Wanawake wa Kinyakyusa

Status
Not open for further replies.
mhhh!!!!!
sjui km kweli bt wote niliowashuhudia kwa majiran na marafiki ni kwamba WANAUME WA KINYAKYUSA WANAPENDA SANA UDUMELISM..yaan kushurutisha tu ..anataka aexercisse udumelism ata kwa mtoto wa miaka 2... ukifanya kitu kdg tu anajihisi UMEMDHARAU,,,yaan full mashtukio

acha uongo_kila mtu lazima achukua nafasi yake...baba ni kichwa cha familia imeandikwa
 
Kwa yeyote mwenye kufahamu tabia zao,watu hawa anijuze.Please!

akuna uniformity juu ya tabia za watu

kila mtu anatabia yake

uwez sema kabila A lina tabia hii,kabila W lina tabia flani..wakristu wapo ivi waislamu wapo vile...kila mtu anajibinjua kivyake

so usitegemee kupata formula kamili ya wanyakyusa wapo xqoxqoxo..
 
Wanawake wa Kinyakyusa wengi ni wababe sana na kwa wale wasio na kazi/elimu wakija town kazi wanayotaka ni u-bar maid, hata ukichukua house girl haichukui mwezi keshakimbialia bar.
Wanaume wao wanapenda mfumo dume sana and they are so arrogant.
In general Wanyakyusa hawatofautiani sana na Wahaya; arrogance, tharau, ubinafsi; Sorry kama nimeoffend Mnyakyusa yeyote humu but thats my experience nimesoma na wanyakyusa , ukimwomba mnyakyusa kitabu atakupiga chenga ili mradi asikupe na ampe mwenzie hata asiyehitaji.


hiyo shule/chuo ulichosoma na wanyakyusa pekee kiko wapi tz hii
 
acha uongo_kila mtu lazima achukua nafasi yake...baba ni kichwa cha familia imeandikwa



kwan nimekataa wanaume wasiwe kichwa cha nyumba?

unless othwise unambie AUJANIELEWA NIMEMAANISHA NINI JUU YA UDUMELISM...thats wanaume wa kinyakyusa wanapenda sana udumelism..
 
kwan nimekataa wanaume wasiwe kichwa cha nyumba?

unless othwise unambie AUJANIELEWA NIMEMAANISHA NINI JUU YA UDUMELISM...thats wanaume wa kinyakyusa wanapenda sana udumelism..

nimekuelewa sana...ila nafikiri wewe ni mwanamke unayependa kuendesha familia kwa matakwa yako
 
washari km wanawake wa kihaya...THOU I HATE GENERALIZATION BT MAJORITY NDO WAPO IVO..sjui kwa vile wana maumbo makubwa...nishawai kupanga nyumba moja na wahaya then wanyakyusa wana swaga flan ivi za kibfu bifu wanapenda kuwa kiongoi/msemaji mkuu/director ata km akil yake inamfaa awe mfagizi au mlinda geti...WENGI WAO WASHARI..then si wachoyo wa ile MAMBO....AFU WANAPENDA MAFAGIO ao acha tu

m ready 4battle.

Rose Muongozo hapo kwenye nyekundu.
 
Kutokana na hii thread nimegundua pia wanapenda kulipuka na kukasirika haraka. Humu ndani wanawake na wanaume wa kichagga wanasemwa kila kukicha lakini wala husikii m2 kakasirika wala kurushiana maneno, inawezekana ukweli unauma.
 
sio kwenye nyekundu tu,yaani muongo mwanzo-mwisho

angekuwa mtu mwingine ningetoa mwongozo mwanzo mwisho...BT BCOZ ITS U IGWE AHH apana stoi mwongozo...lipia ada kwanza...maelezo bure MWONGOZO UNALIPIA
 
Kusema kweli hawa jirani zangu ni wakarimu sana na wana tabia nzuri.
Mapungufu waliyonayo ni ya kawaida ambayo kila binadamu anayo..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom