Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Hahahahaha,umenichekesha sana inabidi shem awe ameokoka ukianza kunena kwa lugha anakupa sapoti(joke)hahahahahah lol
dahhh umenifanya nicheke kwa kwali lohhh
yeah natabia hiyo ya ku nena kwa lugha nikikasirika..
lakini haichukui muda..( siwezi kukasirika zaidi ya dakika 10 ) ndivyo nilivyo..
Lzm itakuwa kila ukipata hasira nguvu ya roho mtakatifu inakujaa na unanena kwa lugha lol!
Hapo hata mgomvi wako hataelewa unachoongea inakuwa siri yako na roho mtakatifu,mbona raha,
Yani hapo na kesi inaishia hapo hapo,kwan hakuna ushaidi wa maneno uliyoongea!