wanawake wa kiafrica.......

Jestina

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
4,831
1,707
wanachukulia cheating ya mwanaume kama everyman s habit unlike women in the west,hawatolerate cheating ndio maana kwao divorce rate ziko juu compared to africa,

nauliza je hatuko confident kama wanawake wa mabara mengine?nani alitufundisha kutolerate cheating?wazazi wetu au?
 
wewe usipotoshe wenzio hapa

wanaume wa kiafrika kwa miaka mingi tuna ruhusiwa kuwa na wake wengi
utamaduni wa kuwa na mwanamke mmoja sio wa kiafrika
umeletwa na wazungu na bado tunajifunza
wale wanaoshindwa sio kuwa wana cheat
bali wanachumbia........
mwanaume wa kiafica ha-cheat
ila anachumbia
 
Ni upuuzi tu na kutokujiamini.

Na wanaume wenyewe ndo kama huyo mchangiaji hapo juu.Alafu wanashangaa wadada wakiwapapatikia wazungu (kwa wale wasiokimbilia pesa).
 
........natamani hili somo kila mwanamke apate, hakuna kuoneana kwenye mapenzi siku hizi. Yaani I wish kila mwanamke aambiwe ukiona mumeo anacheat muache. Mimi roho yangu inauma kuona wadada wanakufa bado wadogo sababu ya kuvumilia kwenye ndoa ambayo mume alikuwa cheater.
Tatizo baadhi ya wanawake wanategemea wanaume kiuchumi, hivyo hata mumewe akiwa anacheat inakuwa ngumu kutoka kwenye ndoa.
 
wewe usipotoshe wenzio hapa

wanaume wa kiafrika kwa miaka mingi tuna ruhusiwa kuwa na wake wengi
utamaduni wa kuwa na mwanamke mmoja sio wa kiafrika
umeletwa na wazungu na bado tunajifunza
wale wanaoshindwa sio kuwa wana cheat
bali wanachumbia........
mwanaume wa kiafica ha-cheat
ila anachumbia

off topic the boss....
cheating na ndoa za mitala ni vitu viwili tofauti....kaanzishe mada yako ya wanaume kuoa wake wengi.....
the bottom line hakuna mwanamke ambaye yuko tayari kushare mwanaume wake anayempenda na mwanamke mwingine,wanaofanya hivyo wana sababu zao mainly ikiwa kutojiweza kiuchumi ama insecurity kuwa labda ana watoto tayari.....

so,unaposema unaruhusiwa na nani hasa anayekupa ruhusa hio,by the way culture inaevolve hairemain static ndio maana leo tunavaa nguo sio vibwaya na kutembea uchi kama ilivyokuwa tamaduni.....
 
off topic the boss....
cheating na ndoa za mitala ni vitu viwili tofauti....kaanzishe mada yako ya wanaume kuoa wake wengi.....
the bottom line hakuna mwanamke ambaye yuko tayari kushare mwanaume wake anayempenda na mwanamke mwingine,wanaofanya hivyo wana sababu zao mainly ikiwa kutojiweza kiuchumi ama insecurity kuwa labda ana watoto tayari.....

so,unaposema unaruhusiwa na nani hasa anayekupa ruhusa hio,by the way culture inaevolve hairemain static ndio maana leo tunavaa nguo sio vibwaya na kutembea uchi kama ilivyokuwa tamaduni.....


unaanzisha mada huku uelewa wako mdogo kabisa
unajua tafsiri ya mke???????
unajua culture inayoruhusu ndoa zaidi ya mwanamke mmoja vizuri?
wanawake wangapi matajiri na wanaolewa mitala?
aliekwambia waafrica walitembea uchi zamani ni nnani?
unaijua historia wewe vizuri??????
 
........natamani hili somo kila mwanamke apate, hakuna kuoneana kwenye mapenzi siku hizi. Yaani I wish kila mwanamke aambiwe ukiona mumeo anacheat muache. Mimi roho yangu inauma kuona wadada wanakufa bado wadogo sababu ya kuvumilia kwenye ndoa ambayo mume alikuwa cheater.
Tatizo baadhi ya wanawake wanategemea wanaume kiuchumi, hivyo hata mumewe akiwa anacheat inakuwa ngumu kutoka kwenye ndoa.

Yaani usisikie da Pretty, ninauguza mama yangu mdogo hivi hivi, kisa kuvumilia ndoa. Tulijaribu kumshauri mama mapema lkn alikuwa akiishia kusema tu "mwacheni akichoka atarudi". Kurudi karudi na vidudu na ameshatangulia. Yaani mie ndo nakerwa kupita maelezo.
 
unaanzisha mada huku uelewa wako mdogo kabisa
unajua tafsiri ya mke???????
unajua culture inayoruhusu ndoa zaidi ya mwanamke mmoja vizuri?
wanawake wangapi matajiri na wanaolewa mitala?
aliekwambia waafrica walitembea uchi zamani ni nnani?
unaijua historia wewe vizuri??????


thanks,uelewa wangu mie mdogo why bother answering my posts.....???
hakuna mwanamke anayekubali kushare mwanaume na mwanamke mwingine UNLESS ana sababu either watoto au kiuchumi ni dependent...period...
sasa unabisha kuwa hata nguo ni utamaduni tulioletewa??????mnh mie ligi zisizo na kombe siziwezi.....
 
Kweli Pretty wewe ni untorelant...umeleta mada watu wakianza kujadili tayari unapanic na kuwa na jazba,kama hauna ngozi ngumu why do you look for challenges?

The boss umeongea vyema hawa madada ni blind of their African Culture,they end up immitating the whites while calling themselves Africans,shame on you women...ni nani anawafool eti nyinyi ni wa-Afrika?kama kweli bado tuna waafrika basi wamebakia vijijini na kamwe si nyinyi wa mjini,ndo maana mnaangaika kupretend Africans b'se yet you really lack African spirits as women
 
........natamani hili somo kila mwanamke apate, hakuna kuoneana kwenye mapenzi siku hizi. Yaani I wish kila mwanamke aambiwe ukiona mumeo anacheat muache. Mimi roho yangu inauma kuona wadada wanakufa bado wadogo sababu ya kuvumilia kwenye ndoa ambayo mume alikuwa cheater.
Tatizo baadhi ya wanawake wanategemea wanaume kiuchumi, hivyo hata mumewe akiwa anacheat inakuwa ngumu kutoka kwenye ndoa.
kwa kweli inatilisha huruma,nina rafiki yangu mnigeria,mume wake ana nyumba ndogo na watoto juu.yeye analijua.maneno yake,i will keep praying to God.divorce in Africa is like a taboo.juzi juzi,huyo mume kapata nyumba ndogo nyengine,bwana ameulizwa,amekubali.bado maneno yake ni yale yale,i will keep praying and talk to pastor.huyo dada hamtegemei kitu huyo mume,ila angalau awe na mume jina,huyo dada ametulia mno,yeye na dini,dini na yeye
 
thanks,uelewa wangu mie mdogo why bother answering my posts.....???hakuna mwanamke anayekubali kushare mwanaume na mwanamke mwingine UNLESS ana sababu either watoto au kiuchumi ni dependent...period...sasa unabisha kuwa hata nguo ni utamaduni tulioletewa??????mnh mie ligi zisizo na kombe siziwezi.....
Watu wengine hamna hata haja ya kujaribu kuwaelewa maana hata wenyewe hawajielewi.
 
wewe usipotoshe wenzio hapawanaume wa kiafrika kwa miaka mingi tuna ruhusiwa kuwa na wake wengiutamaduni wa kuwa na mwanamke mmoja sio wa kiafrikaumeletwa na wazungu na bado tunajifunzawale wanaoshindwa sio kuwa wana cheatbali wanachumbia........mwanaume wa kiafica ha-cheatila anachumbia
kwa hiyo hapo The Boss unamaanisha kuwa cheating ni halali. Na kama ni halali (coz unaita kuchumbia), je kwanini huwa wanafumaniwa na wanatozwa faini hata kama hajakutwa na mke wa mtu?
 
Mambo ya cheating ni magumu kuongelea wala kumshauri mtu. Kinachofanya watu wabaki si pesa na watoto tu. Si wanawake wote wanapo kuwa cheated mapenzi yanaisha hapo hapo. Kuna wanawake wana amini kwenye second chance na usemi wa kosa si kosa bali kurudia kosa. Ni haki kumshangaa mwanamke anayeishi na mwanaume anayecheat now and then. Lakini wanawake asilimia kubwa kwenye ndoa wanatoa misamaha ndio maana ndoa zinaendelea. Na nadhani ni rahisi kumsamehe mumeo kama mapenzi yenu yameanza mbali si wale mliooana juu kwa juu. If you have a lot of good memories you share mtagombana sana ukijua amecheat lakini hutamwacha kwa first incidence.
 
hahahahah looohh
kazi kweli kweli

ndo maana mie nime mtafutia wangu
nyumba ndogo......
 
Ni upuuzi tu na kutokujiamini.

Na wanaume wenyewe ndo kama huyo mchangiaji hapo juu.Alafu wanashangaa wadada wakiwapapatikia wazungu (kwa wale wasiokimbilia pesa).
mwanaume ni mwanaume tu awe mzungu, mchina mwarabu ama mwafrika. Kuna cheating scandals za kila aina ktk kila race. Kuanzia akina Bill clinton, Schwazzneger, Tiger Woods hadi akina fundi Hamisi
 
Ni upuuzi tu na kutokujiamini.

Na wanaume wenyewe ndo kama huyo mchangiaji hapo juu.Alafu wanashangaa wadada wakiwapapatikia wazungu (kwa wale wasiokimbilia pesa).

Jamani nani kasema wazungu hawa-cheat? Hebu kaangalie Cheaters on etv. Strauss Khan ana-cheat na mke wake bado anampenda na hawajaachana. David Beckam amecheat na bado maisha yanaendelea poa na mke wake na tena sasa wameongeza katoto kengine. List ni ndefu-Wayne Rooney,Ryan Gigs, Bill Clinton, John Terry n.k. Je hawa si wazungu? Mbona wame-cheat na wanaendelea na maisha na wake zao? Kama dada zetu mnapenda wazungu, muwapende kwa sababu nyingine na sio uaminifu. Uaminifu hauna rangi, kabila, dini, cheo, elimu, maskini au tajiri.
 
wewe usipotoshe wenzio hapa

wanaume wa kiafrika kwa miaka mingi tuna ruhusiwa kuwa na wake wengi
utamaduni wa kuwa na mwanamke mmoja sio wa kiafrika
umeletwa na wazungu na bado tunajifunza
wale wanaoshindwa sio kuwa wana cheat
bali wanachumbia........
mwanaume wa kiafica ha-cheat
ila anachumbia

The Boss,
Kwa hili, we are on the same page. Umeenda kisomi zaidi kwa kuelezea tofauti ya tamaduni za wazungu na waafrika.
 
The Boss,Kwa hili, we are on the same page. Umeenda kisomi zaidi kwa kuelezea tofauti ya tamaduni za wazungu na waafrika.
Kama mwakumbatia tamaduni, kwanini almost 50% yenu ni wakristu ambao hamruhusiwi kuwa na wake wengi? Kwanini msibaki na dini zenu za kitamaduni? Au huo utamaduni mwauchuja na kupick what to continue with? Pia as s/body mentioned utamaduni unaevolve; na majority wenu wazazi wenu were Christians with ndoa ya kikristu, so where did u learn hiyo poligamy, au wataka kusema mmerithi genes from ancestors?Tamaduni ambayo mmeikuta ni baba zenu kucheat, kuwatishia mama zenu (kuwapiga) na mama zenu kuvumilia; ndicho mlichoexperience na ndicho mnachokifanya!Nampongeza yoyo kwa kupata mume anayemjali (Mzungu), l wish wanawake wa kiafrika wangepata wanaume wa kizungu na nyie waume mpate wanawake wakizungu, ndio akili zingewasogea!But l am sure; with frequency za post zinazozungumzia kero za kina mama ktk ndoa, most women r awakening now!
 
mwanaume ni mwanaume tu awe mzungu, mchina mwarabu ama mwafrika. Kuna cheating scandals za kila aina ktk kila race. Kuanzia akina Bill clinton, Schwazzneger, Tiger Woods hadi akina fundi Hamisi
Je hao wote bado wako kwenye ndoa? Or hizo ndoa zinafunction? Kwa case ya Clinton for example, r they real a couple kwa ndani au on the outside tu?Mtoa mada alisema, westerners don't takebulls..t kwenye ndoa n that's y divorce rate ni kubwa tofauti na huku; na mimi nafikiri ndio maana huku rate ya maambukizi ya VVU kwa wenye ndoa ni kubwa kuliko kwa wenzetu! Imagine kina mama unavumilia ndoa for the sake ya watoto after few yrs, unakufa kwa ukimwi!
 
Back
Top Bottom