Mtambuzi kuna jambo nimejiuliza sana akilini mwangu toka jana usiku, nilikuwa nausoma uzi wa Kaunga, nikaenda nikapitia nyuzi za@darkcity, AshaDii, boss, Mwanajamii one SnowBall Eiyer na wengine kisha nikaona uzi mwingine wa Superman na nyuzi ambazo wewe umetoa na nyingine kibao tu nikajiuliza hivi kweli haya mafunzo kunawatu wanayapata in reality? je michango ya wenzetu huwa tunaifanyia kazi? je tunatoka hatua moja kwenda nyingine in terms of relationships? je kiukweli humu MMU tupo ili kudumisha mahusiano yetu?
kiukweli kama shule humu MMU IPO tena hii ni zaid ya ile ya chuo ila sasa kazi kwa sisi tunaojifunza.