nasikia jina lako halisi ni jack wolper.
sikutaki,umeona nilivyo loki niniliyu yangu,huioni ng'o !
:lock1::lock1::lock1: lock lock lock!!!!!!
check hiyo konnie.
pole mfadhili...mpige chini huyo nihamiesio kwa staili hiyo bana.
sioni tatizo mke kujua assets zangu,kwanza ni vizuri,lakini mishemishe za mjini napataje hela,napitia kona gani,viunzi gani naruka,hiyo simwambii,wanawake hawana muamana bana.
nikuoe wewe nipate wazimu,mtu mwenyewe mgomvi ka nini!
unakubaliana na nini?
BADILI TABIA, tatizo bishanga macho juu juu kama kunguru, wee ona tu eti anamsifia msichana wa kazi 'mzuri'
kwa nini asiseme 'mchapakazi?'
umeoa? umeajiriwa au unajitegemea?