Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,707
wanachukulia cheating ya mwanaume kama everyman s habit unlike women in the west,hawatolerate cheating ndio maana kwao divorce rate ziko juu compared to africa,
nauliza je hatuko confident kama wanawake wa mabara mengine?nani alitufundisha kutolerate cheating?wazazi wetu au?
nauliza je hatuko confident kama wanawake wa mabara mengine?nani alitufundisha kutolerate cheating?wazazi wetu au?