IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,382
mhhh!!!!!
sjui km kweli bt wote niliowashuhudia kwa majiran na marafiki ni kwamba WANAUME WA KINYAKYUSA WANAPENDA SANA UDUMELISM..yaan kushurutisha tu ..anataka aexercisse udumelism ata kwa mtoto wa miaka 2... ukifanya kitu kdg tu anajihisi UMEMDHARAU,,,yaan full mashtukio
acha uongo_kila mtu lazima achukua nafasi yake...baba ni kichwa cha familia imeandikwa