Jamaa angu ameoa mkenya huu ni mwaka wa saba akuna shida wala ugomvi
:clap2: Sijui na mimi nitesti zali kwa manzii wa kikeiii
Mkuu kweli kabisa nina washikaji zangu wasiopungua watano wameoa waganda
Jaman ndugu hunijui humu jamvini na sikujui na tuna majina ya bandia nakuomba sana tena sana mkenya hata kama amekaa tz.miaka 20 hawafai kuolewa na mtanzania vinginevyo awe ni demu wa kupiga na kuchapa lapa lakini kuoa NAKUOMBA NDUGU YANGU TAFUTA MWANAMKE WA TZ UNAYEMMUDU kwani zimwi likujualo halikuli likakwisha.
Yaliyonikuta ni uzoefu wa kutosha na shule kwa wengine
Jaman ndugu hunijui humu jamvini na sikujui na tuna majina ya bandia nakuomba sana tena sana mkenya hata kama amekaa tz.miaka 20 hawafai kuolewa na mtanzania vinginevyo awe ni demu wa kupiga na kuchapa lapa lakini kuoa NAKUOMBA NDUGU YANGU TAFUTA MWANAMKE WA TZ UNAYEMMUDU kwani zimwi likujualo halikuli likakwisha.
Yaliyonikuta ni uzoefu wa kutosha na shule kwa wengine
Nitakuita =nitakupigia simu!.Ati?
Acha njaro zako mazee.
Hebu furuta iyo handle ya generator Tanesco wamekata stima huku pande ya westiii. Mazee hii stima ya mgao sio mchezo. Ngoja nipande ma-three naelekea pande hii ya mjini.
Tuonane.
ni kama wamachame tu. Ongea na mtu alieoa mmachame atakusimulia
Isembo:msela:
Isembo:msela:
Mkuu sio kwamba ni mmoja aliyekutenda lakini unachukia dunia nzima?
Hayo ni maneno mazito sana mkuu:coffee:VOR sijawahi kuwa na mmoja nimejaribu zaidi ya mara tatu kwa nyakati tofauti siyo jamani hata wale ambao tu wamechanganya damu na ya kitanzania na wakakulia huko ni matatizo matupu sipendi kumwonea mtu katika maisha yangu na sitaki kuchangia kishabiki zaidi ila ukweli unabaki palepale kama huamini jaribu hata kutega mtego na wewe uataelewa nasema nini ingawa sumu haijaribiwi kwa kuonja.
jamani hawa wenzetu utadhani wao wanatoka sayari nyingine HAPANA SIYO WANAWAKE WA KUOA!!!! Kachape upite zako kama unaona ni mtamu sana na usijenge kibanda hapo hapafai na ni lazima ujue kuna wanawake wa kutumia tu kwa starehe, kutoka naye, kuwa naye kama spea na kuna mwanamke wa kuoa na ambaye atakuwa mama wa watoto wako na atakuwa na jamaa yako yote katika maisha yote fanya maamuzi sahihi usije kujuta
Urongo tuu, watu chuki zimewajaa.