DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
Mi binafsi sifurahi kabisa ninapomuona mwanamke anakunywa pombe au kuvuta sigara, mwanamke wa namna hiyo nitamshusha thamani mpaka zero. Nashukuru hapa TZ sio wengi sana, kama wapo wanaovuta sigara basi wengi ni bibi zetu kule vijijini ambao mpaka leo bado sijajua sababu zilizowapeleka wakawa wanavuta sigara na wengine kunywa pombe kali hasa za kienyeji.
Mijini wanawake wavutaji kama wapo ni wachache sana au labda wanajificha. Ila kwenye kunywa Pombe kuna baadhi ya wanawake hasa wa makabila fulani ni noma.................. yani wanakunywa kuliko hata waume zao. Mi binafsi huwa siwafagilii kabisa.... nahisi kama vile ni madume wenzagu... siwezi kumtokea mwanamke wa namna hiyo hata siku moja.
Sasa kuna nchi kama South Africa kwa wanawake kuvuta au kunywa pombe kali ni ishu ya kawaida kabisa. Utakuta kasichana kadogo kanashare sigara na baba yake utadhani biscuti. Kuna wasichana wengine warembo kweli kweli utawakuta wanavuta sigara na kunywa pombe kali kama hawana akili nzuri, na ni kitu cha kawaida kabisa ni kama mtu anakunywa soda. Hawajifichi wala kuona aibu.
Vipi hapa TZ ndio tunapoelekea au tayari tupo hapo!!!. Najaribu kufikiria wazee wa zamani walikuwa wataalam kwenye zile za kienyeji hasa kule vijijini. Vipi huku mjini........................
Mijini wanawake wavutaji kama wapo ni wachache sana au labda wanajificha. Ila kwenye kunywa Pombe kuna baadhi ya wanawake hasa wa makabila fulani ni noma.................. yani wanakunywa kuliko hata waume zao. Mi binafsi huwa siwafagilii kabisa.... nahisi kama vile ni madume wenzagu... siwezi kumtokea mwanamke wa namna hiyo hata siku moja.
Sasa kuna nchi kama South Africa kwa wanawake kuvuta au kunywa pombe kali ni ishu ya kawaida kabisa. Utakuta kasichana kadogo kanashare sigara na baba yake utadhani biscuti. Kuna wasichana wengine warembo kweli kweli utawakuta wanavuta sigara na kunywa pombe kali kama hawana akili nzuri, na ni kitu cha kawaida kabisa ni kama mtu anakunywa soda. Hawajifichi wala kuona aibu.
Vipi hapa TZ ndio tunapoelekea au tayari tupo hapo!!!. Najaribu kufikiria wazee wa zamani walikuwa wataalam kwenye zile za kienyeji hasa kule vijijini. Vipi huku mjini........................