Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Pole kwa kuugua. Nalog offha ha ha! Yaani nimecheka mpaka homa imeisha aisee!
Pole kwa kuugua. Nalog offha ha ha! Yaani nimecheka mpaka homa imeisha aisee!
...hii isigeuke porojo za 'wabongo'. Kuna opportunity hapa, kuna ajira hapa, kuna solution ya mitafaruku majumbani hapa. Mwenye kujua ukweli kuhusu hii dawa ya Kigoma tuwasiliane fasta. Tuache kuishi ndani ya box kutegemea solutions za matatizo kutoka Ulaya (au kwa Wachina). Na sisi TUNAWEZA kutoa suluhisho.
Mkuu hii kitu ni hatari kuliko maelezo,yaani mke akifa mume ndio anakuwa hadi ndi tena! Aise hii dawa ni ya kupigwa vita. Nalog offNa log off mbona unatumia utetezi usio na mashiko. Umeogopa eeh. Ngoja waifu apitie huu uzi akuengeneze. lol!
Sorry honey!!!! It was just a joke.
Watanzania ni wabunifu sana. Hongera sana.
Mkuu hii kitu ni hatari kuliko maelezo,yaani mke akifa mume ndio anakuwa hadi ndi tena! Aise hii dawa ni ya kupigwa vita. Nalog off
Sasa iking'ang'ania kama mbwa jamaa si atafaidi sana? Nalog offMi nitaka ya kumuziba mke sehemu yake akitoka nje ya ndoa. Au kitu kinang'ang'ania kama cha mbwa.
Hii ipo pia???
Dawa yenyewe ukitoka nje unakuwa hudi ndi,mpaka ukirudi kwa my wife wako. Vuta picha mkeo kafa ghafla itakuwaje? Nalog off...hatuogopi kupangwa foleni kwa nyumba ndogo, tunaogopa mke akifa, duh! kazi ipo Tz
Mwana Mpotevu, amini nikisemacho bwana mbona unataka kuwa tomaso lol..kimsingi nilitaka nipoint out kuwa yaweza kuwa tabia ya mtu binafsi au watu wachache lkn si vema kugeneralize maana hawa watu wanapatikana mkoa wowote TZ
bei yoyote anayotaka nampa bila kipingamiziUna sh ngapi? LOL
hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa .nalog offusithubutu kuitumia hii dawa bi dada,yaani ukifa ghafla ujue shemeji atakuwa Cameron.Nalog off
Dawa yenyewe ukitoka nje unakuwa hudi ndi,mpaka ukirudi kwa my wife wako. Vuta picha mkeo kafa ghafla itakuwaje? Nalog off
Usitoe sumni kipande kununua dawa hii. Nalog offbei yoyote anayotaka nampa bila kipingamizi
Chukua ushauri wangu huu. Nalog offhahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa .nalog off
Ni kweli kabisa lisijekuwa kama tego la Kilosa. Nalog offhofu yako ni valid kabisa. Ndio maana tunawaomba wenye kuifahamu watujuze kuhusu eneo hili.
- Dawa inafanyaje kazi?
- Mipaka yake ikoje? Inaweza kutumika kwa jinsia zote?
- Ina muda maalum wa matumizi?
- Aliyeweka akiondoka inakuwaje?
- Unaweza kuitega na kuitegua mwenyewe, au mpaka kwa gagula? etc.
Twende kisayansi zaidi, tusiende kijumla-jumla.
hiyo safi,tena angewapa wanawake wenzie wote walio katika ndoa