Gari ni kitu kidogo sana, kuna siku
nilivamiwa na majambazi usiku wa manane, wakaniambia nichague kimoja ama waniue au wanifanye huo mchezo, mimi kwa ujasiri mkubwa sana nilichagua kuuliwa
Gari ni kitu kidogo sana, kuna siku
nilivamiwa na majambazi usiku wa manane, wakaniambia nichague kimoja ama waniue au wanifanye huo mchezo, mimi kwa ujasiri mkubwa sana nilichagua kuuliwa
Kwa hiyo walikuua au waliamua kufanya kile ambacho hukuchagua? Naomba ufafanuzi
Siku hizi naona huu mchezo
Wa kuingiliwa kwa wanawake wa ki tz kinyume na maumbile unaota mizizi kwa kasi ya ajabu.Jamani huu mchezo una madhara makubwa sana, na kubwa zaidi ni kudhalilishwa utu wako.Wito kwa wanawake tuache tamaa na tusikubali hata kupewa gari ili tukubali kufanyiwa huu mchezo.
video za ngono za kutoka nchi za nje ndio zinachochea hali hii. Kuna rafiki yangu ameeanza kuusifu huu mchezo baada ya kuuona kwenye video hizo.
Sasa kuna wanaume na wanawake wanasikia hamu huko tu, ukisema tupinge wao wataishije?
Walimfanyia huo mchezo, kama wangemuua asingekuwa hapa.Kwa hiyo walikuua au waliamua kufanya kile ambacho hukuchagua? Naomba ufafanuzi
Hapa kazi ipo!!!Mi sielewi nichangie nini kwa maana muanzisha hoja anadhani ni wadada ndio wanashawishiwa ktk mchezo huu!!Amini pia kuwa kuna wadada wanakuanzishia wenyewe,yaani wanataka wao!hata senti hutoi hao unawaweka ktk kundi gani???Badala ya mwanamke kupigwa butwaa,dume ndo unaanza kujitetea!
hiki ni kitu cha ajabu sana, inabidi watu waache tamaa, maana kuna watu fulani wanaopenda hiyo kituInatisha sana maana hata mie nimesikia wanawake wa cku hizi wameingiliwa, wanafanya vitu vya ajabu kabisa!
Inabidi maombezi makubwa yafanyike kukemea uovu huu
Wewe ndo unaona ni mchezo mchafu kwakuwa ujapata wakukufanyia huo mchezo ukipata na kusukuma harrier utajilaumu kwa nini ulichelewa!!wapi!Siku hizi naona huu mchezo<br /><br />
Wa kuingiliwa kwa wanawake wa ki tz kinyume na maumbile unaota mizizi kwa kasi ya ajabu.Jamani huu mchezo una madhara makubwa sana, na kubwa zaidi ni kudhalilishwa utu wako.Wito kwa wanawake tuache tamaa na tusikubali hata kupewa gari ili tukubali kufanyiwa huu mchezo.
Jamani kuziba kwa njia ya mkojo tatizo si hako kaSodoma ila ni magonjwa mbalimbali km kaswende, gono, pangusa haya yote yanaacha vidonda ndani ya kuta lainiza ndani ya uume km kuna ushahidi ni uchafu wa chakula ndio unaopenya na kuziba ni Imani na madaktari watatusaidia km watapitia hapa.
Mimi naamini muasisi wa kwetu hakua na mchezo huo, nimeishi naye Chamwino akiwa na mzungu mwandishi wake hakuna m2 aliyesogea, kwa sasa anasubiri kuwa Mtakatifu au Mwenyeheri huko hayuko jamani. Napo simtetei maana walikuwepo kina Mama wengi hata kina marehemu Lucy Mbunge moshi lkn si midume nakataa
Gari ni kitu kidogo sana, kuna siku
nilivamiwa na majambazi usiku wa manane, wakaniambia nichague kimoja ama waniue au wanifanye huo mchezo, mimi kwa ujasiri mkubwa sana nilichagua kuuliwa
kwa kuwa mpaka sasa hivi bado unachangia kwenye JF mi nahisi ulichagua option namba mbili......we umeshaliwa kitu