hiyo ni vagina thrush yaani fungus anunue dawa za fungus mfano fluconazole atapapona
teh teh teh nimecheka sanaHuo urafiki hadi wakuelezana mambo ya kinembe?mhhhhh!!!Ila ngoja nimuite doctor MziziMkavu atakusaidia
Pamoja na uwepo wa JF lakini msaada mkubwa zaidi uko hospitali, mwambie awahi kumuona Dr kabla hali haijawa mbaya zaidi.