olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,303
- 1,559
Kwa vile na mfahamu alivyo na sio kawaida yake kuwa vile au kunijibu vile mkewe,
Nitamshukuru na kumwandalia kitanda tulale,
Kwani najua lzm kutakuwa na tatizo kubwa sana linalohitaji kuongelewa muda mwingine na sio wakati ule,
Kesho yake nitamtafutia mda mzuri na kumtaka tuliongelee swala hilo na nipate maelezo ya kutosha.
great answer, great wife. that is wt thy called wisdom, ningejua ulpo ningkupa zawadi, unajua jamii inatafuta wake kama nyie bd lack wapo wachache.