Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwiiii aisee Voice of reason uko wapi? mambo yameshaharibika huku. Miss Pirate do me a favour. dada zangu ni ngumu kuwauliza ila hebu nisaidie. Wewe vipi mwenzangu hujawahi?
Halafu hizi post za kuwaandama wanawake sijui ni vipi mimi zanishinda kabisa maana ni tabu kila kukicha wanawake wanawake jamani tumewakosea nini?????
ili iweje?Shida yao wanacho niuzi hawataki kuwa wakweli. mimba wanatoa halafu ukiwauliza wote wanajifanya hawajawahi kutoa.
Halafu hizi post za kuwaandama wanawake sijui ni vipi mimi zanishinda kabisa maana ni tabu kila kukicha wanawake wanawake jamani tumewakosea nini?????
Dada zangu wameonewa kiasi cha kutosha
Dada zangu wamedhalilishwa kiasi cha kutosha
Dada zangu wamenyanyaswa vya kutosha.
Yooote wamevumilia, wamesamehe na kusahau.
Nikadhani yameishia hapo.
Sasa wanaanza kutukanwa matusi yasiyosemekana.
Mungu na amlaani mtu atukanaye na kudhalilisha wanawake (wakisahau hata mama, dada, na watoto zao ni wanawake)
Wote wanaowapenda, kuwajali na kuwathamini wanawake kama nifanyavyo mimi waseme AMINA!
Dada zangu wameonewa kiasi cha kutosha
Dada zangu wamedhalilishwa kiasi cha kutosha
Dada zangu wamenyanyaswa vya kutosha.
Yooote wamevumilia, wamesamehe na kusahau.
Nikadhani yameishia hapo.
Sasa wanaanza kutukanwa matusi yasiyosemekana.
Mungu na amlaani mtu atukanaye na kudhalilisha wanawake (wakisahau hata mama, dada, na watoto zao ni wanawake)
Wote wanaowapenda, kuwajali na kuwathamini wanawake kama nifanyavyo mimi waseme AMINA!
haukai chin na kujuta kwa kiasi gan umesababisha wadada WATOE MIOMBA ....na badala yake unakaa chn na kupayuka HAKUNA WADADA WASIOTOA MIMBA PASIPO ANGALIA IYO MIMBA WALIZPTA KWENYE MITI AU MCHANGAN...Kweli kweli kweli, kuna mwanamke wa mjini ambaye hajawahi kutoa mimba? Yani kuanzia anasoma msingi, sekondari, chuo, kazini. Kweli kweli kama kuna mdada humu ndani ana uhakika aseme. Naomba sana tuwe wa kweli.
Mimi mademu wote ambao nimepata kuwa nao (100+) wameshawahi kutoa mimba either kabla ya kuwa na mimi na hata baada kuwa yuko na mimi.
Busara kama hizi za Babu,
ni adimu kuzipata kwani huwa anazibania sana,
Wakina dada leo siku imeanza vizuri!!!
Babu, nadhani leo una hazina ya ugolo ya kutosha!!!!!
Unajua ndg yangu humu JF kuna mautani na masihara........ sasa watu wameona hayatoshi sasa wameamua KUTUKANA.
How can you tukana women like this as if umezaliwa na mwanaume kwa operesheni saa sita mchana wakati jua linawaka na mvua inanyesha at a go?
Babu, round 3 za mwanzo,
pale oceanic, zote juu yangu bana!!!!!