanapenda kujibust
kujiona wao ndo wao
wanajua kila kitu
wanataka waongoze kwa kila sekta
kujifanya wamjiniiii kumbe mweeeeeeeeeeeee katoka kyela jana
Sijui wewe ni kabila gani lakini ni wale wale tu tena inawezekana NI MSAFA TU AU MKINGA NDIYO MAANA INA KUUMA SANA LEO UMEAMUA KULIPUKA KWA UONGO MAMA!!!
 
usipaniki mkuu, uliza historia uijue vizuri, na leo tunaongea kyusani, tatizo umejikuta uko hivyo ila ulikotoka hukujui vizuri, waulize wakuu wengine kama akina mwakipesili, mwasampili, mwamajuja, mwambulukutu, mwakangale na wengine wengi wanajua hayo niliyoyaandika hapo juu.

Kaka kamwe siwezi kupaniki kwa maneno ya uongo uongo kama wa ccm wauza ndizi ni wandali, wasafa na wengineo ambao kamwe hawawezi kusema makabila yao aidha nadhani kupaniki kisa mchaga au mkinga kaongea utumbo hilo siwezi kufanya ila chimbavizuri labda tena labda unaweza kujua maana mwalimu wako nadhani ni msafa.
 
mhhh!!!!!
sjui km kweli bt wote niliowashuhudia kwa majiran na marafiki ni kwamba WANAUME WA KINYAKYUSA WANAPENDA SANA UDUMELISM..yaan kushurutisha tu ..anataka aexercisse udumelism ata kwa mtoto wa miaka 2... ukifanya kitu kdg tu anajihisi UMEMDHARAU,,,yaan full mashtukio
Naloli nkikulu
 
IGWE, anayesema kuuliza ishu ya kuuliza makabila imepitwa na wakati,anakosea,jaribu kuoa mmachame uone kazi yake!
 
Kaka kamwe siwezi kupaniki kwa maneno ya uongo uongo kama wa ccm wauza ndizi ni wandali, wasafa na wengineo ambao kamwe hawawezi kusema makabila yao aidha nadhani kupaniki kisa mchaga au mkinga kaongea utumbo hilo siwezi kufanya ila chimbavizuri labda tena labda unaweza kujua maana mwalimu wako nadhani ni msafa.

momumo mwalafyale........baleke bajobege_bobali nkamu
 
ahahhahahahaaaaaaaaaaaaaaaa!...naona mmeamua kupaka leo_anyway yote ya uongo...hiyo biashara ya ndizi mby sio kihivyo labda kwenu moshi na bukoba

kweli kumbe hamjui mambo mengi ya kwenu.
 
IGWE, anayesema kuuliza ishu ya kuuliza makabila imepitwa na wakati,anakosea,jaribu kuoa mmachame uone kazi yake!

ni sawa kabisa mkuu...hili suala lipo sana vichwani mwa wengi ila mm nimewahi kuwa na mpnz wa kimachame nilipokua shule_alikua fresh na sikuona tofauti yeyote ingawa school mate wangu walikua wananitaadharisha sana.....nafikiri comment ya PJ hapo juu imeeleza ukweli usio na mawaa it was then bana......kwa sasa haya mambo ni kama historia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom