Wanawake sampuli 3 ! Mimi niko .....

Mi kundi la kwanza, napenda mshikemshike yaani hadi kumpata extra energy lazima itumike na jasho lazima litoke.
"Wanaume tutakula kwa jasho" By Bible
 
Mkuu Kundi la tatu kwako kwangu ni la kwanza.., si unajua tena mwingine anapenda masabuli wengine wanaita ni unene na obesity.., wakati wengine wanasema ni model (baadhi wanaita mbau mbau au mgonjwa..),

Hii issue ni very subjective.., na kama hofu kwako ni watu kumshawishi basi umeumia (sababu hakuna mwanamke mbaya duniani.., na opposite attract.., kama wewe ulimpenda fahamu kwamba na wengine wenye taste kama zako wapo)
 
Mkuu Kundi la tatu kwako kwangu ni la kwanza.., si unajua tena mwingine anapenda masabuli wengine wanaita ni unene na obesity.., wakati wengine wanasema ni model (baadhi wanaita mbau mbau au mgonjwa..),

Hii issue ni very subjective.., na kama hofu kwako ni watu kumshawishi basi umeumia (sababu hakuna mwanamke mbaya duniani.., na opposite attract.., kama wewe ulimpenda fahamu kwamba na wengine wenye taste kama zako wapo)

kweli kabisa.
 
Mambo
wadau wenza.
Kivyangu mie nimewagawa wanawake katika makundi matatu.
Kama ifuatavyo ;
1. Wenye mvuto mkubwa au mkali.
2. Wenye mvuto wa kati.
3. Wasio na mvuto.
Tatizo ama changamoto la kumiliki mwanamke wa kundi la kwanza, ambae amekamilika na chungu ya vivutio mf. Reception (sura) nzuri sana, saburi hiloo la kumwaga! N.k
Kundi hili utapambana na washindani/wasumbufu wengi,
kwani sampuli ya mwanamke unaemmiliki atakua anatongozwa kila watongozaji wampatiapo wasaa.
KUNDI LA KATI
Kumiliki mwanamke wa kundi hili upinzani na changamoto hua za wastani, fiftyfifty.
Presha inapanda presha inashuka si kwa sana.
KUNDI LA TATU
Kundi hili ukimiliki , basi huyo ni wa kwako tu! Kuna wanawake ambao hata akipita sehemu watu hawajui kama kuna mwanamke kapita.
Wewe mwanaume mwenzangu ungependa umiliki mwanamke kutoka kundi lipi? Nawe mdada utakaepita hapa ungependa uwe kundi lipi kati ya hayo?
Nawasilisha
nafkir aliye wngu yupo kund la 50, hvyo makund n zaid ya hayo 3 plus la4
 
Namchagua ambaye kila nikimtizama the way alivo basi nafurahi na ninapata liziko la nafsi.. Akiwa na tabia nzuri basi ndo nakufa kabisa.. Yaani moyo unamdhondhokeaga tuuu..

red and bolded: .................still downloading.............!
 
Uzuri wa kitu uko machoni pake, hakuna mbaya hata mtu ukimuuliza kwanini anampenda fulani tu hana sababu yakuwa ni kwauzuri gani.
 
Mambo
wadau wenza.
Kivyangu mie nimewagawa wanawake katika makundi matatu.
Kama ifuatavyo ;
1. Wenye mvuto mkubwa au mkali.
2. Wenye mvuto wa kati.
3. Wasio na mvuto.
Tatizo ama changamoto la kumiliki mwanamke wa kundi la kwanza, ambae amekamilika na chungu ya vivutio mf. Reception (sura) nzuri sana, saburi hiloo la kumwaga! N.k
Kundi hili utapambana na washindani/wasumbufu wengi,
kwani sampuli ya mwanamke unaemmiliki atakua anatongozwa kila watongozaji wampatiapo wasaa.
KUNDI LA KATI
Kumiliki mwanamke wa kundi hili upinzani na changamoto hua za wastani, fiftyfifty.
Presha inapanda presha inashuka si kwa sana.
KUNDI LA TATU
Kundi hili ukimiliki , basi huyo ni wa kwako tu! Kuna wanawake ambao hata akipita sehemu watu hawajui kama kuna mwanamke kapita.
Wewe mwanaume mwenzangu ungependa umiliki mwanamke kutoka kundi lipi? Nawe mdada utakaepita hapa ungependa uwe kundi lipi kati ya hayo?
Nawasilisha

Irrelevant! Kwani uzuri wa maua ni macho au rangi?
 
kundi la tatu! nina wa kundi la tatu! lakin anaivutia mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom