Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 372
am too african kumtoa mwanamme out.
Yeye anitoe tu, mie ntagharimia mambo mengine, kama hana hela tusitoke, ntapika home.
umenichekesha sana,nitalala kwa raha.
am too african kumtoa mwanamme out.
Yeye anitoe tu, mie ntagharimia mambo mengine, kama hana hela tusitoke, ntapika home.
Mtambuzi ukitaka kushare cost na wewe nenda ujerumani ukadate huko, sisi ni waafrica, tena watanzania
mwanaume shurti uonyeshe uanaume wako....... Pia kidate wewe si umeomba? Kisaa cha kunilipisha wakati mie sikuweka bajeti ya videti?
Narudia tena, kidate nichangie,
bado unitongoze loh.......
Nikilipa ujue nitatongoza mie alaaaah
Nikikualika nitakua nimejiandaa japo naweza nisilipe kama nikiona Mwanaume anataka kulipa yeye au tutashare cost kama Mwanaume ataonekana hataki kulipiwa Jumla.
Ila kama umenialika ujiandae kugharamia, nilijijua sina hela nikatuli nyumbani, wewe umenitoa alipie nani?
Kama uinajijua huna hela ukialikwa si ukatae? Kwani ni msiba huo? Kuna watu ni ma-snitch sijawahi ona! Yeye kila siku hana hela! Wadada especially, afu hata akiona mdada mwingine anataka kumchuna! Mweeh!
Kama uinajijua huna hela ukialikwa si ukatae? Kwani ni msiba huo? Kuna watu ni ma-snitch sijawahi ona! Yeye kila siku hana hela! Wadada especially, afu hata akiona mdada mwingine anataka kumchuna! Mweeh!
yani unanifanya nispend my cash bila kutegemea kisa unataka kunitongoza??..hiyo ni financial rape....you invite me out na unilipie tuuu...
Ni kweli inapendeza mwanaume kulipa lakini ndio iwe ni kila siku........! Hata hakuna kulipa nusu hasara.............?
Kweli kabisa.......FINANCIAL RAPE indeed!!!!!!!!
Utongozwe halafu ulipe, yaani kutongozwa ni gharama siku hizi eeeh?????
Haaaaaaaa!!!!!
Well, mimi kulipia BF au mchumba mtoko haiko kwenye dictionary yangu, naweza kumfanyia labda iwe surprise ikiwa ni birthday yake au nicompansate with some other gift maybe. Lakini huwa silipi na wala sitoi offer za outings. LoL
Mtambuzi nadhani ungetuomba radhi wanaume tuliochangia huu uzi..Hivi wewe ulikuwa wapi toka jana......? Wanaume wengi wamekwepa kuchangia hii mada kwa kuogopa kuonekana ni wabahili........ Nilikuwa nasubiri mtu mwenye mtazamo tofauti ili kujaribu kubadili mindset za dada zetu, na kwa bahati mbaya sana, wanawake wanaochangia huu uzi wote wameolewa, wale wanaotarajia kuingia katika mahusiano wamekimbia, au wanachangia juu juu tu..........
si mmekula wote, hasara ipo wapi tena mkuu! isitoshe hajakuomba umtoe OUT.Yaelekea umechunwa sana sheikh mm nilikuwa mjanja kidogo, mtoko wa kwanza tu nikiona ni mtumiaji mzuri ni stop hata akitaka anitoe yeye mwenyewe bado issue. Si nilishabaini ni mtumiaji mzuri? nani awe masikini angali rahisi kidogo wapo bwana!
sio gharama kutongoza kama ukifanya tu kitaa lakini ukiamua kuifanya hyo shughuli restaurant ujiandae kumlipia huyo msichana...Kweli kabisa.......FINANCIAL RAPE indeed!!!!!!!!
Utongozwe halafu ulipe, yaani kutongozwa ni gharama siku hizi eeeh?????
Haaaaaaaa!!!!!
mie silipii hadi tuambizane uhusiano wetu ni wa kimagaharibi au wa kiafrika?
Kama ni wa kimagharibi, inayomaanisha nitapata haki zote kulingana na makubaliano ya Beijing, basi kila mtoko nitagharimia nusu kwa nusu.
Ila kama anataka mahusiano ya kiafrika ambayo mwanamme ana sauti kama kiongozi wa kundi la wanawake anaowaongoza, basi sitalipia asilani.
Mie hapa huwa naona wanamme wanajikanganya, anataka um-treat kama african king halafu kwenye cost sharing anataka twende kimagharibi, hii haiwezekani na haikubaliki.