Mzalendowadamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2016
- 218
- 318
Baada ya kufanya utafiti wangu nimekumbana na kaluli hii " Alinisumbua saana kwa siku nyingi ... nikaamua nimkubali". Je ni kweli unaweza kumkubali mwanaume kisa eti amekusumbua sana?
Tafadhali akina dada fungukeni hapa kama kweli tukiwa wasumbufu tutafanikiwa.
Tafadhali akina dada fungukeni hapa kama kweli tukiwa wasumbufu tutafanikiwa.