najua babu, nimeamua tu kumpasha upande wa pili wa shilingi.Umenichekesha sana mdogo wangu Fixed Point??
Kwa nini mnampa Natalia prescription ya ugonjwa usio wake??
Nyie msaidieni katika kile anachokihitaji....Sidhani kama haya mnayoyasema anayataka!
Ndo maana mie nimeamua kumpenda (sema tu maji yalishamwagika)!!
Babu DC!!
sijui imekuwaje masikini ka-restishwa in peace?Bibi DC anajua majuto haya uliyonayo ya kushindwa kumposa marehemu natalia (naona keshalambwa ban, sijui mzungu kamnunulia chopper?
Bibi DC anajua majuto haya uliyonayo ya kushindwa kumposa marehemu natalia (naona keshalambwa ban, sijui mzungu kamnunulia chopper?
najua babu, nimeamua tu kumpasha upande wa pili wa shilingi.
hela, majumba, magari..... siyo kila kitu katika maisha.
babu wewe mpende tu, ila kama unavyosema bibi tayari alishawahi namba
huyo mume alikuwa na yake, siyo sababu mke hakuchangia kituYupo mwanamke mwenzio namfahamu alitaka wenye nyumba na magari km wewe unavyotaka, na kwa kweli alimpata jamaa mwenye majumba na magari, Kilichotokea ni kuwa yule mwanamke hakuwa na raha ya kukaa pale nyumbani kwani muda wote jamaa alikuwa yuko bize na miradi yake na wakati wa kujirusha ukifika anawachukua watoto wake anaenda nao beach mama akitaka kwenda anaambiwa kuwa yeye ni hapo nyumbani eti kwa sababu nyumba ilikuwa ina kila kitu ambacho mwanamke huyo alikihitaji. Cha kushangaza hata gari alikuwa analitumia kwa ruhusa maalum toka kwa mumewe akichukua maamuzi yake mwenyewe ya kutumia gari anaambulia kipigo............... Akijiachia sana sebuleni anaambiwa hana sababu ya kujiachia kiasi hicho kwani hajui gharama ya ujenzi wa nyumba. Wakija ndugu wa mwanamke wanapangishiwa guest house eti hawana hadhi ya kukaa kwenye nyumba hiyo kwa sababu ndugu yao (Mwanamke) hajachangia chochote hivo haruhusiwi kuleta wageni hapo nyumbani
Sasa nikuulize hizo nyumba na magari vinamfaa nini huyu mwenzio mwenye akili tegemezi, maana ni afadhali kuvumilia kelele za mwenye nyumba na purukushani za kugombea daladala kuliko hizi kashfa ila kama unazitaka wewe nenda tu ukakae kutwa nzima na hayo majumba na ushinde na gari halafu uone km hilo gari litapanda kitandani wakati wa menu za usiku wa manane...................
Uamuzi uko kichwani mwako
sijui imekuwaje masikini ka-restishwa in peace?
lakini babu ukisoma post yake yeye ndo anatushauri kuwa tukitaka kuolewa tutafute "MKAMILIFU", hataki ushauri wa mtu, mimi nilikuwa nampa experience yangu tu ili aone huko kwingine pia kunalipaLakini hayo "the would be" mpenzi wangu Natalia hayataki.......Kwa nini msipe ushauri anaohitaji kuusikia??
Unadhani angekuwa anaandika watu kazi, wewe ungepata ajira kwenye kampuni yake??
Mie naona ningepewa walau kazi ya ulinzi ili nijikumbushe kutupa nchale!!
Babu DC!!
huyo mume alikuwa na yake, siyo sababu mke hakuchangia kitu
Kila mtu akijenga sie wenye nyumba za urithi tutampangisha nani??
nashangaa sana.Huyo mwanamume hana tofauti na mtu aliyenunua machine ya kutotoa vifaranga kutoka china.....Kwani wachina watakuwa wanamdai kitu??
Babu DC!!
tunamjua na wala hatutoi povu, haya ni "mazungumzo baada ya habari" tuYaani mnatoka povu na post za Natalia? Mtajiumiza vichwa bure,huyo mtu si wa kukupopotezeeni muda!Fuatilieni thread zake tu mtakubaliana na mimi.
mama yangu alikuwa katibu mkuu sasa hivi yupo juu zaidi baba angu msiseme.mwanaume wangu eminikuta juu inabidi ajitahidi.otherwise he is out
lazima unaugua akili si bure!
tunamjua na wala hatutoi povu, haya ni "mazungumzo baada ya habari" tu
Inawezekana yeye yupo serious, ila sisi wachangiaji ndo tupo kwenye mazungumzo baada ya habari aliyotoaMwanzoni nilihis huenda huyu Natalia katoroka mirembe, kumbe ni mazungumzo baada ya habari tu! Ila ingependeza kama angekuwa na 'mume' wake wwe wanaongea kama Julius Nyaisanga na Yule mtangzaji mwingine, jina nimelisahau, kwenye kibwagizo cha kile kipindi cha BP cha Idhaa ya Biashara...............!
Awe ameshajenga anagari na pesa.a men is the head of house hold