fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
- Thread starter
- #101
Akili za mungu nimezijuwa wapii mbona kitu sio cha kufikiria hicho, wenye akili wanajua.LOL! Hivi akili za Mungu ulizijulia wapi!?..... yale yale ya mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu. Kwa hiyo wewe kuwa Baba kwa mtoto wa nje ni sawa lakini Mwanaume mwingine kuwa Baba wa mtoto kupitia mkeo ni kosa kubwa sana!!!!! Fungua macho kaka acha umimi!!!! Dunia ya 2012 ni tofauti na mwaka 47.
Aliye kupa wewe akili ndo kanipa mimi akili, sasa hapo nilazima tujuwe anaye gawa akili ndo anazo nyingi na anazicontrol nani ampe na nani asimpe.
Tatizo wewe unarudia niliyo yaongea kama wenzako...yani mmeishiwa hamna point za mana.
Umekalia mke wako azae na mwanaume mwingine, wewe mruhusu mke wako azae na wengine...wewe si unaishi dunia ya 2012.
Wache dada zako waowe wanaume si unaishi dunia ya 2012.
Tulizana kijana kama umeishiwa point, hapa tunatoa point sio pumba.