Wanawake na mambo ya kutoa mimba

Dada zangu wameonewa kiasi cha kutosha
Dada zangu wamedhalilishwa kiasi cha kutosha
Dada zangu wamenyanyaswa vya kutosha.

Yooote wamevumilia, wamesamehe na kusahau.
Nikadhani yameishia hapo.
Sasa wanaanza kutukanwa matusi yasiyosemekana.

Mungu na amlaani mtu atukanaye na kudhalilisha wanawake (wakisahau hata mama, dada, na watoto zao ni wanawake)

Wote wanaowapenda, kuwajali na kuwathamini wanawake kama nifanyavyo mimi waseme AMINA!

Babu huna hang'over leo?? Asante kwa kututetea
 
Dada zangu wameonewa kiasi cha kutosha
Dada zangu wamedhalilishwa kiasi cha kutosha
Dada zangu wamenyanyaswa vya kutosha.

Yooote wamevumilia, wamesamehe na kusahau.
Nikadhani yameishia hapo.
Sasa wanaanza kutukanwa matusi yasiyosemekana.

Mungu na amlaani mtu atukanaye na kudhalilisha wanawake (wakisahau hata mama, dada, na watoto zao ni wanawake)

Wote wanaowapenda, kuwajali na kuwathamini wanawake kama nifanyavyo mimi waseme AMINA!

My God will bless u abanduntly,,love u babu
 
Babu huna hang'over leo?? Asante kwa kututetea

Babu ametokea kanisani kupata sakramenti takatifu, anafungua JF anakutana na matusi kwa wajukuu zake.....

No wani kani tukana my wajukuuz like zis bana....Eti wote wameshawahi kutoa mimba....Ova mai dedi bode. Hii ni ABOMINATION!

Laana nayomwachia inaweza kuwa ya kudumu asipowaombeni radhi!
 
kweli kweli kweli, kuna mwanamke wa mjini ambaye hajawahi kutoa mimba? Yani kuanzia anasoma msingi, sekondari, chuo, kazini. Kweli kweli kama kuna mdada humu ndani ana uhakika aseme. Naomba sana tuwe wa kweli.

Mimi mademu wote ambao nimepata kuwa nao (100+) wameshawahi kutoa mimba either kabla ya kuwa na mimi na hata baada kuwa yuko na mimi.

hivi hujajiuliza kwann wanawake wako wote wametoa mimba zako? Ww utakuwa ndo kiini cha tatizo. Inabidi ujifanyie tathmini ili ujirekebishe kama inawezekana.

Eeh,nikishasema nimetoa mimba itakusaidia nn wewe kama ww? Watu wengine bwanaaa,aaaghhh!!!
 
hivi hujajiuliza kwann wanawake wako wote wametoa mimba zako? Ww utakuwa ndo kiini cha tatizo. Inabidi ujifanyie tathmini ili ujirekebishe kama inawezekana.

Eeh,nikishasema nimetoa mimba itakusaidia nn wewe kama ww? Watu wengine bwanaaa,aaaghhh!!!

Watu kama hao hata hizo mimba anazosema wala siyo zake. Isikusumbue ndugu yangu!
 
Au nimwombee laana kwa Mungu, baioloji yake isizi, na kitoa uchafu kitekenye mpaka atakapowaomba razi wanawake........akipata mimba babu ntamzalisha kwa operesheni!

teh teh mi ntakuwa nes..pampas ntamletea..
 
Shida yao wanacho niuzi hawataki kuwa wakweli. mimba wanatoa halafu ukiwauliza wote wanajifanya hawajawahi kutoa.

Umesema wanawake woooooote yaani hii ina iclude mpaka ulipozaliwa (nyumbani) madada binamu na wajomba. Nadhani ni jambo la busara ungeanza kudeal na dada zako au binamu zako kuwauliza hili swali na utabata jibu zuri tu.

Kwa post yako ya kuanzisha hii thread inaonyesha umeshatoa mimba wanawake 80+ hao 20+ nadhani ndio watakuwa wametoa kabla ya wewe kukutana nao.

Swali.

Je unajisikiaje wewe kuwa mshiriki wa kudhulumu nafsi/roho za wanaadamu 80+? Vipi kuhusu afya yako kiujumla?

Ushauri.

Waarabu wanamethali inasema "tukifanya watu wajuwe kwamba tunaangalia mazuri yao kabla ya mabaya yao watakubali kupokea nasaha" kisha wakaendelea kusema "Ni bora mtu kujuwa kosa lake si sharti kulisahihisha mbele ya watu"

Asante na asubuhi njema.
 
Nenda marie stopes mwenge pale utakuta msululu wa akina mama masista du wanafunzi ndo usiseme eti wenyewe waita kusafishwa tehe
 
Nenda marie stopes mwenge pale utakuta msululu wa akina mama masista du wanafunzi ndo usiseme eti wenyewe waita kusafishwa tehe

Hivi ukikuta machangudoa wamejaa mahali fulani ....inaweza ikakufanya ukaja kubandika crap ya wanawake wengi ni machangudoa?
 
Mtu mzima haulizi shimo liko wapi. bahati mbaya mimi siyo mtoto wa mjini na hamna sharobaro yoyote ninae ruhusu kavu kavu.
Kama nitashika mimba sijatarajia inawezekana nikatoa.

mmmmh! Vp kuhusu wenzetu wa western side ambao wamehalalisha kuaboti? Eti wanaita ni unwanted pregnancies! Labda na wabongo 2naiga! Si unazipata zetu?
 
Nenda marie stopes mwenge pale utakuta msululu wa akina mama masista du wanafunzi ndo usiseme eti wenyewe waita kusafishwa tehe

Msururu haiwezi kumaanisha WOTE.

Na hapa ndipo babu anapokasirikaga. WOTE wa mjini.....that includes your wife/girlfriend you know?
 
Hivi ukikuta machangudoa wamejaa mahali fulani ....inaweza ikakufanya ukaja kubandika crap ya wanawake wengi ni machangudoa?

Thats my boy!

Kwamba ukiona wanaume wamejaa kanisani, utasema wanaume WOTE ni wakristo? This is not crap aisee, ni crapiest! VERY VERY LOW INDEED!
 
Hivi ukikuta machangudoa wamejaa mahali fulani ....inaweza ikakufanya ukaja kubandika crap ya wanawake wengi ni machangudoa?

ennh mpennz jaman leo unanikosha...basi leo tangulia pale pale pa siku zote ntalipia mimi kila k2....!!!!
 
Msururu haiwezi kumaanisha WOTE.

Na hapa ndipo babu anapokasirikaga. WOTE wa mjini.....that includes your wife/girlfriend you know?

na akiona wafungwa gerezani basi unasema watu wote/wengi ni wafungwa.....
Vere vere crapiest.....
*Wondering ni lini tutaacha kubandika mambo yenye uelekeo wa kuumiza hisia za watu...!
 
Back
Top Bottom