The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,883
Au mwandiga (zitto's place) haha ha ha!
Aisee ukiingia mitaa hiyo hutoki; jamaa kibao wamesahau makwao!
kuna nini huko?
Au mwandiga (zitto's place) haha ha ha!
Aisee ukiingia mitaa hiyo hutoki; jamaa kibao wamesahau makwao!
kwanini mtu ukaangaike na wanawake wengine angali mkeo yupo?
hutouangamiza ukimwi bali utauongeza uCameron,hebu vuta picha kwamba wewe mke umekufa ghafla! ina maana mumeo hatodi nda tena maishani mwake na kumfanya awe Cameron,mie siikubali hii dawa hata mdhikiri u chi.ɟɟo ƃoןɐuWaisambaze hiyo janja tuangamize ukimwi ndani ya ndoa
Kuna mmoja anaitwa mama ronaldo ni balaa mdada hatari sana kitu tigo k kwa mkeo we mulize mtu yeyote wa kigoma kuna mkuu wa wilaya alimwacha mke.
hutouangamiza ukimwi bali utauongeza uCameron,hebu vuta picha kwamba wewe mke umekufa ghafla! ina maana mumeo hatodi nda tena maishani mwake na kumfanya awe Cameron,mie siikubali hii dawa hata mdhikiri u chi.ɟɟo ƃoןɐukama kweli dawa hiyo ipo SAFI SANA. Kinachotakiwa ni waTZ kuona fursa iliyopo na kuiweka sokoni 'kiukweli'. Itasaidia kuimarisha ndoa, kupunguza watoto wa mitaani, Ukimwi, etc. mwenye facts tuwasiliane TUTOKE.
Kuna mmoja anaitwa mama ronaldo ni balaa mdada hatari sana kitu tigo k kwa mkeo we mulize mtu yeyote wa kigoma kuna mkuu wa wilaya alimwacha mke.
Habari wana jf.
Rafiki yangu mmoja amenisimulia juu ya bro wake aliyeoa mke kutoka kigoma. Sasa jamaa alikuwa anatoka nje ya ndoa ila kila akikutana na hawara yake, jogooi hasimami ila akirudi kwa mkewe mambo shwari, amehangaika sana mpaka kwa waganga ndipo akaja kuambiwa kuwa wanawake wengi wa kigoma kuna dawa wanatumia kwamba ukienda kwa mwanamke mwingine huwezi fanya lolote ila ukiwa kwa mkeo mambo yanakuwa safii! Wadau mnalizungumziaje hili, kuna ukweli wowote?
Bora uwaambie.....Jamani acheni hizi kashfa za ukabila,akifanya mmoja ndiyo kabila zima! mbona mimi natokea kigoma nisiwe hivyo! mwanaume ukiwa mtata wa wanawake na kuzidiwa na tamaa unaweza kujikuta unaacha mkeo hata kama source si kutoka kigoma...beware:A S 465:
Jamani acheni hizi kashfa za ukabila,akifanya mmoja ndiyo kabila zima! mbona mimi natokea kigoma nisiwe hivyo! mwanaume ukiwa mtata wa wanawake na kuzidiwa na tamaa unaweza kujikuta unaacha mkeo hata kama source si kutoka kigoma...beware:A S 465:
natafuta shost wa kigoma anipe nimuwekee wangu mana hasikii loh!habari wana jf.
Rafiki yangu mmoja amenisimulia juu ya bro wake aliyeoa mke kutoka kigoma. Sasa jamaa alikuwa anatoka nje ya ndoa ila kila akikutana na hawara yake, jogooi hasimami ila akirudi kwa mkewe mambo shwari, amehangaika sana mpaka kwa waganga ndipo akaja kuambiwa kuwa wanawake wengi wa kigoma kuna dawa wanatumia kwamba ukienda kwa mwanamke mwingine huwezi fanya lolote ila ukiwa kwa mkeo mambo yanakuwa safii! Wadau mnalizungumziaje hili, kuna ukweli wowote?
Habari wana jf.
Rafiki yangu mmoja amenisimulia juu ya bro wake aliyeoa mke kutoka kigoma. Sasa jamaa alikuwa anatoka nje ya ndoa ila kila akikutana na hawara yake, jogooi hasimami ila akirudi kwa mkewe mambo shwari, amehangaika sana mpaka kwa waganga ndipo akaja kuambiwa kuwa wanawake wengi wa kigoma kuna dawa wanatumia kwamba ukienda kwa mwanamke mwingine huwezi fanya lolote ila ukiwa kwa mkeo mambo yanakuwa safii! Wadau mnalizungumziaje hili, kuna ukweli wowote?
usithubutu kuitumia hii dawa bi dada,yaani ukifa ghafla ujue shemeji atakuwa Cameron.Nalog offnatafuta shost wa kigoma anipe nimuwekee wangu mana hasikii loh!
yaaani wewe jamaa sometimes zipo na mida mingine hazipo sijui unaenda kwa masaaa! Au nisiasa tuu ndo unajifanya hamnazo!?kwanini mtu ukaangaike na wanawake wengine angali mkeo yupo?
wanawake kweli ni wavumilivu....yaani unafahamu kuwa wako ni kicheche halafu bado hujachukua hatua zozote kumnusuru?Kumbe kuna dawa, ngoja nami nitafute dawa kwa ajili ya huyu wangu aache kuwa kicheche!
wacha kabisa mawazo ya kutumia hii kitu,ukifa ghafla mumeo atakuwa Cameron maana jogoo litakuwa halipandi mtungi.Nalog offKumbe kuna dawa, ngoja nami nitafute dawa kwa ajili ya huyu wangu aache kuwa kicheche!
Bora uwaambie.....
Ingekuwa watu wote waaminifu hivyo kusingekuwa na habari ya kuvuana magamba.kwanini mtu ukaangaike na wanawake wengine angali mkeo yupo?
natafuta shost wa kigoma anipe nimuwekee wangu mana hasikii loh!