KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Hivi nyie akina dada mimi siwaelewi na mitindo yenu ninani anawashika masikio??
Mfano naanza na pochi walikuwa navipochi vinaitwa kipima joto vidogo!sikuhizi unakuta mwanamke anapochi yakubeba hata mtoto unamwangalia unashindwa kummaliza!!
Tatizo nini??nani anawafanya wajinga hivyo??mwanamke anaweza kuja sebuleni akabeba kilakitu hata Tv ndogo maana mkoba simkoba kiloba sikiloba sijui niite nini mnisamee wanawake inabidi muwemnaangalia na fashion zinazoingia!!:lol:
Mfano naanza na pochi walikuwa navipochi vinaitwa kipima joto vidogo!sikuhizi unakuta mwanamke anapochi yakubeba hata mtoto unamwangalia unashindwa kummaliza!!
Tatizo nini??nani anawafanya wajinga hivyo??mwanamke anaweza kuja sebuleni akabeba kilakitu hata Tv ndogo maana mkoba simkoba kiloba sikiloba sijui niite nini mnisamee wanawake inabidi muwemnaangalia na fashion zinazoingia!!:lol: