MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 349
kusema ukwel umesema vi2 vya maana ila pia tatzo lipo kwenu hata kama nita2lia ila na wewe unakuta hau2lii yan mnaanza vzur lakn dakika ya mwsho hapo ndipo tatizo lilipo kwan 2naweza wote 2kawa ha2na na 2kaanza kutafuta 2kianza kupata mwanamke ndie wakwanza kuchoropoka au kwenda kinyume na vle mlivyotarajia. Je na hapo 2fanyeje kama tatzo kama hlo limetokea lazma ufikirie pia mm ninaona ni tamaa ndo inayosababisha haya yooote