Hahahaaaaa hawa hawaaminikiNajua nikiwepo hamtanisema, lakin nikiwapa kisogo-kosa la mwisho..."Pakajimmy mwenyewe kumbe ndo huyu, sie tulidhani bonge la tall, kumbe kibushuti"...
Na kwanini hujalala mpaka sa hizi ?.....si nilikuambia unatakiwa uwahi kulala ili ukue?
Hahahaaaaa humuhumu sema jukwaa ndio tofautihalafu wewe uache kushinda humu! Kichenchede chako unakula nacho good tym sa ngapi?
halafu wewe uache kushinda humu! Kichenchede chako unakula nacho good tym sa ngapi?
Umeona mi bado mdogo kweli
nilikuwa nachungulia nikaona kama umeniita vile. Uwe na usiku mwema mpenzi, ngoja nilale nizeeke vizuri.
Umeona mi bado mdogo kweli
Mwambie basi anifundishe wanavyofanya na vichenchede
Umeamua kuungana na PakaJimmy kuniponda?
Ntakumwaga uanze kulia tena oooh hunijui eeeeh?
Mi ndio b52 original hadi kwenye Dolar nimo tena USD 10,000/-
View attachment 58980
Umeamua kuungana na PakaJimmy kuniponda?
Ntakumwaga uanze kulia tena oooh hunijui eeeeh?
Mi ndio b52 original hadi kwenye Dolar nimo tena USD 10,000/-
View attachment 58980
nyie wenyewe mnatupaga majina ya ajabu mpaka, tena muache kwa kweli!