Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
- Thread starter
- #61
BADILI TABIA kwa kweli sikujua.........kumbe kutongoza huwa kunalipiwa.............toka hapo ikanipa funzo, mambo ya kulipia videti sitaki mie, kideti nilipie, kunitongoza unitongoze ebooooh....ila kwa sasa ninalipa (sometimes) maana nikitoka natoka na mume wangu....... hata nikilipa ina thamani....
Kwa hiyo kama huyo jamaa angelipia hicho ki-date ingekuwa ni halali kabisa kukutongoza na huenda ndiye angekuwa hubby wako leo hii..................Just thinking loud.............LOL
Last edited by a moderator: