mimi mdigo il sifa zetu sizijui naomba msaada tafadhali
hahahaaaa,nzuri hiyo au imekaaje?wadigo inasemekana wanajua sana kupika, na wana mbinu nyingi sana za kuwateka wanaume kimahaba.
hahahaaaa,nzuri hiyo au imekaaje?
jamani naombeni sifa za wanawake wa tanga a.k.a ki-tanga.kwa kila kabila i mean wasambaa wanasifa zipi,wazigua,wabondei na wadigo.:noidea:
Sifa nyingine wanakuwa sio wagum kutoa penz hata kama anamume ukimwomba anakupa tu.
lazima wengi watumie waganga as ni jadi - niliambiwaga hivyo na baadhi yao
Wambea, washari, majisifu na hupenda sana bifu.
hahahahaaa washakupa za uso nini!!!
Sina hamu, najuta kuwafahamu. Ni washirikina big time, ukiwa nao mweke Mungu mbele hayakupati.
Ungekuwa mdigo nngekwambia hahahmimi mdigo il sifa zetu sizijui naomba msaada tafadhali
sio wote bwana,nafikiri kwa sasa wachaga wanatisha kwa hii kitu