truckdriver
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 557
- 257
Wachina.
Ukitaka kuoa, njoo uoe Tanga, wanawake wasafiiiiiiiiiiii.
Ukikuta mchafu huyo wakuja
Jamani acheni mzaha na makabila ya watu. uchafu wa Wamasai uko wapi?
Kudumisha mila ndiyo uchafu?
Wamasai sisi si wachafu, ndo hvhv tulivyo asilia.
Kwahiyo asili yenu ni uchafu ? Now I get it...
Toka zako,
si U prost wako uliokufanya uopoe Msomali wakati Wabongo wenzio tupo.
Mi naogopa kusema maana nitakuwa nimetukana kabila la watu..kwa kweli kuna hili kabila ni wachafu kweli,ni wam____i.