Darlingtone
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 390
- 146
Dada zangu wameonewa kiasi cha kutosha
Dada zangu wamedhalilishwa kiasi cha kutosha
Dada zangu wamenyanyaswa vya kutosha.
Yooote wamevumilia, wamesamehe na kusahau.
Nikadhani yameishia hapo.
Sasa wanaanza kutukanwa matusi yasiyosemekana.
Mungu na amlaani mtu atukanaye na kudhalilisha wanawake (wakisahau hata mama, dada, na watoto zao ni wanawake)
Wote wanaowapenda, kuwajali na kuwathamini wanawake kama nifanyavyo mimi waseme AMINA!
Babu huna hang'over leo?? Asante kwa kututetea