Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kwenye black inajieleza yenyewe...yaani kwa ufupi ndo hivyo...lol!
Kwenye red, KUNRADHI SAAAANA Mkuu CHRISS!
Sa huyo ZD umempataje tena, wakati juzi walikuwa hapa A-Town na mwana-jei-efu anayekwenda kwa jina la
Kanda-MbiliMbili?
Unazugwa babaake...embu mkalie kooni, au search simu yake ya Mchina!
Apology accepted. Hiyo nyingine umempakazia. Wiki nzima hii nilikuwa naye bega kwa bega na wapwa na mashemeji zake. Hilo halinitii presha. Tafuta sababu nyingine ya kutugombanisha. Kwa hilo hutafanikiwa.