Nimeishi nao,nimesoma nao,nimekula nao,nimeoa mmsai_ni wanawake wa kutumainiwa,...i real love themBandugu,
Nataka kujua tabia za wasichana hawa,kuna wengine wapo mjini wameenda shule.Tabia zao please!
Unawezaje kuwa-label watu wa jamii fulani kwa ujumla wao? Ridiculous ...
Bandugu,
Nataka kujua tabia za wasichana hawa,kuna wengine wapo mjini wameenda shule.Tabia zao please!
ni wavumilive mnoo na wasiri mnoooooo kiasi kwamba hata akitembea na mdogo wako hutokaa ujue
Wanaume kama wanawake, wamasai wanaaminika. I am married to one...
duuuh hili balaa sasa.ni wavumilive mnoo na wasiri mnoooooo kiasi kwamba hata akitembea na mdogo wako hutokaa ujue
hapo ni tatizo! Ila ndo ukwel weng hawana magolikipa pale langoni!Chukua aliyekeketwa mshikaji hasumbui
Unaumwa wewe, sio bure! No wonder liavar lako linaona aibu! maswali gani haya jamvini jamani?Ni kweli kuwa kina baba huwa wakienda jando a.k.a kukata mkono wa sweta wana namna yao tofauti ya kuchonga penseli kama wengine? maana nasikia sikia wana huo utamaduni, atleast kumbe naweza kupata proof sasa.......
Unaumwa wewe, sio bure! No wonder liavar lako linaona aibu! maswali gani haya jamvini jamani?
Unawezaje kuwa-label watu wa jamii fulani kwa ujumla wao? Ridiculous ...
hahaa, mbona umekuwa mkali ghafla bibie?
Dah, mbavu sina!
Kwa hiyo na wewe ndio unamwagia mafuta ya taa kwenye moto unaoanza kuwaka? Mchokozi wewe!