wanawake wa kabila gani wanaongoza kwa usafii??

stevoh

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
2,921
1,104
nimepita leo asubuhi huku jukwaani nikakuta mtu kauliza swali la wanawake wa kabila gani wachafu sasa mimi nawajua wanawake wa kabila la ki''colour'' nahisi wao ndio wanaoongozaa. Wewe unadhani nani waanaongoza na wanaoshika mkia??
 
Kwenye ule uzi wa uchafu watu waligopa sana kujilipua, waliishia kuguna tu, sasa huu uzi wa usafi naona watajibu,

For me ,Wazanzibari wako juu kwa usafi

 
Namie nipitishie langu hapahapa, ni wanawake wa kabila gani wanaoshika mimba haraka?
 
nimepita leo asubuhi huku jukwaani nikakuta mtu kauliza swali la wanawake wa kabila gani wachafu sasa mimi nawajua wanawake wa kabila la ki''colour'' nahisi wao ndio wanaoongozaa. Wewe unadhani nani waanaongoza na wanaoshika mkia??

hapa kuna utata, kuna kabila la wa-colour na warangi. sasa we unawazungumzia wepi?
 
Kwenye ule uzi wa uchafu watu waligopa sana kujilipua, waliishia kuguna tu, sasa huu uzi wa usafi naona watajibu,

For me ,Wazanzibari wako juu kwa usafi


Kiujumla, wanawake waliozaliwa na kulelewa maeneo ya mwambao, wanailewa vizuri sana dhana ya usafi. Napita, mimi si wa huku.

 
Kwenye ule uzi wa uchafu watu waligopa sana kujilipua, waliishia kuguna tu, sasa huu uzi wa usafi naona watajibu,

For me ,Wazanzibari wako juu kwa usafi


Duuuh kisa tu wapo wamezungukwa na bahari
 
mimi nakumbuka nilijifunza kuwa USAFI NI TABIA...... haina relationship na kabila.
ila mimi naweza kusema kuwa inategemea na malezi, kuna watu ambao mama zao ni manesi (najifagilia), huwa wanakuwa wasafi sana. pia nasikia walimu wanapenda sana usafi na kupanga nyumba vizuri
 
mara nyingi watu wa pwani ni wasafi sana lakini kwenye nyanja ya vibibi vyao na si vinginevyo,wamangumi wao ni wazuri kwenye kusugua sufuria.
 
warangi bwana,kama umewahi kuishi nao,kila saa wanasugua miguu,alafu malapa yao masafiii,yanameremeta kila saa,wanapenda kuoga haoo,...ila usafi wao mkubwa upo kwenye malapa na kubrashia waume zao viatu,,,huko kwingine sijui
 
Ole aje mtu aniambie wanawake zetu ni wachafu,nitamjia na Gobole la urithi aloniachia babu.Kikwetu mwanamke mchapakazi ndio mrembo na sio mwanamke anashinda mchana kutwa anaoga,Jembe,Maji, kukusanya kuni atavifanya saa ngapi..??
 
mimi nakumbuka nilijifunza kuwa USAFI NI TABIA...... haina relationship na kabila.
ila mimi naweza kusema kuwa inategemea na malezi, kuna watu ambao mama zao ni manesi (najifagilia), huwa wanakuwa wasafi sana. pia nasikia walimu wanapenda sana usafi na kupanga nyumba vizuri

unataka nianzishe siredi nyingine ya kuuliza kabila gani linaongoza kwa kua na waalimu na manesi??
 
warangi bwana,kama umewahi kuishi nao,kila saa wanasugua miguu,alafu malapa yao masafiii,yanameremeta kila saa,wanapenda kuoga haoo,...ila usafi wao mkubwa upo kwenye malapa na kubrashia waume zao viatu,,,huko kwingine sijui

Hapo ndipo nillipokua nataka kupazungumzia
 
Back
Top Bottom