BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
bora uwapige chini tu, wakikosa hela ya mafuta ya kujaza kwenye vivitz vyao akilindo zitawakaa sawa.....
Huyu mzee anazeeka vibaya hapa mjini hapamfai tena mrudisheni kijijini apunguze mawazo ya magari aliyohonga ila hana ubavu wa kuhonga yeye mwenyewe anaishi kwa kudra za mwenyezi hiyo jeuri anapata wapi ya kusomesha concubine masters wakati wajukuu zake kila uchao wanarudishwa ada.mmh
Naomba unitafutie Amyner umlete hapa coz nimemmiss sana
Au sio........washaanza kuniPM oh darling naomba yaishe......
Hahahaaa sitishiki ng'00000si nilikwambia ataenda vakesheni na the boss ukadhani nafanya majungu?????
Unalo hilo.....
Dah ila umejikakamua kuwaachia vitz na viwanja nilidhani ungewapokonya lol
Umeuonyesha ubepari wa kihaya kwelikweli
si unaona kanyamaza.....chezeya bishanga weye......
Baby The secretary,kuna thread nimefungua usiku wa manane,inakuhusu!