Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

Kaunga mbona kama unatutusi tena wakaka? Ishu hapa siyo hoja ya ukamilifu wa wanaume na mambo ya ki-cameroon, uzi unazungumzia namna Mungu alivyoumba mwanamke na mwanaume na namna gani tafiti zinaonyesha jinsi ambavyo mwanamke anamtegemea mwanaume ktk ukamilifu wake! Mtambuzi amemention maeneo kadhaa ikiwemo namna ambavyo mwanamke anapenda kusifiwa kivipande vipande hoja ambayo ina ukweli ndani yake.

Tutake radhi aisee!


Not this time broda; kama kupenda kusifiwa ndio ukipande pande then hata wanaume ni vipande pande pia.

na hata kama huyo ya uumbaji kuwa sijui ubavu ulinyofolewa kwa mwanamume (which can be just a metaphor), then mwanamume naye hajakamilika coz he is less one ubavu (kama ulinyofolewa just one).

Kaunga umechakachua huu uzi wa Mtambuzi, nachelea kuongeza neno lolote hapa ....
 
lolyz ... nakubali kutofautiana kimtazamo na yeyote yule...... Sitaki kuigeuza mada hii kuwa ya kidini, kwani itapoteza uhalisia......
Kuhusu wanandoa kufanana, naomba usome zaidi link hii hapa chini, niliwahi kuzungumzia jambo hilo wakati fulani.....

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/160484-mabinti-hawa-huolewa-na-baba-zao.html
Mkuu, nimesoma huu uzi, na kwa kiasi fulani sipingani na watafiti hao, hasa kwa kuwa umeweka dhana ya jumla bila ya data. Lakini pia mimi ninao ushahidi wa mmoja ninayemjua (sitauita utafiti) wa rafiki yangu msichana, ambaye "kwa kukosa mapenzi ya baba utotoni, na kwa kukosa mahusiano mazuri na baba yake" ameishia kutafuta "yule baba aliyemkosa alipokuwa mtoto" ndani ya wanaume watu wazima sana kuliko yeye. Hii ni kwa kwa mujibu wa maneno yake mwenewe baada ya kumwuliza na kunielezea mkasa wake.
:focus:Unaweza kuwa sahihi katika uchambuzi wako, lakini naogopa kuchangia kwa sababu sitaki ku"generalize".
 
uko kweli mchunguzi hata siku moja wanawake hata iweje huwa hawajiamini ndio maana kutoka na hili somo naona kipande kipande kinawasababisha wasijiamini. hata kufurahia nini una mwambia maana yeye hujiona ni wadhamni muda wote hata akiwa ni polygon ukimsifia atajiona yuko juu sana
 
Fixed Point .... Na nimewaza kwa usahihi kabisa...........au?
usi-generalize Mtambuzi, hii iishie kwa hao hao wanaojihisi vipande vipande, kuna wengine wengi tu tunajiona TUMEKAMILIKA.
sioni kwa nini mtu uone furaha KUAMBIWA kiungo chako fulani au wewe ni mzuri na mtu mmoja, bila kujiridhisha mwenyewe, after all kizuri kwa mmoja kinaweza kuwa kibaya kwa mwingine.
la maana hapa ni kujipenda mwenyewe, maoni ya watu woote hutayajali kama unajipenda the way you are
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi :i beg to differ....Mungu aliona Adam hajakamilika ndio maana akachomoa kambavu kamoja ili kufanya msaidizi aliona Adam yu mpweke mno...sababu ya kuchomoa mbavu ni simple ili wafanane na ndio maana wanandoa wakikaa sana kwenye mahusiano mwishowe watu huona wamefanana ...so mwanamke ndiye anayemkamilisha mwanaume na c vipande kama unavyodai.

Tuko pampoja........Adamu hakukamilika ndio maana akaletewa Eva na Adamu akaijiona kamili na kutoa maneno..."hakika huyu ni nyama katika nyama yangu". Bila mwanamke mwanaume hajakamilika, huo ndio ukweli, wanawategemea wanawake mwa mambo mengi sana.
 
Wao wamekamilika bwana ndio maana siku hizi wanaoana wenyewe kwa wenyewe! They real dont need us at all; go guys Cameroon ameshawapa go ahead na wala si MUNGU.

Tayari ikulu ishapigwa mawe!
 
Back
Top Bottom