Wanawake: Nahitaji ufafanuzi wenu katika jambo hili……..!

nyumba kubwa acha awape vidonge vyenu, nimesoma wadada na wamama wengi hapa walikuwa wanawashambulia wanaume wakati mtoa mada alitaka ufafanuzi wenu

Wao wanasema wanaume hawaridhiki, but thats not true, sio wote wapo hivyo, wengine hujikuta circumstances zinawalazimisha kuwa hivyo. Just imagine mwanamke anataka eti mwanaume wake atoe masufuria kwenye nyumba ya kupanga pale uani akae kwenye kigoda achukue steel wire aanze kusugua ukoko wa ubwabwa! Kwani umefunzwa wapi we mwanamke? Huna baba? Huna makaka au wajomba ukaona mfano wa jinsi waafrika tunavyoishi katika mazingira yetu? Kwa nini wenzio wasikusaidie? Wanawake mtalalamika sana maana sio kuwa wanaume hawaoni mapungufu yenu sema sie ni watu wenye busara na maamuzi. Ndo maana unaweza kukuta mtu kaamua kuwa mlevi au anashinda ofisini mpaka wkend! Na wengine hujichukulia nyumba ndogo wanaojua mapenzi ni uwajibikaji japo hiyari ni wakati wa kuchagua nani wa kumpenda ila ukishampenda unakuwa duty bound na kuna sanctity to marriage. Sio rahisi kama wanawake wengi humu wanavyofantasize mapenzi. Kuna uwajibikaji pia, kwani mnaenda kitchen partie kwa fashion au kujifunza uwajibikaji kwenye ndoa? No wonder mie ni mmoja ya wanaopinga kitchen parties maana mtu anakuja kuingia kwenye ndoa bila kujua wajibu wake wakati alifanyiwa party ya kumfuna. Au huwa mnafuata zawadi ya vyombo? Kwani wadada wa siku hizi ukiingia nyumba yake hata kijiko hana eti anakula restaurant! Kupika zero, ukimpa unga apike ugali unakuja mbichi, ndo maana hata ukienda hoteli kubwa wanazokimbilia kula unakuta the chef ni mwanaume!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: LD
Wao wanasema wanaume hawaridhiki, but thats not true, sio wote wapo hivyo, wengine hujikuta circumstances zinawalazimisha kuwa hivyo. Just imagine mwanamke anataka eti mwanaume wake atoe masufuria kwenye nyumba ya kupanga pale uani akae kwenye kigoda achukue steel wire aanze kusugua ukoko wa ubwabwa! Kwani umefunzwa wapi we mwanamke? Huna baba? Huna makaka au wajomba ukaona mfano wa jinsi waafrika tunavyoishi katika mazingira yetu? Kwa nini wenzio wasikusaidie? Wanawake mtalalamika sana maana sio kuwa wanaume hawaoni mapungufu yenu sema sie ni watu wenye busara na maamuzi. Ndo maana unaweza kukuta mtu kaamua kuwa mlevi au anashinda ofisini mpaka wkend! Na wengine hujichukulia nyumba ndogo wanaojua mapenzi ni uwajibikaji japo hiyari ni wakati wa kuchagua nani wa kumpenda ila ukishampenda unakuwa duty bound na kuna sanctity to marriage. Sio rahisi kama wanawake wengi humu wanavyofantasize mapenzi. Kuna uwajibikaji pia, kwani mnaenda kitchen partie kwa fashion au kujifunza uwajibikaji kwenye ndoa? No wonder mie ni mmoja ya wanaopinga kitchen parties maana mtu anakuja kuingia kwenye ndoa bila kujua wajibu wake wakati alifanyiwa party ya kumfuna. Au huwa mnafuata zawadi ya vyombo? Kwani wadada wa siku hizi ukiingia nyumba yake hata kijiko hana eti anakula restaurant! Kupika zero, ukimpa unga apike ugali unakuja mbichi, ndo maana hata ukienda hoteli kubwa wanazokimbilia kula unakuta the chef ni mwanaume!

hakuna anayefantisize mapenzi hapa we unaongelea mambo ya kizamani wakati huo wanawake hawana kazi wanakaa tu ndani sa hizi watu wanaenda kazini na tunahudumia familia wote so kama wewe ulioa ili ufuliwe nguo na kupikiwa sio wote walioa kwa ajili hiyo
 
Tuongee na facts; ni wanaume wangapi wanaosha vyombo nje kwenye nyumba za kupanga??? Hizi ni adithi za ku support tabia mbaya za wanaume. Mi sijawhi kuona mwanaume mwenye mke anaosha vyombo Tz; tuongee ukweli si adithi za mapokeo.


Wao wanasema wanaume hawaridhiki, but thats not true, sio wote wapo hivyo, wengine hujikuta circumstances zinawalazimisha kuwa hivyo. Just imagine mwanamke anataka eti mwanaume wake atoe masufuria kwenye nyumba ya kupanga pale uani akae kwenye kigoda achukue steel wire aanze kusugua ukoko wa ubwabwa! Kwani umefunzwa wapi we mwanamke? Huna baba? Huna makaka au wajomba ukaona mfano wa jinsi waafrika tunavyoishi katika mazingira yetu? Kwa nini wenzio wasikusaidie? Wanawake mtalalamika sana maana sio kuwa wanaume hawaoni mapungufu yenu sema sie ni watu wenye busara na maamuzi. Ndo maana unaweza kukuta mtu kaamua kuwa mlevi au anashinda ofisini mpaka wkend! Na wengine hujichukulia nyumba ndogo wanaojua mapenzi ni uwajibikaji japo hiyari ni wakati wa kuchagua nani wa kumpenda ila ukishampenda unakuwa duty bound na kuna sanctity to marriage. Sio rahisi kama wanawake wengi humu wanavyofantasize mapenzi. Kuna uwajibikaji pia, kwani mnaenda kitchen partie kwa fashion au kujifunza uwajibikaji kwenye ndoa? No wonder mie ni mmoja ya wanaopinga kitchen parties maana mtu anakuja kuingia kwenye ndoa bila kujua wajibu wake wakati alifanyiwa party ya kumfuna. Au huwa mnafuata zawadi ya vyombo? Kwani wadada wa siku hizi ukiingia nyumba yake hata kijiko hana eti anakula restaurant! Kupika zero, ukimpa unga apike ugali unakuja mbichi, ndo maana hata ukienda hoteli kubwa wanazokimbilia kula unakuta the chef ni mwanaume!
 
SI ndo nashangaa, my hubby is busy, I am busy too; na wakati mwingine niko busy zaidi yake; kuna ubaya gani vyombo akiosha house girl au kwa kuwa wamekariri mke ni trekta basi lazima lilimishwe.


hakuna anayefantisize mapenzi hapa we unaongelea mambo ya kizamani wakati huo wanawake hawana kazi wanakaa tu ndani sa hizi watu wanaenda kazini na tunahudumia familia wote so kama wewe ulioa ili ufuliwe nguo na kupikiwa sio wote walioa kwa ajili hiyo
 
  • Thanks
Reactions: LD
Tliza hasira mama, mijanaume ya
kiafrica ndivyo ilivyo..... Wanaoa ili wapate wakuwafulia na kuwapigia pasi, kuwazalia, n.k.....
Ndo maana ndoa za siku hizi hazidumu....maana bibi zetu ndo waliweza
vumilia hayo.....

Wanasahau hayo
yute mke atayafanya in the name of love, na si kwa
kuwa ni 'wajibu'.......

Haya huyu hapa ndo mke mwema: Kitabu cha Mithali, sura ya 31, kuanzia msitari wa 10
10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani.
11 Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato.
12 Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake.
13 Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo.
14 Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali.
15 Tena huamka, kabla haujaisha usiku; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.
16 Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.
17 Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu.
18 Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.
19 Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.
20 Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.
21 Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.
22 Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.
23 Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.
24 Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi.
25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.
26 Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema i katika ulimi wake.
27 Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.
28 Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema,
29 Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote.
30 Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye Bwana, ndiye atakayesifiwa.
31 Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.
 
  • Thanks
Reactions: LD
hakuna anayefantisize mapenzi hapa we unaongelea mambo ya kizamani wakati huo wanawake hawana kazi wanakaa tu ndani sa hizi watu wanaenda kazini na tunahudumia familia wote so kama wewe ulioa ili ufuliwe nguo na kupikiwa sio wote walioa kwa ajili hiyo

Usiwe unafikiri ndani ya box! Pia jaribu kusoma vizuri uchanganue ninachokisema. Hata hivyo sijaoa ili nipikiwe, nadhani am the best cook more than my wife for sure. Hata hivyo pole kama umekwazika maana najua wanawake mtakuwa mmeshavimba sura. Ni mitizamo tu, by tha way my wife is busy more than you can imagine thats why i always try to remind her to take a break and go for lunch ana majukumu mazito sana. Ila nyumbani hajawahi kushindwa kutekeleza majukumu yake kama mke, am very happy and lucky to have a real woman like her, hata kujifungua alikataa kupigwa kisu na leo yupo poa kama kabinti. Otherwise usipate wasiwasi, kama we hayo huyawezi na mumeo hajawahi kuwa na tatizo then its fine kila mtu na ndoa yake kwani furaha yatokana na makubaliano yenu.
 
Ndio maana nikakwambia wewe mgeni kwenye taasisi ya ndoa. Alokwambia kuwa wote wanapigwa visu kwa ku opt nani???


Usiwe unafikiri ndani ya box! Pia jaribu kusoma vizuri uchanganue ninachokisema. Hata hivyo sijaoa ili nipikiwe, nadhani am the best cook more than my wife for sure. Hata hivyo pole kama umekwazika maana najua wanawake mtakuwa mmeshavimba sura. Ni mitizamo tu, by tha way my wife is busy more than you can imagine thats why i always try to remind her to take a break and go for lunch ana majukumu mazito sana. Ila nyumbani hajawahi kushindwa kutekeleza majukumu yake kama mke, am very happy and lucky to have a real woman like her, hata kujifungua alikataa kupigwa kisu na leo yupo poa kama kabinti. Otherwise usipate wasiwasi, kama we hayo huyawezi na mumeo hajawahi kuwa na tatizo then its fine kila mtu na ndoa yake kwani furaha yatokana na makubaliano yenu.
 
SI ndo nashangaa, my hubby is busy, I am busy too; na wakati mwingine niko busy zaidi yake; kuna ubaya gani vyombo akiosha house girl au kwa kuwa wamekariri mke ni trekta basi lazima lilimishwe.

Labda ukipitia post nyingine nilizotuma unaweza kupata kitu tofauti na unachonidhania. Usije ukatoka ofisini na ubusy wako ukadhani ndo excuse ya kutotimiza majukumu yako nyumbani. Kumbuka mumeo pia anatakiwa asimamie majukumu yake! Mumeo sio kaka yako pale ni mapenzi na kutimiza wajibu my sister. Bisha yote lakini usisahau kutimiza ulichofuata kwenye ndoa. Kazi, pesa etc havina uhusiano na uwajibikaji katika mahusiano! Hata uwe busy vipi, ni wajibu wako kufahamu cha kumu-impress mwenza wako japo kidogo. Labda nikueleze kiufupi ni kuwa mambo ya kumletea mke kanga sijawahi maana sijui amevaa lini kanga namuona na vikoi tu ila nikimkosea at least twaenda Osaka restaurant for japanese cuisine au Dragon for chinese dishes then we chart na kwa kuyaongea matatizo yetu tunapata suluhu na kuangalia mbele zaidi maana sidhani kama kumnunia ni suluhisho zaidi asipokuomba msamaha utazidi kujipa hasira bure kwani wakati mwingine sio kila jambo linahitaji usubiri kuombwa msamaha, kama unampenda mengine unayamezea. Utakasirika mara ngapi ndugu zangu? Ndoa ina majaribu mengi ila ndoa ina uwajibikaji kubali au ukatae siwezi kukulazimisha, kwani yawezekana makubaliano yenu ni tofauti, kila mtu ana sababu yake ya kuwa mwanandoa.
 
Ndio maana nikakwambia wewe mgeni kwenye taasisi ya ndoa. Alokwambia kuwa wote wanapigwa visu kwa ku opt nani???

Wapo wanao opt, nadhani hauji na strong points to support your arguments zaidi ya kung'ang'ania kuwa sina uzoeeu na ndoa. Unajua suala hapa sio uzoefu, mibka minne unaenda wa tano na miwili ya kukaa pamoja under the same roof as fiancees inatosha kutoa mawazo yaliyokomaa. The point is, ndoa ina uwajibikaji thats all, kama nyie mna hiyari siwezi kusema lolote kuhusu ndoa yenu my ndugu, otherwise have a gud night nina jukumu la kumuamsha kijana wangu anywe dawa anaumwa.
 
daaaaaaah wanawake mna kazi mpaka chupi mnawafulia..........

kweli kuwa mwanaume rahaaaaaaaaaaa...............
duhhhhhh





huniheshimu mimi.

sikiliza wanaume mna mambo ya ajabu sana, wake zenu tunavumilia sana. kwani wewe hujawah kuskia mwanaume akidai mimi nafuliwa chupi na mke wangu lakn jana nimeifua mwenyewe? ulimuuliza kwanin?
 
asante sana bhikola kwa sifa za mke mwema...
naomba uniwekee na sifa za MUME MWEMA




Haya huyu hapa ndo mke mwema: Kitabu cha Mithali, sura ya 31, kuanzia msitari wa 10
10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani.
11 Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato.
12 Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake.
13 Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo.
14 Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali.
15 Tena huamka, kabla haujaisha usiku; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.
16 Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.
17 Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu.
18 Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.
19 Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.
20 Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.
21 Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.
22 Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.
23 Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.
24 Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi.
25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.
26 Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema i katika ulimi wake.
27 Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.
28 Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema,
29 Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote.
30 Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye Bwana, ndiye atakayesifiwa.
31 Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.
 
Last edited by a moderator:
hata kama nimedandia treni kwa mbele, hivi mwanaume hawezi kuosha vyombo?
anyway kila mtu ndani ya nyumba wanaishi kwa style zao....
ila mbona wanandoa wengi unaowaona wanasaidiana kazi?
tena huwabond kweli kweli....
au hawa wanaume wanaosaidia wake zao kazi za ndani wana walakini?




Wao wanasema wanaume hawaridhiki, but thats not true, sio wote wapo hivyo, wengine hujikuta circumstances zinawalazimisha kuwa hivyo. Just imagine mwanamke anataka eti mwanaume wake atoe masufuria kwenye nyumba ya kupanga pale uani akae kwenye kigoda achukue steel wire aanze kusugua ukoko wa ubwabwa! Kwani umefunzwa wapi we mwanamke? Huna baba? Huna makaka au wajomba ukaona mfano wa jinsi waafrika tunavyoishi katika mazingira yetu? Kwa nini wenzio wasikusaidie? Wanawake mtalalamika sana maana sio kuwa wanaume hawaoni mapungufu yenu sema sie ni watu wenye busara na maamuzi. Ndo maana unaweza kukuta mtu kaamua kuwa mlevi au anashinda ofisini mpaka wkend! Na wengine hujichukulia nyumba ndogo wanaojua mapenzi ni uwajibikaji japo hiyari ni wakati wa kuchagua nani wa kumpenda ila ukishampenda unakuwa duty bound na kuna sanctity to marriage. Sio rahisi kama wanawake wengi humu wanavyofantasize mapenzi. Kuna uwajibikaji pia, kwani mnaenda kitchen partie kwa fashion au kujifunza uwajibikaji kwenye ndoa? No wonder mie ni mmoja ya wanaopinga kitchen parties maana mtu anakuja kuingia kwenye ndoa bila kujua wajibu wake wakati alifanyiwa party ya kumfuna. Au huwa mnafuata zawadi ya vyombo? Kwani wadada wa siku hizi ukiingia nyumba yake hata kijiko hana eti anakula restaurant! Kupika zero, ukimpa unga apike ugali unakuja mbichi, ndo maana hata ukienda hoteli kubwa wanazokimbilia kula unakuta the chef ni mwanaume!
 
daaaaaaah wanawake mna kazi mpaka chupi mnawafulia..........

kweli kuwa mwanaume rahaaaaaaaaaaa...............
duhhhhhh
BADILI TABIA ndio maana mimi siku zote huwa namshukuru sana Mungu kwa kunipa watoto wa kiume. Manake wa kike ningemuonea huruma san kwa jinsi ambavyo angekabiliwa na majukumu mengi.
 
Last edited by a moderator:
@nyumbakubwa,
ingekuwa wanaume wote wana akili za kutokufanya kazi za ndani, maana wanategemea wake zao familia nyingine hata watoto wangekufa,
nishaona familia baba mfanyabiashara mama mfanyakazi, maternity leave ya mke ilipoisha, hawa waligawana majukumu, mama akienda job asubuhi shughuli zote za malezi mume anazifanya, na mama akirudi mchana baba anatoka kwenda kwenye mihangaiko yake..... waliishi hivi takriban mwezi mmoja....... hadi walipopata msichana wa kazi.

imagine huyu baba ndo angekuwa hataku "kusugua masufuria" ingekuwaje?
imagine mtoto mchanga ingekuwaje?
kila mmoja aliiadmire hii couple... na yule baba

mie nadhani ukiachilia mbali kuwa kila familia ina style zake lakini hakuna kitu kinachoitwa wajibu.... jamii imefanya kazi za ndani zionekane ni wajibu wa mwanamke.....

ila kuna MAPENZI, kufuliwa chupi, kupigiwa pasi nakadhalika yanafanyika kwa sababu ya mapenzi, na ndo maana penzi likiisha haya mnayoita wajibu hayafanyiki tena, ndo maana migogoro inapoanza mume analalamika mkewe hatimizi "wajibu", hajui kuwa sio kwamba ule ni wajibu la hasha yale ni mapenzi.......




Tuongee na facts; ni wanaume wangapi wanaosha vyombo nje kwenye nyumba za kupanga??? Hizi ni adithi za ku support tabia mbaya za wanaume. Mi sijawhi kuona mwanaume mwenye mke anaosha vyombo Tz; tuongee ukweli si adithi za mapokeo.
 
kwa kweli, ila plz plz unapowalea watoto wako wafunze kazi zote, wakumbushe hakuna kazi za kike wala za kiume....


BADILI TABIA ndio maana mimi siku zote huwa namshukuru sana Mungu kwa kunipa watoto wa kiume. Manake wa kike ningemuonea huruma san kwa jinsi ambavyo angekabiliwa na majukumu mengi.
 
Wao wanasema wanaume hawaridhiki, but thats not true, sio wote wapo hivyo, wengine hujikuta circumstances zinawalazimisha kuwa hivyo. Just imagine mwanamke anataka eti mwanaume wake atoe masufuria kwenye nyumba ya kupanga pale uani akae kwenye kigoda achukue steel wire aanze kusugua ukoko wa ubwabwa! Kwani umefunzwa wapi we mwanamke? Huna baba? Huna makaka au wajomba ukaona mfano wa jinsi waafrika tunavyoishi katika mazingira yetu? Kwa nini wenzio wasikusaidie? Wanawake mtalalamika sana maana sio kuwa wanaume hawaoni mapungufu yenu sema sie ni watu wenye busara na maamuzi. Ndo maana unaweza kukuta mtu kaamua kuwa mlevi au anashinda ofisini mpaka wkend! Na wengine hujichukulia nyumba ndogo wanaojua mapenzi ni uwajibikaji japo hiyari ni wakati wa kuchagua nani wa kumpenda ila ukishampenda unakuwa duty bound na kuna sanctity to marriage. Sio rahisi kama wanawake wengi humu wanavyofantasize mapenzi. Kuna uwajibikaji pia, kwani mnaenda kitchen partie kwa fashion au kujifunza uwajibikaji kwenye ndoa? No wonder mie ni mmoja ya wanaopinga kitchen parties maana mtu anakuja kuingia kwenye ndoa bila kujua wajibu wake wakati alifanyiwa party ya kumfuna. Au huwa mnafuata zawadi ya vyombo? Kwani wadada wa siku hizi ukiingia nyumba yake hata kijiko hana eti anakula restaurant! Kupika zero, ukimpa unga apike ugali unakuja mbichi, ndo maana hata ukienda hoteli kubwa wanazokimbilia kula unakuta the chef ni mwanaume!

kaka yangu Bondspot naomba nirud kwako kwa kuuliza maswali haya japo sijui ni kwakuchelewa au vipi, kwani swala la kusaidiana ndani ya nyumba ni baya? sawa mimi mkeo nipo ila leo umeona majukumu yameniwia mengi je waweza nisaidia huko kuosha sufuria? mbona sisi wanawake tunawasaidia majukumu yenu? au sisi ni wanyoonge?

anyway kazi ya kutunza familia ni ya baba, mama ni mlezi tu wa familia hili halina ubish. lakin mbona ninyi mnatutegemea kutunza familia? Imagine wakati mnajenga ni wazi kuwa ulikuwa unategemea bi mkubwa naye akupe sapoti kitu ambacho alikifanya kwa moyo kwani alijua nyumba ni ya familia pengine hata kusmamia ujenzi ulimtuma sasa je na sisi watu watushangae kwa hilo?

sion mantiki katika kusaidiana bali ipo katika kutotimiza wajibu, ni dhahiri kuwa mwanamke asiyetimiza wajibu wake anaikosea familia yake no matter kwamba umekasirishwa au vipi, kwani mstaarabu atatimiza wajibu wake kisha adai haki yake baadae.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom