Wanawake: Nahitaji ufafanuzi wenu katika jambo hili……..!

Khaaaa!
hee mtambuz asikwambie mtu harufu ya perfume inazungumzika. labda ungenijibu swali nililokuuliza mwishoni. huu ni ukweli labda wengine watapona kuna wanaume wasio jiheshimu hata chembe. mwanaume anarudi kwake chupi imeliwana shahawa, hapo mwanamke apate jibu gani?

kwamba alitoka kwa Anet so zile za mwishon ndo zinamalizikia, kasababu ya haraka. akiivua hadi aibu anaona. walah hata miye sifui. wanaume mjiheshimu kosa la kutembea nje ya ndoa lina uma[/QUOTE



Kuna wanaotembe anje ya ndoa na ni wasafi balaa chupi hazinuki kabisa jamani lols!!! anarudi home msafiiii hanuki kijasho cha mchana wala cha kwenye AC ofisini wala pafyum ya asubuhi! Msafi haswa.....lakini yupo hoi...kwa kutumika...unasikia kwa mbaaaali harufu ya laga mdomoni ...... kachelwa unamuuliza mwenzngu ulikuwa wapi anakwambia nilipita hapo kupata moja moto!!!!

Na badae sms inaingia vipi umefika kwa salama kwa mama Ngina wako? aliyetuma ni Joyce.....
 
wanawake tunavyopenda kutumia vya wenzetu, sijui kama utapata majibu sahihi hapa,

kwa kifupi tu wanawake tupo wabinafsi saaaaaaan, changu changu, chako cha wote

thubutu kufanya hayo, utabandikwa kila sehemu mwanaume suruali, hajui hata majukumu yake, yaani sisi tunajua sana majukumu ya wenzetu, ya kwetu hata sijui



mmh, marrykate hapo umetupa perspective nyingine ya 'the fair sex'... itabidi uvae helmet lakini, maana hukawii kukumbwa na concussion kwenye huu uzi
 
marry huogopi kusasambuliwa na wenzio?

ukweli lazima uwekwe wazi, atakaenuna alog off, ukifatilia hapa kwa makini comment za watu hubadilika sred kwa sred, kuna siku tulijadili hapa majukumu ya baba kama kichwa cha nyumba, na mama eti ni msaidizi tu, watu wengi walisapoti kuwa ni wasaidizi tu ikiwa na maana hatuna jukumu lolote kwenye ndoa na leo umeuliza majukumu yetu ni yapi kwenye ndoa hakuna alieweza kutaja hata moja, ni kama hatuyajui vile lol
 
Maana wanaume wamezidi unafiki. Wakimuona Wema Sepetu unaona wanavyo comment humu; mtoto mtamu... mtoto mtamu..; mnadhani ni kwa nini kama si lace wig, shadow, contact lenses na kucha Lol. Hamjani convince bado; ntajiremba mwanzo mwishooooo. Mnataka niibiwe eeh nimewashtukia. Lol.


nyumba kubwa mchokozi, hiyo red you mean kama ile style ya kigogo aliyemkwaza jamaa kwa vazi akaja kulalamika humu JF hapa juzi kati teh teh teh?
 
hebu nijuze gfsonwin (i know you are very frank), kwa mtazamo wako huu do you consider yourself as a traditional wife , mwanamke wa mwaka 47 au mwanamke aliyepitwa na wakati (as opposed to a modern, educated, professional, trendy, upwardly-mobile wife)? how do you balance muda wa kuweka ma-wig, kope, kucha n.k sambamba na ufanyaji wa majukumu yako kama ulivyoyaainisha pale juu?

ngoja nikwambie ma dia bro cartura, mimi siwez kusema ni traditional wife manake naye huyu ana definition yake na xstics zake ambazo nafikiri mimi sina. Kwa wale walioniona niko very smart, msafi na nadhifu sana, and i dont wear makeups in excess. But saloon naingia, hasa kutengeneza nywele basi labda na kutinda nyusi na kupaka rangi kucha za miguu tu wala siyo za mikono.
 
Last edited by a moderator:
ukweli lazima uwekwe wazi, atakaenuna alog off, ukifatilia hapa kwa makini comment za watu hubadilika sred kwa sred, kuna siku tulijadili hapa majukumu ya baba kama kichwa cha nyumba, na mama eti ni msaidizi tu, watu wengi walisapoti kuwa ni wasaidizi tu ikiwa na maana hatuna jukumu lolote kwenye ndoa na leo umeuliza majukumu yetu ni yapi kwenye ndoa hakuna alieweza kutaja hata moja, ni kama hatuyajui vile lol

marrykate leo hatujaulizwa majukumu ya mama ila tumeyataja na mimi nilisema mama ni mlezi wa familia na nikatanabaisha kuwa kwa yeye kuwa mlezi basi hawez kuacha wanawe wakala asichokiandaa, au wakavaa nguo chafu, au wakawa wachafu wa mwili nk. unless kama hujasoma post zote vizuri
 
ukweli lazima uwekwe wazi, atakaenuna alog off, ukifatilia hapa kwa makini comment za watu hubadilika sred kwa sred, kuna siku tulijadili hapa majukumu ya baba kama kichwa cha nyumba, na mama eti ni msaidizi tu, watu wengi walisapoti kuwa ni wasaidizi tu ikiwa na maana hatuna jukumu lolote kwenye ndoa na leo umeuliza majukumu yetu ni yapi kwenye ndoa hakuna alieweza kutaja hata moja, ni kama hatuyajui vile lol

Mwenzangu hizi mada siku hizi naziogopa maana ni pasua kichwa.
 
The Boss niliwahi kuweka uzi hapa wakati fulani kuhusu sheria ya ndoa ya mwaka 1971 ambayo inampa mamlaka mke kukopa mahitaji ya msingi dukani kwa ajili ya familia pale inapotokea mume kasafiri kwa muda mrefu bila kuacha hela ya matumizi ya kutosha au kaitelekeza familia na mume huyo anaporudi analazimika kulipa deni hilo na asipolipa anabanwa kisheria, lakini pia sheria hiyo hiyo ya ndoa inamtaka mke kumtunza mume anapokuwa na mapungufu ya kimwili au kiakili na labda pia anapokuwa na afya mgogoro, lakini kichekesho ni kwamba sheria hiyo haim-bani mke pale anapokataa kumtunza mume huyo au kumtelekeza...............

Kwa mkabala huo ndio maana wanawake humu wanaona kwamba ni hiyari yao kutekeleza majukumu yao katika ndoa lakini kwa mume ni wajibu wake kutekeleza majukumu yake ya kuitunza familia..............[/QUOTE
hili ni janga kwa sheria zetu ndio maana tunatakiewa tuzifumue kabisa nje yahapo wanaume tutakuwa tunanyanyasika sana kila kuchao
 
Khaaaa!
hee mtambuz asikwambie mtu harufu ya perfume inazungumzika. labda ungenijibu swali nililokuuliza mwishoni. huu ni ukweli labda wengine watapona kuna wanaume wasio jiheshimu hata chembe. mwanaume anarudi kwake chupi imeliwana shahawa, hapo mwanamke apate jibu gani?

kwamba alitoka kwa Anet so zile za mwishon ndo zinamalizikia, kasababu ya haraka. akiivua hadi aibu anaona. walah hata miye sifui. wanaume mjiheshimu kosa la kutembea nje ya ndoa lina uma[/QUOTE



Kuna wanaotembe anje ya ndoa na ni wasafi balaa chupi hazinuki kabisa jamani lols!!! anarudi home msafiiii hanuki kijasho cha mchana wala cha kwenye AC ofisini wala pafyum ya asubuhi! Msafi haswa.....lakini yupo hoi...kwa kutumika...unasikia kwa mbaaaali harufu ya laga mdomoni ...... kachelwa unamuuliza mwenzngu ulikuwa wapi anakwambia nilipita hapo kupata moja moto!!!!

Na badae sms inaingia vipi umefika kwa salama kwa mama Ngina wako? aliyetuma ni Joyce.....
Paloma yaani umebwabwaja hapa ukaona haitoshi mpaka ukakitaja kimeo changu hapo kazini..........!
Sasa hujui kwamba mama Ngina akisoma hii maneno patachimbika hapa nyumbani

Una visa wewe
 
Last edited by a moderator:
tenda wema uende zako asa linapokuja swala kama hili tenaa kwa mumu mmmhhh hapo kuna mushikeli
 
Back
Top Bottom