Wanawake muolewe na wanaume wenye nyumba tayari

sasa wewe si umwambie mume wako maskini sisi yanatuhusu nini, pengine unaogopa hata kumkaribia
 
Babu, nakaribia kukupa -divorce. Hivi mjukuu anaweza kum-disown babu eeh?Nahitaji loya.
Unataka kunionea tu komando wangu. Hebu jipe muda kidogo. Najua utanielewa kwa nini ningetoa kila kitu isipokuwa pumzi yangu kumnasa mtoto Natalia!!
 
Kuna watu wanaishi maisha yao yote bila furaha sababu ya kutojitambua wao ni kina nani na maisha yanataka nini kwao...wanafikiri maisha ni kubadilisha magari tu hata kama itakuwa ni kwa gharama ya kuuza utu wao.
 
a man make a house ,but a woman make a home would u be able akama una mtazamo chanya namna hii?????????
 
Kama issue ni nyumba na magari wewe nunua gari na nyumba halafu vikuoe... Kwa mfumo huo utamaliza wanaume mjini kwa kuhangaika na vitu vya kupita matokeo yake utabaki peke yako na hakuna mtu atakaeona thamani ya kuwa na wewe.
Hatimae utajikuta unachukua wadogo zetu wa form 2 na form 4 (Serenget boyz) unaishia kuwapa hizo hela za kununulia magari, ukishindwa hapo utatafuta midori ili utembee nayo kwenye magari na kuipamba kwenye nyumba yako
 
Kama issue ni nyumba na magari wewe nunua gari na nyumba halafu vikuoe... Kwa mfumo huo utamaliza wanaume mjini kwa kuhangaika na vitu vya kupita matokeo yake utabaki peke yako na hakuna mtu atakaeona thamani ya kuwa na wewe.
Hatimae utajikuta unachukua wadogo zetu wa form 2 na form 4 (Serenget boyz) unaishia kuwapa hizo hela za kununulia magari, ukishindwa hapo utatafuta midori ili utembee nayo kwenye magari na kuipamba kwenye nyumba yako

Ni mtazamo wangu tu ila wewe endelea hivo hivo
 
Yupo mwanamke mwenzio namfahamu alitaka wenye nyumba na magari km wewe unavyotaka, na kwa kweli alimpata jamaa mwenye majumba na magari, Kilichotokea ni kuwa yule mwanamke hakuwa na raha ya kukaa pale nyumbani kwani muda wote jamaa alikuwa yuko bize na miradi yake na wakati wa kujirusha ukifika anawachukua watoto wake anaenda nao beach mama akitaka kwenda anaambiwa kuwa yeye ni hapo nyumbani eti kwa sababu nyumba ilikuwa ina kila kitu ambacho mwanamke huyo alikihitaji. Cha kushangaza hata gari alikuwa analitumia kwa ruhusa maalum toka kwa mumewe akichukua maamuzi yake mwenyewe ya kutumia gari anaambulia kipigo............... Akijiachia sana sebuleni anaambiwa hana sababu ya kujiachia kiasi hicho kwani hajui gharama ya ujenzi wa nyumba. Wakija ndugu wa mwanamke wanapangishiwa guest house eti hawana hadhi ya kukaa kwenye nyumba hiyo kwa sababu ndugu yao (Mwanamke) hajachangia chochote hivo haruhusiwi kuleta wageni hapo nyumbani
Sasa nikuulize hizo nyumba na magari vinamfaa nini huyu mwenzio mwenye akili tegemezi, maana ni afadhali kuvumilia kelele za mwenye nyumba na purukushani za kugombea daladala kuliko hizi kashfa ila kama unazitaka wewe nenda tu ukakae kutwa nzima na hayo majumba na ushinde na gari halafu uone km hilo gari litapanda kitandani wakati wa menu za usiku wa manane...................
Uamuzi uko kichwani mwako
 
Unataka kunionea tu komando wangu. Hebu jipe muda kidogo. Najua utanielewa kwa nini ningetoa kila kitu isipokuwa pumzi yangu kumnasa mtoto Natalia!!
"WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

Retired Maj Gen DC (1947)...dc@jamiiforums.com

:rant::rant:
 
Nilianza naye akiwa kwa wazazi wake (alikuwa chuo kikuu wakati huo), akamaliza shule, akapata kazi akiwa bado kwa wazazi, baada ya mishahara 3 nikamshauri atafute chumba kimoja apange. tukanunua pamoja kitanda na godoro (ndo vilikuwa muhimu), then masufuria, jiko la mchina, sahani,..............(hiyo ni miaka 14 iliyopita)
kwa sasa tuna nyumba 3, magari, biashara, kazi nzuri............................... kubwa zaidi we are HAPPILY MARRIED!
got my point?
 
Nilianza naye akiwa kwa wazazi wake (alikuwa chuo kikuu wakati huo), akamaliza shule, akapata kazi akiwa bado kwa wazazi, baada ya mishahara 3 nikamshauri atafute chumba kimoja apange. tukanunua pamoja kitanda na godoro (ndo vilikuwa muhimu), then masufuria, jiko la mchina, sahani,..............(hiyo ni miaka 14 iliyopita)
kwa sasa tuna nyumba 3, magari, biashara, kazi nzuri............................... kubwa zaidi we are HAPPILY MARRIED!
got my point?

A good experience too
 
"WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

Retired Maj Gen DC (1947)...dc@jamiiforums.com

:rant::rant:


Nini tena Komando wangu King'asti??

Kwani nimebadilika au bado cost kubaki Babu haijanibana??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Nilianza naye akiwa kwa wazazi wake (alikuwa chuo kikuu wakati huo), akamaliza shule, akapata kazi akiwa bado kwa wazazi, baada ya mishahara 3 nikamshauri atafute chumba kimoja apange. tukanunua pamoja kitanda na godoro (ndo vilikuwa muhimu), then masufuria, jiko la mchina, sahani,..............(hiyo ni miaka 14 iliyopita)
kwa sasa tuna nyumba 3, magari, biashara, kazi nzuri............................... kubwa zaidi we are HAPPILY MARRIED!
got my point?


Umenichekesha sana mdogo wangu Fixed Point??

Kwa nini mnampa Natalia prescription ya ugonjwa usio wake??

Nyie msaidieni katika kile anachokihitaji....Sidhani kama haya mnayoyasema anayataka!

Ndo maana mie nimeamua kumpenda (sema tu maji yalishamwagika)!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom