Wanawake wa ki-Tanga

Wanajua kupika, wazuri kitandani, wakarimu, wana upendo,
ila pia wanapenda mambo ya waganga, hawapendi kujishughulisha na kazi za kiuchumi, wanapenda kujionesha halafu wana kadharau na kaujeuri kwa mbali hasa unapomkorofisha..

Wewe ndo umemaliza kabisaaa, pia wanapenda sana kujikomba kwa wakwe na mawifi.
 
Shosti hyo ya wachaga mbn inanitisha! Ni kwamba wana-lead kwa kuendekeza masuala ya usangoma au kwa umama huruma? Maana ya umama huruma kama kweli vile!!

Vyote kwanza wananunua uchuwi sikuhizi, wako radhi wafanye uchawi ili waolewe, na ukitajirika sana wana kufanzia kweli.
 
wana tabia nzuri tu, tena kama unataka kuoa ni bora uende huko maana wanajua kutunza nyumba na familia kwa umakini bila ya ndumba
 
siku hizi hakuna cha mtanga wala nini kwa upande wa ndumba,na umejuaje mwenzio anatumia ndumba kama na wewe si walewale
 
siku hizi hakuna cha mtanga wala nini kwa upande wa ndumba,na umejuaje mwenzio anatumia ndumba kama na wewe si walewale

Shosti mie nawafahamu vizuri,

Kwanza ni wazuri wengi wamechanganya kidogo na uarabu wanakuwa na weupe au kama sio weupe wana vinywele vya kiarabu. Kuhusu tabia ukimpata aliyelelewa nyumba yako imehifadhika sana. Ila ukimpata hajalelewa ndio hasara wepesi sana kugawa uroda, kitandani naona wanaongoza kuliko makabila mengine (maana nimejaribu jaribu sekta zengine mh ushirikiano zero), wachawi sana ila ukimuweka mungu mbele poa tu maana siku hizi hata makabila yasiyojulikana kwa uchawi yanashika kasi, wanamipango ukifanya mchezo anaweza kukupita kiuwezo kama wote mnafanya kazi, hawaombi hela ila utatoa mwenyewe baada ya kupewa shughuli nzito usiku (ndio maana tanga kunaitwa waja leo waondoka leo?), hawajasoma wengi hivyo unaweza kuwa na kazi ya ziada, mahodari kupika unaweza kusahau kwako kama mkeo hajui kupika, wanajua kupetipeti maana mwanaume unaweza kujikuta unagawa nyumba ya ukoo hivihivi kwa mambo ya kulelewa unayopata huko mengine mtajazia
 
Shosti mie nawafahamu vizuri,

Kwanza ni wazuri wengi wamechanganya kidogo na uarabu wanakuwa na weupe au kama sio weupe wana vinywele vya kiarabu. Kuhusu tabia ukimpata aliyelelewa nyumba yako imehifadhika sana. Ila ukimpata hajalelewa ndio hasara wepesi sana kugawa uroda, kitandani naona wanaongoza kuliko makabila mengine (maana nimejaribu jaribu sekta zengine mh ushirikiano zero), wachawi sana ila ukimuweka mungu mbele poa tu maana siku hizi hata makabila yasiyojulikana kwa uchawi yanashika kasi, wanamipango ukifanya mchezo anaweza kukupita kiuwezo kama wote mnafanya kazi, hawaombi hela ila utatoa mwenyewe baada ya kupewa shughuli nzito usiku (ndio maana tanga kunaitwa waja leo waondoka leo?), hawajasoma wengi hivyo unaweza kuwa na kazi ya ziada, mahodari kupika unaweza kusahau kwako kama mkeo hajui kupika, wanajua kupetipeti maana mwanaume unaweza kujikuta unagawa nyumba ya ukoo hivihivi kwa mambo ya kulelewa unayopata huko mengine mtajazia
ndio maana nikasema sio wote wenye tabia mnzozisema,inategemea na aina ya malezi uliyolelewa na hilo la kusoma si hawa wa sasa bwana wale wazamani nakubali ila wa sasa wengi wanasoma
 
ndio maana nikasema sio wote wenye tabia mnzozisema,inategemea na aina ya malezi uliyolelewa na hilo la kusoma si hawa wa sasa bwana wale wazamani nakubali ila wa sasa wengi wanasoma

Shosti nilikuwa huko karibuni ni kweli nimefurahishwa na mwamko wa elimu huko nadhani wameona umuhimu, na hilo litasaidia kupunguza umaskini uliokuwa ukinisikitisha but nadhani niko sahihi kuwa wa zamani wengi shule walikuwa hawana.
 
Shosti nilikuwa huko karibuni ni kweli nimefurahishwa na mwamko wa elimu huko nadhani wameona umuhimu, na hilo litasaidia kupunguza umaskini uliokuwa ukinisikitisha but nadhani niko sahihi kuwa wa zamani wengi shule walikuwa hawana.
Kwa hilo nakubali mpendwa,ila humu wachangiaji wengi wana hasira sana na watanga sijui kwa nini hahahahahahahaah
 
Kwa hilo nakubali mpendwa,ila humu wachangiaji wengi wana hasira sana na watanga sijui kwa nini hahahahahahahaah

Wamefilisiwa kutokana kulewa na majamboz unakuwa kama huelewi mpendwa. Wanamalizia hasira kwa kuwachukia bure, wewe jiulize kwanini pale kariakoo wanawake wa kitanga wanaongoza kumiliki maghorofa???
 
mhh mimi hata sijui hayo ya kariakoo,ila nnchojua watanga ndio wenyewe wengine wanajikongoja,nna miaka kama 6 sijawahi fika kariakoo mwaya
 
Muulizeni mwasakafyuka na mtaji wake wa nazi
alibebwa mgongoni,
korodani ziliwekwa kwenye kisosi,
maji ya kuoga yaliungwa ka pilau.......
We acha tu
 
Back
Top Bottom