herzygovina mwangosi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 900
- 431
westage of time,just get straight
Pamoja na kuwatumia kote huko mzigo hauwapi?Itategemea na mtu anayening'ang'ania yuko je na wakati huo nikoje. .....
Sina jibu la moja kwa moja hasa kwa mie ambae sijaolewa ila.........
Kama ni mume wa mtu na simchekei chekei hata kidogo. Uso wa mbuzi na kibuti juu.
Kama ni mkaka anayejielewa naweza ishia kuwa best friend ake tuu na tukawa kampani ya disco na mazoezi (mara nyingi mtu anayening'ang'ania atakuwa tayari kufanya hobbies zako hata kama yeye hazipendi hadi hapo atakako atakapo kata tamaa) hivyo hapo hata visafari vyangu atanisindikiza ila mzigo nooop hapati atakuwa anabeba pochi zangu tuu. Ni tabia mbaya ila mie huwa nawatumia (using them) sana ving'ang'anizi and life goes on. Akisepa sawaa tuu coz hayupo moyoni mwangu.
So huwa simkubalii awe mpenzi ila anakuwa best friend.
Kuna wale wavaa milegezo na kuweka bling bling shingoni na masikioni na mkanda wa suruali una bacon kubwaa ya fuvu la mtu au nge. ..... aiseee hawa hata salamu siitikii.
Niko very keen na muonekano.
Ndio, nyie si mnajua bana.eeeh yame kuwa hayo...
Ni automatic sio, basi nimekuelewa vzr mkuuAmna kitu km hicho,na km ikitokea bas ujipange kuliwa pesa yako,huwa siamini km mapenz ya kuradhimishana yanadumu
ata kama mtu akiwa king'ang'aniz vp kama simpendi simpendi tuuu na wala siwez mkubali eti kisa king'ang'aniz upendo ni mpendo tuu tena kwa mtu umpendaye kwa dhatiiii
ya niliwapendaaaaaMmh!! Inaamana wote uliyo wahi kuwapa unawapenda!
ha ha ha,utakuna kuna watu wanajifanya wanamapenzi wametumwa na mungu watakuambia...tutafanya maombi pamoja!Ndio, nyie si mnajua bana.
ya niliwapendaaaaa
Utampendaje mtu (mwanaume) kwa dhati kwa kupigwa sound kwa siku moja tu au hat week moja na papuchi unatoa?ata kama mtu akiwa king'ang'aniz vp kama simpendi simpendi tuuu na wala siwez mkubali eti kisa king'ang'aniz upendo ni mpendo tuu tena kwa mtu umpendaye kwa dhatiiii
Afadhali wewe, hebu njoo pm, maana mimi napiga bao moja tu halafu nakipa cash si haba!!!Naangalia cash zaid....
Awww unataka kunifanyaje!Afadhali wewe, hebu njoo pm, maana mimi napiga bao moja tu halafu nakipa cash si haba!!!
Mkuu kwani tetanus na VVU vina uhusiano gani?Unanikumbusha kikademu flani kiliniambia hivyo kina VVU na mimi nikamwabia nina tetenasi tokea shule nikakila mpaka leo nipo fiti kinomaaa
Watoto wa vyuo wanasema kwamba unamfanya kuwa mshika pembe wakamuaji wengine!!!!Itategemea na mtu anayening'ang'ania yuko je na wakati huo nikoje. .....
Sina jibu la moja kwa moja hasa kwa mie ambae sijaolewa ila.........
Kama ni mume wa mtu na simchekei chekei hata kidogo. Uso wa mbuzi na kibuti juu.
Kama ni mkaka anayejielewa naweza ishia kuwa best friend ake tuu na tukawa kampani ya disco na mazoezi (mara nyingi mtu anayening'ang'ania atakuwa tayari kufanya hobbies zako hata kama yeye hazipendi hadi hapo atakako atakapo kata tamaa) hivyo hapo hata visafari vyangu atanisindikiza ila mzigo nooop hapati atakuwa anabeba pochi zangu tuu. Ni tabia mbaya ila mie huwa nawatumia (using them) sana ving'ang'anizi and life goes on. Akisepa sawaa tuu coz hayupo moyoni mwangu.
So huwa simkubalii awe mpenzi ila anakuwa best friend.
Kuna wale wavaa milegezo na kuweka bling bling shingoni na masikioni na mkanda wa suruali una bacon kubwaa ya fuvu la mtu au nge. ..... aiseee hawa hata salamu siitikii.
Niko very keen na muonekano.
Ahahahha ha ha,utakuna kuna watu wanajifanya wanamapenzi wametumwa na mungu watakuambia...tutafanya maombi pamoja!
Pamoja na kuwatumia kote huko mzigo hauwapi?
Watoto wa vyuo wanasema kwamba unamfanya kuwa mshika pembe wakamuaji wengine!!!!
Unauza dear?Naangalia cash zaid....
Siuz ningeuza ungeondoka nayo... Minatoa na ela...Unauza dear?